Kwa mara ya kwanza nimeshuhudia mbuzi anachinjwa huku amezibwa mdomo Usseri Rombo!

Kwa mara ya kwanza nimeshuhudia mbuzi anachinjwa huku amezibwa mdomo Usseri Rombo!

Je ungeshuhudia anavyo tolewa roho KITIMOTO, si ndio ungekuwa VEGETERIAN kabisa.

Kwa kifupi hachinjwi, anapigwa bonge moja la rungu kwenye kichwa.
KITIMOTO anachinjwa kikatili sana.

Nishawah kushuhudia sehemu, yaan anamwagiwa maji ya moto kwanza akiwa hai halaf baadae anapigwa shoka moko tu kichwani.
 
Je ungeshuhudia anavyo tolewa roho KITIMOTO, si ndio ungekuwa VEGETERIAN kabisa.

Kwa kifupi hachinjwi, anapigwa bonge moja la rungu kwenye kichwa. Haombi hata maji. Sasa umkosee kumpiga panapotakiwa kupigwa, yaani umjeruhi asife. Huo mtafaruku wake si wa kispoti spoti.
Sikuwahi kuona sababu ya kumuanganiza nguruwe kwa namna ile lakini watekelezaji wakawa wabishi kutetea wakidai haiwezekani kumuanganiza kwa namna zaidi ya ile sababu ya vurugu na kelele.
Hiyo ilikua ni mwaka 1998 mkoani Mbeya, ili kukata ubishi wao nikawaambie twende wanapochinja kiti moto.
Tulipofika nikawaomba wanitafutie kijiti kigumu na kinene. Kilipoletwa nikakamata nguruwe shingoni nikaminya mdomo alipotanua kinywa nikaingiza kijiti ili aking'ate na meno (magego) alipoking'ata tu hakukua na kelele nikachukua kisu kikali nikakitelezesha shingoni, ilikua gumzo kwa kitendo cha kuchinja nguruwe kwa kisu tena nikiwa mwenyewe huku wao wakishuhudia.
 
Yaan mkuu zile kelele zote hadi ukapata mualiko[emoji23][emoji23][emoji23]

Halafu watu kama nyie wenye vidomodomo ndo hatualikagi.

About post yako kiukweli kabisa sijui na sijawahi kuona. Kama ni uchinjaji wa kawaida ama ni watu wana mambo yao sijui. Nami ndo nasikia kwako. Ngoja nitameuliza mjomba wangu then nitakupatia majibu.

Sasa mkuu unajua jinsi nguruwe anavyochinjwaga?
Anapigwa rungu moja kali sana kwanza kunpotezea fahamu kisha ndo unamchinja. Ana vurugu vibaya mno. Sababu ya kumweka rungu vile utaijua siku ukimkosa halafu akushughulikie.
 
Warombo ni washirikina sana,kinachowasaidia wanajua kulinda brand yao kwakutoyaweka wazi mambo yao yakishirikinashirikina.
Nitakuloga na wewe uje uandike vizuri hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pole sana,ila amini hakuna mkimbizi au mgeni aliwahi kukubali kwa haraka tamaduni za wenyeji. Nilipokuja Dar mara kwanza nilishindwa kabisa kula pweza na ngisi,kwanza waliogopesha ila kwa sasa wanashuka tu. Endelea tu
 
Je ungeshuhudia anavyo tolewa roho KITIMOTO, si ndio ungekuwa VEGETERIAN kabisa.

Kwa kifupi hachinjwi, anapigwa bonge moja la rungu kwenye kichwa. Haombi hata maji. Sasa umkosee kumpiga panapotakiwa kupigwa, yaani umjeruhi asife. Huo mtafaruku wake si wa kispoti spoti.
Siku hizi tunachinja ka kuku tu
 
Nimeshuhudia jana mbuzi anachinjwa huku amezibwa mdomo ili asilie.

Kwa ushinjaji huu hamu ya nyama ya mbuzi imeniishia kabisa bora kesho nirudi Dar.

Happy New Year!
Kuna uhusiano wowote wa kishirikina na tendo hilo la kumziba mdomo wakati wa kumchinja?
 
Je ungeshuhudia anavyo tolewa roho KITIMOTO, si ndio ungekuwa VEGETERIAN kabisa.

Kwa kifupi hachinjwi, anapigwa bonge moja la rungu kwenye kichwa. Haombi hata maji. Sasa umkosee kumpiga panapotakiwa kupigwa, yaani umjeruhi asife. Huo mtafaruku wake si wa kispoti spoti.
lliedie ya kweli haya..🤣🤣
 
Nimeshuhudia jana mbuzi anachinjwa huku amezibwa mdomo ili asilie.

Kwa ushinjaji huu hamu ya nyama ya mbuzi imeniishia kabisa bora kesho nirudi Dar.

Happy New Year!
Duu!! Aisee!! Sasa nimeshajuwa mbinu walizotumia wezi kuniibia Mbuzi wangu..

nilijiuliza sana iweje Mbuzi 6 wachinjwe ndani kwangu nisisikie hata kelele?

Duu!! Kumbe ndy style hiyo?

Aisee!!!
 
Ule siyo uchinjaji bali ni unyama sawa tu na mila ya ukeketaji bila ganzi!
Kuna wadau wamesema hiyo ina maana yake kimila...
USHIRIKINA!

Ukweli ni kwamba Wachagga wanafunga mwaka kwa MATAMBIKO!

Hii habari ya kurudi eti kusherehekea Christmas nyumbani ni Camouflage tu sababu ushirikina ni sifa mbaya!
 
Back
Top Bottom