π Thank you very much kuwapa moyo vijana πΉDavid Silinde alifanya hivyo 2010 kupitia CHADEMA na alishinda.
Huenda huyu ndiye yeye.
Vijana msiwe wepesi kujihukumu hamuwezi kufanikiwa jambo fulani.
Msiwakatishe tamaa na wengine wenye ndoto kubwa za jambo lolote.
imeandikwa,Huwezi kumshirikisha Mungu kwenye Chama cha Shetani
Tena Silinde walimpitisha makusudi sababu watu wa Tunduma waliichoka CCM na maujinga yao.!!David Silinde alifanya hivyo 2010 kupitia CHADEMA na alishinda.
Huenda huyu ndiye yeye.
Vijana msiwe wepesi kujihukumu hamuwezi kufanikiwa jambo fulani.
Msiwakatishe tamaa na wengine wenye ndoto kubwa za jambo lolote.
Neema na Baraka za Mungu zinaweza kukufuata au zikakukimbia πΉNa kukimbia jimbo akahamia Tunduma napo wajumbe wakamla kichwa ikabidi abebwe na JPM kwa lazima.
Kwenye box la kura akala za uso wakaamua kupora mabox ya kura.
Achana nao bana, utachoka kuwajibu hao washavurugwa kitambo π€£muendelezo upo na una kuja tuliza ball niwaonyeshe njia ambitious youths of this country π
concerning tunduma politics, I will comment on the other day πTena Silinde walimpitisha makusudi sababu watu wa Tunduma waliichoka CCM na maujinga yao.!!
Hata 2015 walimrudisha jimboni kwao kwa wanyamwanga wenzake agombee walitaka kumdhulumu, wee walikiwasha mpk wakamtangaza..!!
2020 aligombea kwa tiketi ya CCM wajumbe wakamla kichwa, akapita Aden. Ila Magu akawaambia wampe Silinde ili kuwakomesha CDM. Ndio hivyo analisongesha na unaibu juu.
Ila ile Tunduma ina raia wajeuri sana wako radhi wapitishe hata jiwe ila sio CCM
Silinde chama kilimbeba na alipitaπ Thank you very much kuwapa moyo vijana πΉ
but mie sio silinde, mwacheni naibu waziri yuko bize na majukumu mazito sana kwa sasa...
Nadhani hana muda na chochote ispokua hoja zilizopo mbele yake mjengoni π
Siasa za tunduma mi nazipenda sana zina mikimikiki na wakiamua jambo lao lazima litimie, tuachane na hayo malizia story basi kuna page naisubiria nicheke πππconcerning tunduma politics, I will comment on the other day π
Utagombea tena ubungeni kudeal nao tu taratibu,
hata jimboni kuna manunda wa face to face acha kabisa, hawa mbona cha mtoto sana na wako soft tu π
Kwahiyo unajibizana nao?? Hebu endeleza story km bado mi nikaoshe vyombo π€£π€£π€£ni kudeal nao tu taratibu,
hata jimboni kuna manunda wa face to face acha kabisa, hawa mbona cha mtoto sana na wako soft tu π
Yule kaja chadema hata kuchana nywele hajuwi...chini kutwa kuvaaNeema ilimbeba sio π
yaan vyombo ni chafu na bado vipo mezani mpaka muda huu tangu mmemaliza kula saa7 mchana?πKwahiyo unajibizana nao?? Hebu endeleza story km bado mi nikaoshe vyombo π€£π€£π€£
Ehh okkwa ridhaa ya wanainchi, hii kiti natetea na kushinda bila mbambamba yoyote π