my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,397
Anatimiza maandiko, laana inamtafunaDada yangu umeamua kutengeneza cheni ya kujiambukiza magonjwa wewe mwenyewe kwa hiyari yako
Je huyo wa kwanza hakua muelewa ulipomueleza kero yako!
Yaan kipi kimefanya uchukue maamuzi hayo?!
Ushauri mzuri sana.kuwa makini na gunia za mkaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wengine Wana wanaume saba na ni kawaida, wewe Bado underground kwenye hii sector nini?
Siku wakiikataa mimba ndo utajua kuwa duniani kuna stressSikuwahi kufikiri km kuna siku nngekua kwnye hii situation. Sio tabia nzuri lkn siezi kumuacha yoyote nawapenda wote they are all mine. Labda km mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naeza kuachana na mmoja lkn mimi mwnywe siezi. Mmoja nko nae kwa mahusiano mwaka 1 na miezi 5. Hyu kaka mwngine nko nae huu mwezi wa 3. Wote wawili wananiamini sana mpk sometimes nahisi vbaya kwa nnavofanya lkn sjui nifanye nn nawapenda wote. Nifanye nn ili nieze kuchagua mmoja niendelee nae.
Sidhani kama naeza kuwapoteza wote kama kupoteza labda mmojaSiku ukipoteza wote uje hapa uanzishe uzi tukupe pole....#Badounanishauriharusi?
Ongeza mwingine wa kukupa Ukimwi Kbs maana ndo unalitaka..Sikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation.
Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi.
Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka 1 na miezi 5. Huyu kaka mwngine niko naye huu mwezi wa 3. Wote wawili wananiamini sana mpaka sometimes nahisi vibaya kwa nnavofanya lakini sjui nifanye nini, nawapenda wote.
Nifanye nini ili niweze kuchagua mmoja niendelee naye?