Nauliza tena, Wote hao wanakuwa wanamwagia ndani au! Kinyaa sana!Yaan we una wawili na uwaza na tulio na6[emoji849] na hawajuwani kbsaa
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji126]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nauliza tena, Wote hao wanakuwa wanamwagia ndani au! Kinyaa sana!Yaan we una wawili na uwaza na tulio na6[emoji849] na hawajuwani kbsaa
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji126]
Nimejitahidi mno kumiliki mwanaume zaidi ya mmoja ila nimeshindwa.hivi ni chuo gani wanatoa hii course aise
Nijue kwanza jinsia yako ndo nikujibu swali lakoNilikuwa nasemaga siwezi kuwa na mahusiano na wanaume wawili kwa wakati mmoja pia. Lakin sasa hivi nko nao mpk mwenyewe najishangaa [emoji1751]
Umefanyaje fanyaje mpka umeweza?Nilikuwa nasemaga siwezi kuwa na mahusiano na wanaume wawili kwa wakati mmoja pia. Lakin sasa hivi nko nao mpk mwenyewe najishangaa 🤦
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Shukrani ziende kwa Laisi wetu[emoji2][emoji2] umeingia mahusiano ya kati sasa
Nauliza tena, Wote hao wanakuwa wanamwagia ndani au! Kinyaa sana!
Chagua anayekupelekea moto au anayekupa helaSikuwahi kufikiri kama kuna siku ningekua kwenye hii situation.
Sio tabia nzuri lakini siwezi kumuacha yeyote; nawapenda wote, they are all mine. Labda kama mmoja atagundua namcheat akitaka tuachane naweza kuachana na mmoja lakini mimi mwenywe siwezi.
Mmoja niko naye kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka 1 na miezi 5. Huyu kaka mwngine niko naye huu mwezi wa 3. Wote wawili wananiamini sana mpaka sometimes nahisi vibaya kwa nnavofanya lakini sjui nifanye nini, nawapenda wote.
Nifanye nini ili niweze kuchagua mmoja niendelee naye?
Dada yangu umeamua kutengeneza cheni ya kujiambukiza magonjwa wewe mwenyewe kwa hiyari yako
Je huyo wa kwanza hakua muelewa ulipomueleza kero yako!
Yaan kipi kimefanya uchukue maamuzi hayo?!
Narumai utanipoteza mimSidhani kama naeza kuwapoteza wote kama kupoteza labda mmoja
Ndio ukweli huo [emoji16][emoji16][emoji16]Unaweza ukakuta nao kila mmoja ana zaidi ya wewe[emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Wengine Wana wanaume saba na ni kawaida, wewe Bado underground kwenye hii sector nini?
[emoji16][emoji16][emoji16] hajui huyuWawili tu mbona wachache sana wenzio wana mpaka nane anakwenda kwa muda na timing tu [mama zetu hawa sometimes wa hovyo sana]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Ungejua my foot .. !!!! [emoji16][emoji16][emoji16] Subiri uje kupigwa tukio ndio utajua haujui yaaniInawezekana lakin sidhani. Huyu wa kwanza sio mtu wa kujichanganya na watu muda wake wa ziada kama hayuko na mimi basi yuko home au kwa wazazi wake. Angekua na mwingine ningejua.
[emoji16][emoji16][emoji16] baadae akipewa mimba na kutelekezwa atakuja kusema wanaume wote Ni mbwa [emoji16]Jipige kifuani mara tatu kisha sema kimoyo moyo "mimi ni kicheche mzoefu"
Duh wewe utafanya tuendelee kuwekewa gunia zaidi ya 2 za mkaa. Kwanini usichague the most lovely one? Inamaana unawapenda sawa sawa? Acha ubinafsi bana achia mmoja wengine tumpate huko mtaani😉
Aisee ptuuuuuu [emoji3]Nauliza tena, Wote hao wanakuwa wanamwagia ndani au! Kinyaa sana!