Kwa mara ya kwanza niliijua maana halisi ya "Mtoto wa kishua" kupitia huyu dogo. Kuna watoto wamezikuta pesa aisee!

Wakati niko mwanafunzi, kuna jamaa yangu alikuwa anafanya kazi tayari basi akanipeleka sehemu posta Dar tukala. Alilipa TZS50,000 ile bill yangu. Nilimlaani sana (kimoyomoyo). Mimi sina hela ya chakula chuoni halafu ananipeleka sehemu expensive, ananinunulia chakula cha 50,000/= na kuniacha hivyo hivyo!! Jioni chuoni mkate na chai!
Ndivyo ilivyo mkuu, ukiwa huna pesa utaona waliinazo kama wanazichezea..
 
Tatizo sio kuwa dogo alikuwa wa kishua sema wewe ndio ulikuwa choka mbaya
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah
 
Halafu eti mnasema maisha hayana shortcut?

Kuzaliwa familia yenye mpunga kama huyo dogo hiyo tayali ni shortcut.

Masikini tuache kujifariji.

Mjukuu wa Bakhresa tayali keshapita shortcut.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hamuongei tena maana ulikua chawa wake mkubwa japo unawaita wengine chawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…