Kwa mara ya kwanza Rais Samia kamgusa Mzee Jakaya Kikwete?

Kwa mara ya kwanza Rais Samia kamgusa Mzee Jakaya Kikwete?

Humu ndani ndo maana Samia alisema huwa akisoma anacheka sana....
Yaani mtu anaandika gazeti based on assumptions za kichwa chake na watu wanaanza kubishana au kumuunga mkono...
Yoote haya Samia ukute na yeye anasoma Kama story Tu za kubuni ndo maana akisoma anacheka ..
Humu ndani ndo maana Samia alisema huwa akisoma anacheka sana....
Yaani mtu anaandika gazeti based on assumptions za kichwa chake na watu wanaanza kubishana au kumuunga mkono...
Yoote haya Samia ukute na yeye anasoma Kama story Tu za kubuni ndo maana akisoma anacheka ..
Usikute nayeye analetaga nyuzi na mbishi kinomaa,pili usikute avatar yake huwezi amini
 
Dar es salaam hapa wamepigwa na kitu kizito Sana
 
Ninafikiri anajaribu kuuunganisha makundi hasimu kuelekea 2025.
 
Acheni kumlisha rais Dkt Samia maneno. Hayo ni mabadiliko ya kawaida na kumbuka Mwanza ni ngome muhimu kuelekea 2025, inahitaji mtu makini kama Makalla. Hivyo Makalla kapandishwa na hajashushwa maana anaenda kutafuta kura za rais 2025 kanda ya ziwa.
Kutafuta kura kwa kuvaa mamiwani na kubwabwaja?
 
Muulize Roma mkatoriki na mjane wa Ben Saanane
Soma hii kutoka kwa yoga
===
Iko hivi mr new culture, amechangamka kidogo! Tuseme nayeye ni born town anayechipukia kwenye upande wa kampuni yake!! Ame kuwa CEO Kwa miaka kadha wa kadha! Kuna kipindi alipaswa kuachia ngazi kwa mujibu wa utaratibu wa kampuni yao but haikuwa ivyo. Aliweza kufanya umafia wake na kubaki as CEO ndani ya kampuni yake!

Wapo vijana walimchallenge mr new culture as a CEO at the end of the Day they ended up dead or fired from the company!! Kuna kijna wake mmoja alie mtrain vya kutosha na kujizolea umaarufu wa kutosha! Kijana alitamani awe CEO amtoe mr new culture, nia yake ilishia kwenye grave yard!
 
Aliharibu nini kwa mfano?
Alivamia kituo cha TV na mitutu ya bubduki!
Aliwatisha wafanyakazi kwenye kudai haki zao
Alijitwalia mamlaka ya kuchafua watu kwamba wanauza madawq ya kulevya nje kabisa ya mamlaka yake.
Ni mpuuzi tu asiye jua kwamba makonda/BASHITE alikuwa mpuuzi na kuhoji kama wewe
 
Chalamila yale matukio mawili ya ajali ya precision Air na mabug yalimbeba namna alivyodili nayo. Kongole kwake
 
Back
Top Bottom