Billion Dolar
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 1,292
- 2,953
Mwanamke unapebda hela wewe, nakumbuka stori yako na yule mzungu maskiniKo umebaki na 6million cash? Emu ni piem kuna maelekezo muhimu nataka kukupa [emoji4][emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanamke unapebda hela wewe, nakumbuka stori yako na yule mzungu maskiniKo umebaki na 6million cash? Emu ni piem kuna maelekezo muhimu nataka kukupa [emoji4][emoji4]
Anajifunza uandishi wa hadithi!! Amejitahidi nkiasi, alichokosea ni kukosa uhalisia!!! Mwajiriwa mpya aliyemaliza chuo mwaka jana apate NET SALARY ya M8!!!Huyu jamaa muongo sana
Mwanamke unapebda hela wewe, nakumbuka stori yako na yule mzungu maskini
Fungua pm hiyo tuje tule hizo ela bila hurumaUalimu wa wanafunzi
Soma Biblia vzuri kakaZaka na sadaka ni WIZI.
Mleta mada usipeleke hata Mia kanisani.
Bora hiyo hela ukawape yatima wasio jiweza au walemavu barabarani.
Kwani wachezaji sio wanafunzi?Ualimu gani huo Wa Timu za Mpira ama? Ila kama ni Ualimu wa kufundisha wanafunzi au hat Ualimu wa Chuo basi hapo Unatunywesha Chai ya Ya baridi Sana,
Em Tunakuomba iludishe tena jikoni itokote vzuri alf uilete, maan mikahawa imezidi humu
Kwa Mwanza unapata nje ya mji..uwanja mkubwa sanaUwanja wa milion tatu mkubwa utapata wapi Muda huu labda nnje ya mji kwa km 70 Hadi 60 uatapata uwanja ila siyo mkubwa wa Sana kwa million tatu utapata kibaha kongowe 20 kwa 20
Sawa basi Tumekubali Uwe na Mchana Mwema.Kwani wachezaji sio wanafunzi?
8M mwezi wa kwanza tu kazinii... na ulikuwa jobless nyumbani walikuwa wanakudharau??? duu maana wewe gross salary ni MIL 12 na zaidi hongera mkuuuNimelipwa
Nani akupe, pambaba na hali yako.Sasa sikia mwanangu nifanyie hata das mi michongo bado imekataa