Kwa mara ya Kwanza nimepokea Call zaidi ya 500 na SMS 2076 ndani ya masaa 11; Vijana Nani kawaloga?

Kwa mara ya Kwanza nimepokea Call zaidi ya 500 na SMS 2076 ndani ya masaa 11; Vijana Nani kawaloga?

Show kama hzo unazikuta Twitter kwa pilau nyama na utopolo unachukua sheria mkononi siku inaisha [emoji41]
 
Alafu Mkuu unajua ninavyokuheshimu?
Mimi sina hiyo video Ila Nina watu wenye nazo.
Siku ikitoka yako nitakuwa wakwanza kukutumia. 😀😀😀
Sasa yangu hadi inatoka ntakua nimeitoa mwenyewe mkuu, haina haja ya kunitumia tena, nifanyie mpango wa hiyo connection acha tugawane dhambi bana.
 
Halafu hawa vijana wa Kitanzania ndio unawakuta wanalia shida ya maisha na ukosefu WA Ajira [emoji1][emoji1][emoji1]

Huwa nawaangalia tu

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kwa taarifa yako ndugu muandishi porno ndyo bidhaa pendwa hpa Duniani viewers wa porno na Nudes ni mamilioni kwa mabilioni, na wanaoongoza kwa kutizama izo Nudes za wanawake ni wanawake wenyewe! Kwa nyongeza2 Bingwa wa mabingwa Mpka saiv katika kutubles sisi chaputa ni AMBER RUTI uyu ndyo anaishikilia Ballon Dior. Hao akina uwoya hawana maajabu
 
Mtaji wa ccm huo, sio bahati mbaya ni man made
 
Njoo DM mkuu tuongee, hiyo connection hata mimi naihitaji sana
 
Back
Top Bottom