spade4spade
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 2,207
- 2,156
Cariha! Cariha! Cariha! Kumbe ndo maana siku hizi hunijali. Kumbe mi wa saba jamani! Uuuuuuwiiiii!Wengine Wana wanaume saba na ni kawaida, wewe Bado underground kwenye hii sector nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cariha! Cariha! Cariha! Kumbe ndo maana siku hizi hunijali. Kumbe mi wa saba jamani! Uuuuuuwiiiii!Wengine Wana wanaume saba na ni kawaida, wewe Bado underground kwenye hii sector nini?
🤣🤣🤣Siku wakiikataa mimba ndo utajua kuwa duniani kuna stress
Sikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation.
Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi.
Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka 1 na miezi 5. Huyu kaka mwngine niko naye huu mwezi wa 3. Wote wawili wananiamini sana mpaka sometimes nahisi vibaya kwa nnavofanya lakini sjui nifanye nini, nawapenda wote.
Nifanye nini ili niweze kuchagua mmoja niendelee naye?
Wapende wapenzi wako mwaya. Hapo bado mmoja sufuria haikai kwenye mafiga mawili sharti yawe matatu.
Sikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation.
Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi.
Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka 1 na miezi 5. Huyu kaka mwngine niko naye huu mwezi wa 3. Wote wawili wananiamini sana mpaka sometimes nahisi vibaya kwa nnavofanya lakini sjui nifanye nini, nawapenda wote.
Nifanye nini ili niweze kuchagua mmoja niendelee naye?
Tell her BroUnachojaribu kukifanya ni kama hiyo avatar yako hapo juu
HAKIWEZEKANI
Angalia mahitaji yako kama umewagawanya kwenye majumu tofauti angalia hitaji kubwa ni lipi na yupi ana mudu jukumu lake vizuriSikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation.
Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi.
Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka 1 na miezi 5. Huyu kaka mwngine niko naye huu mwezi wa 3. Wote wawili wananiamini sana mpaka sometimes nahisi vibaya kwa nnavofanya lakini sjui nifanye nini, nawapenda wote.
Nifanye nini ili niweze kuchagua mmoja niendelee naye?
Ongeza mwingine wa kukupa Ukimwi Kbs maana ndo unalitaka..
Wote wanamwagia ndani au! ? Yaani huyu anamimina na yule anakuja kumimina! Duuh! Haya maisha haya hayana tofauti na urine utensilSidhani kama naeza kuwapoteza wote kama kupoteza labda mmoja