Kwa mara ya kwanza nathubutu kugombea Ubunge

Kwa mara ya kwanza nathubutu kugombea Ubunge

Hatuja muhukumu ila ni jinsi alivyoelezea stori yake, yaan mtu una baja isiyo na leseni, mkuika sheria plus kile kitendo cha kumpta traffic kama jambaz 🤣🤣 kwenye movie huyu jamaa anafikiri sisi wa kuja?
Hayo matukio yanatokea sana mkuu.
Kuna Dereva daladala alikuwa anaitwa Awilo alisimamishwa na traffic ubongo enzi za traffic lights 2000's Askari akataka kuchukua funguo kibabe Awilo akamshika mkono akaondoa chuma kamburuza kwenye lami parefu kamwachia.

Alisota Segerea siku kibao karudi kitaa anaanza kumnusa mkewe K akaanza kumpiga anamwabia imetumika sana alipokuwa ngome ..🤣🤣
Chizi sana yule mangi.
 
nasoma imotions, facial expressions, body language, rhythm na tone za hadhira kidogo zinauelekeo gani.....

but Lazima iishe kwasabb imeanza tayari 🐒 🐒
Unapanga kutudanganya sasa na kukwepa mishale 🤣🤣🤣
Weka muendelezo basi
 
Tatatizo Tantalila unasema huringi, lakini kuandika stori kwa kusua sua ndiyo kipimo cha maringo bwashee.
🤣 hapana haina kusuasua na wala siringi wala kujivunga hata kidogo, mpaka iishe hii kitu 🐒
 
Unapanga kutudanganya sasa na kukwepa mishale 🤣🤣🤣
Weka muendelezo basi
kudanganya siwezi kabisaa, na nikijaribu tu, kudanganya ntashikwa maramoja hata hatua 2 sifiki.....

I'm always straight forward man 🐒
 
kudanganya siwezi kabisaa, na nikijaribu tu, kudanganya ntashikwa maramoja hata hatua 2 sifiki.....

I'm always straight forward man 🐒
Mhmm.!! Ww ni muongo sema ngoja tuone mwisho utakuwaje 🤣🤣🤣
Kuna pages ukichana nakukaanga
 
Hayo matukio yanatokea sana mkuu.
Kuna Dereva daladala alikuwa anaitwa Awilo alisimamishwa na traffic ubongo enzi za traffic lights 2000's Askari akataka kuchukua funguo kibabe Awilo akamshika mkono akaondoa chuma kamburuza kwenye lami parefu kamwachia.

Alisota Segerea siku kibao karudi kitaa anaanza kumnusa mkewe K akaanza kumpiga anamwabia imetumika sana alipokuwa ngome ..🤣🤣
Chizi sana yule mangi.
actually,
to me kwenye mzunguko ule kuna mahali katikati ya wilaya tulikatiza manjagu walitutazama tulipita na mwendo wa ngiri, tukajua watatufuata but hawakufanya hivyo...

I think ni kwasababu kuna lile katazo la kuwafukuzia bodaboda baada ya kusababisha vifo vingi sana vya hawa jamaa....

but siku iyo ilikua mnada na askari doria huwa ni wengi kila kona na actually kwa kijijini tena mnadani na chombo cha moto uwe na kibali au hauna watakusimamisha tu na nilazima utakutikana na kasoro au dosari mathalani kadi au leseni 🐒

so,
I tried to escape obstacles and difficulties in that way ili kufikia malengo, nia na ndoto zangu 🐒
 
Back
Top Bottom