Kwa mara ya kwanza Rais Samia kamgusa Mzee Jakaya Kikwete?

Usikute nayeye analetaga nyuzi na mbishi kinomaa,pili usikute avatar yake huwezi amini
 
Dar es salaam hapa wamepigwa na kitu kizito Sana
 
Ninafikiri anajaribu kuuunganisha makundi hasimu kuelekea 2025.
 
Acheni kumlisha rais Dkt Samia maneno. Hayo ni mabadiliko ya kawaida na kumbuka Mwanza ni ngome muhimu kuelekea 2025, inahitaji mtu makini kama Makalla. Hivyo Makalla kapandishwa na hajashushwa maana anaenda kutafuta kura za rais 2025 kanda ya ziwa.
Kutafuta kura kwa kuvaa mamiwani na kubwabwaja?
 
Muulize Roma mkatoriki na mjane wa Ben Saanane
Soma hii kutoka kwa yoga
===
 
Aliharibu nini kwa mfano?
Alivamia kituo cha TV na mitutu ya bubduki!
Aliwatisha wafanyakazi kwenye kudai haki zao
Alijitwalia mamlaka ya kuchafua watu kwamba wanauza madawq ya kulevya nje kabisa ya mamlaka yake.
Ni mpuuzi tu asiye jua kwamba makonda/BASHITE alikuwa mpuuzi na kuhoji kama wewe
 
Chalamila yale matukio mawili ya ajali ya precision Air na mabug yalimbeba namna alivyodili nayo. Kongole kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…