Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
- Thread starter
- #81
👊 Thank you very much kuwapa moyo vijana 🌹David Silinde alifanya hivyo 2010 kupitia CHADEMA na alishinda.
Huenda huyu ndiye yeye.
Vijana msiwe wepesi kujihukumu hamuwezi kufanikiwa jambo fulani.
Msiwakatishe tamaa na wengine wenye ndoto kubwa za jambo lolote.
but mie sio silinde, mwacheni naibu waziri yuko bize na majukumu mazito sana kwa sasa...
Nadhani hana muda na chochote ispokua hoja zilizopo mbele yake mjengoni 🐒