strong ruler
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 4,921
- 3,308
Daah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu simply tu ...Ni kwasababu huwa hamjui mnacho kitakaNawapenda wote ila nampenda sana wa pili lakin i feel sorry kwa wa kwanza. Naanza vp kuachana nae ni mtu mzuri pia amenitambulisha kwa wazazi wake na mimi nimemtambulisha kwa mdogo wangu na rafiki zangu. Na mama yake ananipenda sana lakini mapenzi kwake yamepungua sijui kwann
Hao ndio wanawake mkuu usishangae Sana ... majority yao iko hivyoDaah
Upitwi[emoji23][emoji23][emoji23] me nana mpango wa kuongeza wa 7 alafu awe mume wa mtu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ushasema huwezi kuwaacha sasa sisi tutakushauri nini uelewe?
Mkuu jitadhimini tena na tena maana unajiamini vipi kujificha kwenye kichaka cha maarage yaliyo kauka;unashangaa wote wameshakufahamu na wana-machaguo yao tofauti na wewe.Sidhani kama naeza kuwapoteza wote kama kupoteza labda mmoja
[emoji2][emoji2]duuh wa saba? Angekuwa wa pili ningetuma maombiUpitwi[emoji23][emoji23][emoji23] me nana mpango wa kuongeza wa 7 alafu awe mume wa mtu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation.
Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi.
Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka 1 na miezi 5. Huyu kaka mwngine niko naye huu mwezi wa 3. Wote wawili wananiamini sana mpaka sometimes nahisi vibaya kwa nnavofanya lakini sjui nifanye nini, nawapenda wote.
Nifanye nini ili niweze kuchagua mmoja niendelee naye?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wawili tu hmn hawanitoshi kbsaa mimi[emoji85][emoji85][emoji2][emoji2]duuh wa saba? Angekuwa wa pili ningetuma maombi
Haha wote hao sasa mashavu si yatalala?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wawili tu hmn hawanitoshi kbsaa mimi[emoji85][emoji85]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]Haha wote hao sasa mashavu si yatalala?
Mwaya wala ata niliye naye tu ananishinda anakula mzigo mara moja kwa mwezi inakuwaje 7[emoji849][emoji849][emoji849][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
Mimi nina wivu ningejaza hiyo nafasi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
Weee mara moja kwa mwezi ana matatizo gani au yupo bize sanaMwaya wala ata niliye naye tu ananishinda anakula mzigo mara moja kwa mwezi inakuwaje 7[emoji849][emoji849][emoji849]
Karibu dm.Wengine Wana wanaume saba na ni kawaida, wewe Bado underground kwenye hii sector nini?
Anakula za watu ukoWeee mara moja kwa mwezi ana matatizo gani au yupo bize sana
Tutamsaidia ujue
Sio mbaya tukimsaidia...sharing is caringAnakula za watu uko
Yupo mbali na mimi..
Sasa si hapo si nitakuwa nisha ongeza tayari wa piliSio mbaya tukimsaidia...sharing is caring