Kwa mara ya kwanza nimehisi kuwa na umuhimu

Kwa mara ya kwanza nimehisi kuwa na umuhimu

Huyu jamaa muongo sana
Anajifunza uandishi wa hadithi!! Amejitahidi nkiasi, alichokosea ni kukosa uhalisia!!! Mwajiriwa mpya aliyemaliza chuo mwaka jana apate NET SALARY ya M8!!!

Maximum basic salary serikalini kwa scale za TGS ni 3,380,000/= fixed!! hiyo ni TGS J1 fixed!
Kwa kada za afya maximum basic salary ni TGHS L1 ni 4,420,000/= fixed
Kwa kada za mahakama maximum basic salary ni TJS 10 ni 5,720,000/= fixed!

Kwenye taasisi za umma mishahara ni mikubwa zaidi lakini ni kwa ngazi za juu!! siyo kwa mwajiriwa mp[ya aliyemaliza chuo mwaka jana!!
 
Ualimu gani huo Wa Timu za Mpira ama? Ila kama ni Ualimu wa kufundisha wanafunzi au hat Ualimu wa Chuo basi hapo Unatunywesha Chai ya Ya baridi Sana,

Em Tunakuomba iludishe tena jikoni itokote vzuri alf uilete, maan mikahawa imezidi humu
 
Uwanja wa milion tatu mkubwa utapata wapi Muda huu labda nnje ya mji kwa km 70 Hadi 60 uatapata uwanja ila siyo mkubwa wa Sana kwa million tatu utapata kibaha kongowe 20 kwa 20
Kwa Mwanza unapata nje ya mji..uwanja mkubwa sana
 
Back
Top Bottom