Kwa mara ya kwanza nimeshuhudia mbuzi anachinjwa huku amezibwa mdomo Usseri Rombo!

Kwa mara ya kwanza nimeshuhudia mbuzi anachinjwa huku amezibwa mdomo Usseri Rombo!

Kuna wadau wamesema hiyo ina maana yake kimila...
USHIRIKINA!

Ukweli ni kwamba Wachagga wanafunga mwaka kwa MATAMBIKO!

Hii habari ya kurudi eti kusherehekea Christmas nyumbani ni Camouflage tu sababu ushirikina ni sifa mbaya!
Mimi ni mchaga original na dini yangu ni Catholic ila wanyama wangu watakuwa wanachinjwa na waislam.Watakuwa wanachinjwa na waislam siyo kwa sababu za kidini bali kwa sababu waislam huwa wanajua kuchinja vizuri.
 
Tueleze wewe kwanini adidimizwe kisu cha moyo badala ya kukata shingo..?
Hapa amesema amechinjwa akiwa amefumbwa mdomo.Hiyo ya kudimizwa kisu cha moyo naiona kwenye kiti moto
 
Mbuzi wa Mila ndio anachinjwa hivyo na anayeshika mdomo anatakiwa ahakikishe mbuzi halii na endapo akimuachia akalia kulingana na mila adhabu itabidi alete mbuzi na ngombe ukikataa mikosi itakuandama balaa...
#karibuni Marangu tunywe mbege.
 
  • Thanks
Reactions: ARV
Je ungeshuhudia anavyo tolewa roho KITIMOTO, si ndio ungekuwa VEGETERIAN kabisa.

Kwa kifupi hachinjwi, anapigwa bonge moja la rungu kwenye kichwa. Haombi hata maji. Sasa umkosee kumpiga panapotakiwa kupigwa, yaani umjeruhi asife. Huo mtafaruku wake si wa kispoti spoti.
Hiyo ilikua zamani ila siku hizi Kitimoto anachinjwa kawaida tu fuatilia utaona.
#Ovaa
 
Sasa ukishudia kitimoto anaviziwa na anapigwa bonge la rungu utakula kweli wewe
 
Je ungeshuhudia anavyo tolewa roho KITIMOTO, si ndio ungekuwa VEGETERIAN kabisa.

Kwa kifupi hachinjwi, anapigwa bonge moja la rungu kwenye kichwa. Haombi hata maji. Sasa umkosee kumpiga panapotakiwa kupigwa, yaani umjeruhi asife. Huo mtafaruku wake si wa kispoti spoti.

[emoji23][emoji23]
 
Kifupi ni kuwa huyo mbuzi alikuwa wa mila, sasa akishazibwa mdomo mkakosea akatoa sauti basi hiyo mila haifai tena ,lazima atafutwe mbuzi mwingine kwa ajili ya shughuli hiyo
 
Kuna wadau wamesema hiyo ina maana yake kimila...
USHIRIKINA!

Ukweli ni kwamba Wachagga wanafunga mwaka kwa MATAMBIKO!

Hii habari ya kurudi eti kusherehekea Christmas nyumbani ni Camouflage tu sababu ushirikina ni sifa mbaya!
Wachaga wengi ni washirikina Sana , wengi wanatumia dumba kwenye biashara zao, wanafuga sana misukule kwenye nyumba zao za biashara, Cha kushangaza siku ya jumapili utawakuta wamebeba Bible na kuwahi kanisani utafikiri kweli ni waumini wa kweli kumbe wengi ni vigagula.
 
Kifupi ni kuwa huyo mbuzi alikuwa wa mila, sasa akishazibwa mdomo mkakosea akatoa sauti basi hiyo mila haifai tena ,lazima atafutwe mbuzi mwingine kwa ajili ya shughuli hiyo

Sasa Mbuzi unaweza kuziba mdomo na kuchinja/kutoboa.. sasa ikiwa mnachinja Ng`ombe wa mila mnafanyaje? Nae mnashikilia mdomo kufunga? Ki vipi?
Wachaga wengi ni washirikina Sana , wengi wanatumia dumba kwenye biashara zao, wanafuga sana misukule kwenye nyumba zao za biashara, Cha kushangaza siku ya jumapili utawakuta wamebeba Bible na kuwahi kanisani utafikiri kweli ni waumini wa kweli kumbe wengi ni vigagula.

Wewe umesikia wapi mkuu kwamba hio jamii ni wachawi? Unafikiri uchawi ndio hiyo kufuga misukule? Uchawi ni everything like air..hata maandishi haya unayosoma yanaweza kuwa yakichawi.usikariri tunguli tu
 
Sisi kwetu hachinjwi anazibwa mdomo anachomwa kisu kifuani
Nadhani hili litakua linahusisha mambo ya mila..wengine nasikia wakishachinja wanaangalia viungo vya ndani vimekaaje na kuweza kubashiri hali ya ukoo nk.
 
Sasa Mbuzi unaweza kuziba mdomo na kuchinja/kutoboa.. sasa ikiwa mnachinja Ng`ombe wa mila mnafanyaje? Nae mnashikilia mdomo kufunga? Ki vipi?


Wewe umesikia wapi mkuu kwamba hio jamii ni wachawi? Unafikiri uchawi ndio hiyo kufuga misukule? Uchawi ni everything like air..hata maandishi haya unayosoma yanaweza kuwa yakichawi.usikariri tunguli tu
Mkuu uchagani n'gombe hafai kwa mila
 
Aisee nami huchinja kwa style hiyo japo uwa sipendi watoto wangu wa kike waone,mara zote wanangu wawili wa kiume uwa nahakikisha wanashiriki zoezi nami mpk mwisho,
Halafu sipendi Maalimu kunichinjia km hataki Kula ni kivyake

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Sasa Mbuzi unaweza kuziba mdomo na kuchinja/kutoboa.. sasa ikiwa mnachinja Ng`ombe wa mila mnafanyaje? Nae mnashikilia mdomo kufunga? Ki vipi?


Wewe umesikia wapi mkuu kwamba hio jamii ni wachawi? Unafikiri uchawi ndio hiyo kufuga misukule? Uchawi ni everything like air..hata maandishi haya unayosoma yanaweza kuwa yakichawi.usikariri tunguli tu
Ng'ombe hafai kwa mila mkuu hua ni mbuzi tu na wakati mwingine huwa ni mbuzi maalumu mfano kuna mila inataka mbuzi jike ambae hajazaa wala kugegedwa.
 
Back
Top Bottom