π€£π€£π€£ Acha basi kunichamba na wewe khaaa!! Nitaonekana sio wife material sasa.!!yaan vyombo ni chafu na bado vipo mezani mpaka muda huu tangu mmemaliza kula saa7 mchana?π
that's not fair embu kaoshe vyombo umalize nakusubiria π
Kwa uandishi huu eti huyu ndio msomi wa chuo kikuu!??kwahiyo unadharau akina mh shigongo na Dr. Kasheku msukuma?
kwan huyu mchapakazi sana kwenye sekta ya maji aliingiaje mjengoni, alitoka wapi π
halafu,
Let me tell you,
huko kwa hiyo chama ambayo niligombea tulikua zaidi ya wa gombeaji 10, wa2 wlikua graduates, moja alikua ni Dr, mimi nilikua nimemaliza masomo nilikua graduate in waiting....
the rest walikua walimu, ila sio graduates, makada wa chama na business mens and womens...
Na kuna very powerful taycoon moja nae alikua mgombea, he was very clear kwamba mbele za wanachama, kwamba yeye ni std7 na anataka kusaidia maendeleo ya jimbo, anaomba kura na ridhaa ya wanachama.full stop π
this senear tycoon nilimuogopa kidogo π
But wasio na shule wapo na wanaujasiri kabisaaaa wa kushinda Uchaguzi π
Hatuja muhukumu ila ni jinsi alivyoelezea stori yake, yaan mtu una baja isiyo na leseni, mkuika sheria plus kile kitendo cha kumpta traffic kama jambaz π€£π€£ kwenye movie huyu jamaa anafikiri sisi wa kuja?David Silinde alifanya hivyo 2010 kupitia CHADEMA na alishinda.
Huenda huyu ndiye yeye.
Vijana msiwe wepesi kujihukumu hamuwezi kufanikiwa jambo fulani.
Msiwakatishe tamaa na wengine wenye ndoto kubwa za jambo lolote.
Maisha hayaitaji userious namna iyo mkuuKwa uandishi huu eti huyu ndio msomi wa chuo kikuu!??
Ndio maana nasema kila siku elimu ya Tanzania iliharibiwa ili izalishe wajinga wengi na nchi ikiwa na wajinga wengi ni rahisi kwa watawala kuongoza.
Eti taycoon, senear ,mens womens
SMH!!
Upuuzi mtupu , yaani wewe kama kweli ni mbunge kweli na waziri pia basi nawasikitikia wananchi wa jimbo lako na watanzania kwa ujumla na hapa naamini kuanzia kule juu kuna perennial failure hadi bandari mkataba ukashindwa kusomwa na vilaza mwarabu akajishindia lotto!
Watu kama nyie ndio mnafanya hata tulioondoka nyumbani miaka kenda tukasitisha kurudi maana unaona matatizo ya zama zile na sasa hali ni mbaya kuliko zamani.
Sawa waulize watumishi wa TPA kule Dar es Salaam watakuelezea.Maisha hayaitaji userious namna iyo mkuu
kuna hawa vijana myika na zito,Yule kaja chadema hata kuchana nywele hajuwi...chini kutwa kuvaa
Sandles
Anapita mitaani na gari anapiga PA ya mikutano
Sema chama kiliwapa nafasi na kuwatumia,wakati wa nyuma vijana wa chuo
Ndiyo hivyo kaonekana na wengine wakamuona zaidi
Ova
Kwa uandishi huu eti huyu ndio msomi wa chuo kikuu!??
Ndio maana nasema kila siku elimu ya Tanzania iliharibiwa ili izalishe wajinga wengi na nchi ikiwa na wajinga wengi ni rahisi kwa watawala kuongoza.
Eti taycoon, senear ,mens womens
SMH!!
Upuuzi mtupu , yaani wewe kama kweli ni mbunge kweli na waziri pia basi nawasikitikia wananchi wa jimbo lako na watanzania kwa ujumla na hapa naamini kuanzia kule juu kuna perennial failure hadi bandari mkataba ukashindwa kusomwa na vilaza mwarabu akajishindia lotto!
Watu kama nyie ndio mnafanya hata tulioondoka nyumbani miaka kenda tukasitisha kurudi maana unaona matatizo ya zama zile na sasa hali ni mbaya kuliko zamani.
sasa mwalimu si unarelax tu, ukiwa una fundisha na kurekebisha Grama za badiko langu muhimu sana la confidence building kwa ambitious youthsπKwa uandishi huu eti huyu ndio msomi wa chuo kikuu!??
Ndio maana nasema kila siku elimu ya Tanzania iliharibiwa ili izalishe wajinga wengi na nchi ikiwa na wajinga wengi ni rahisi kwa watawala kuongoza.
Eti taycoon, senear ,mens womens
SMH!!
Upuuzi mtupu , yaani wewe kama kweli ni mbunge kweli na waziri pia basi nawasikitikia wananchi wa jimbo lako na watanzania kwa ujumla na hapa naamini kuanzia kule juu kuna perennial failure hadi bandari mkataba ukashindwa kusomwa na vilaza mwarabu akajishindia lotto!
Watu kama nyie ndio mnafanya hata tulioondoka nyumbani miaka kenda tukasitisha kurudi maana unaona matatizo ya zama zile na sasa hali ni mbaya kuliko zamani.
A lengthy and nutty article full of lullabies.kuna hawa vijana myika na zito,
kuna Taasisi moja iko sinza mori huko dar es salaama inaitwa CGG, ilikua inahusika na masuala ya utawala bora na uongozi kwa ujumla
.sasa mwalimu si unarelax tu, ukiwa una fundisha na kurekebisha Grama za badiko langu muhimu sana la confidence building kwa ambitious youthsπ
mihemko sio issues sana ya kubabaika nayo, mimi, wanaonchi na hawa ambitious youths tunasonga pamoja vizuri sana bila mbambamba yoyote aiseπ
Kizungu kingi!!Okay, tuendelee na story yetu mpk umetimba mjengoni..!
ndicho nilichokua nacho kukitumia kutimiza dhamira, nia na ndoto yangu ya kuwatumikia wanainchi πHatuja muhukumu ila ni jinsi alivyoelezea stori yake, yaan mtu una baja isiyo na leseni, mkuika sheria plus kile kitendo cha kumpta traffic kama jambaz π€£π€£ kwenye movie huyu jamaa anafikiri sisi wa kuja?
Basi sawa!Siyo yeye huyo ni mwingine kabisaaa πππ
Baby wangu yuko busy na kukamilisha CPA yake.financial services maneno umeyasikia lakini?? ππ
Basi sawa, kila la heri Mheshimiwa Mbunge.si unajua tena, napiga left, right and center. hatoki mtu mpka kieleweke, haijaisha mpaka iishe π
Ok kila heri na kugombea ubungekuna hawa vijana myika na zito,
kuna Taasisi moja iko sinza mori huko dar es salaama inaitwa CGG, ilikua inahusika na masuala ya utawala bora na uongozi kwa ujumla
sasa mwalimu si unarelax tu, ukiwa una fundisha na kurekebisha Grama za badiko langu muhimu sana la confidence building kwa ambitious youthsπ
mihemko sio issues sana ya kubabaika nayo, mimi, wanaonchi na hawa ambitious youths tunasonga pamoja vizuri sana bila mbambamba yoyote aiseπ
Watazamaji tuposi unajua tena, napiga left, right and center. hatoki mtu mpka kieleweke, haijaisha mpaka iishe π