Uchaguzi 2020 Kwa mara ya kwanza watanzania tunashuhudia Chama cha Siasa chenye mgombea Urais 100% Kibaraka

Uchaguzi 2020 Kwa mara ya kwanza watanzania tunashuhudia Chama cha Siasa chenye mgombea Urais 100% Kibaraka

Kejuu

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2020
Posts
645
Reaction score
906
Ndugu watanzania wenzangu, Kipekee napenda kumshukru Mungu kwa kunipa siku ya leo.

Tangu kuanzishwa kwa uchaguzi wa vyama vingi vya siasa, CHADEMA imekuwa na wagombea uraisi kama vile: Mhe. Mbow, Mh. Dr. Slaa, Mh. Lowasa. Waheshimiwa hawa hawakuwa na makando makando ya wazi ya kuwa na mkono wa beberu. Kwenye uchaguzi huu, naona mbengu nyingine kabisa, ambayo imepandwa kwenye udogo wa beberu, inatiliwa mbolea na beberu, na inamwagiliwa maji na beberu. Aidha, tangu Mhe. Tundu Lissu arejee kutoka ughaibuni, nyendo zake zimekuwa za jeuri jeuri, kutoatoa vitisho kwa serikali, kumbe jeuri hii ilikuwa na mkono wa beberu nyuma yake. Na hii medhihirika baada ya kusambaa kwa barua ya wale mabeberu (Amsterdam et al,). Kwa kitendo hiki, nidhahiri Mh. Tundu Lissu ni 100% kibaraka.

Kwa ninavyoona, Mhe. Tundu Lissu anajua kabisa hatashinda kwenye uchaguzi, na haitakuja kutokea kuwa raisi wa nchi hii kwa sababu ya mazingira ambayo amejitengenezea mwenyewe. Kwenye uchaguzi huu, Mh. Tundu Lissu, ataleta amsha amsha tu na hawezi kufikia hata nusu ya Mh. Lowasa.

Kwa msiojua, Tanzania ni moja ya nchi pendwa sana na Mungu, tuna rekodi ya kuvushwa katika changamoto nyingi sana: tulishuhudia kelele za kukamatwa kwa ndege, klele za makinikia, kelele za Korona n.k., katika yote haya Mungu alitusaidia tukavuka. Kwa kipindi hiki cha uchaguzi, hakuna cha kibaraka, mtoto wake na kibaraka, beberu au mtoto wake na beberu ambaye atafanikiwa kuingia kwenye Ikulu ya Magogoni na Chamwino. Tunataka Ikulu yetu ikaliwe na raisi ambaye ataweka mbele mslahi ya taifa hili, na tutaomba kwa Mungu mchana na usiku ili jambo hili litimie. Mimi nina imani kubwa sana Mh. Magufuli anaenda kushinda kwa kishindo kwenye uchaguzi huu, na ataongoza tena kwa miaka 5.

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
 
Namimi nina imani na Lissu ambaye atashinda mchana kweupee na Mungu tunamuomba tangu alipompnya na yale madhira yaliyo mpata yule aliyetuma wale watu apate laana yeye watoto wake pamoja na wajukuu zake.

Ila jana nilikuwa naona mgombea mmoja wakati anarudisha fomu zinamdondoka hadi sakafuni anahangaika kuokota nikajuwa hizo huwa ni ishara nzuri kuwa hofu imeshamuingia ya kutosha sasa hivi hata ukimuangalia usoni amekosa amani kabisa maana anafahamu kuwa hawezi kushinda na hana lakufanya. Katika hali ya kawaida inakuwaje fomu zinadondoka mara mbilimbili jamani. Mungu wetu ni wa upendo sana.
 
Mtahangaika sana pumbavu nani aliwaambia mteue mgombea asiyejua Kiingereza..

Yan kutokujua kwenu Kiingereza na kutoijua dunia ndo mnawaona wengine vibaraka, ebo!😀

Si ni PhD holders nyie au mliiba research ya mtu? hovyo kweli yan, hamwoni hata aibu Kilaza wenu kujiita dokta, hovyo kabisa!
 
". Tunataka Ikulu yetu ikaliwe na raisi ambaye ataweka mbele mslahi ya taifa hili, na tutaomba kwa Mungu mchana na usiku ili jambo hili litimie"
Mwisho wa kunukuu.

Mkuu, ungeishia hapo alafu usubiri Mungu ajibu maombi yako. Mungu ndie anajua ukweli Kati ya Tundu Lissu vs Magufuli ni nani mwenye haki ya kuiongoza Tanzania baada ya uchaguzi huu kupita
 
Kwa taarifa yako tu ni kwamba, huyo umuitae kibaraka ni among the Top Patriots ws nchi hii. Katafute kazi aliyoifanyia Lissu nchi hii tena zile kazi zinazogusa raia moja kwa moja.

Hizo habari za kusimuliwa uwe unashirikiana na kichwa chako kuzichuja, inaelekea umeanza kumjua Lissu kupitia propaganda akiwa amelazwa ubelgiji.
 
Endelea kujinyea mkuu ...si mlisema akija atakamatiwa airport?? Vp alikamatwa?? Mkasema akigombea chama chake hakiwezi kumteua, vp hakuteuliwa na chama chake?? Mkasema akipitishwa na chama chake Tume haiwezi kumpitisha , vp hajateuliwa?? Bado tu mnaendelea kujifanya hamnazo??

Lissu anashinda Kama ambavyo ameshinda toka huko ...achaneni na lissu, jaribu Sasa kumpigia magoti kuomba maridhiano na lissu ..mwaka huu ccm jaribuni kuwa wapole maana mpk muda huu chadema tumechukua nchi bado tu kutangazwa ...jiandaeni kisaikolojia kwa hilo na jiwe tumemtwisha gogo tuone atajitua vp
 
Hii dhana ya mabeberu na vibaraka ni dhana fikirishi. Ukiitendea haki dhana hii kwa fikra zamivu utagundua sehemu kubwa ya jamii yetu ni vibaraka wa mabeberu wa ndani na nje.

Tuliza akili kidogo uangalie makapuni ya kigeni, mabenki, taasisi za dini na mashirika yasiyo ya kiserikali yote yanafanya kazi kwa niaba ya mabeberu ambao ni wawekezaji au mashirika ya kimaifa yanayo ratibiwa na mabeberu wakuu
 
Mkuu,
Nenda kalale upate kupumzika, huenda kwa kupumzika unaweza kuipa akili yako uwezo wa kufikiri. Kwa kweli taifa hili kwa sasa linahitaji sana watu wenye uwezo wa kufikiri!
 
Safari hii mtakufa kwa kutengeneza mada za kijinga baada ya kutoka kuvuta Bangi gheto kwa cyprian Musiba na kukariri ujinga wake, swali kwako wewe mbumbumbu juha zuzu, huko Ulaya Tundu alikwenda mwenyewe?

Kama siyo wewe na Bashite kwenda Dodoma kumpiga risasi Tundu lisu angekuwa kilema leo? Una imani magufuli anaenda kushinda kwa kishindo iweje anamfanyia Lisu hizo figisu figisu?
 
Hii dhana na mabeberu na vibaraka ni dhana fikirishi. Ukiitendea haki dhana hii kwa fikra zamu utagundua sehemu kubwa ya jamii yetu ni vibaraka wa mabeberu wa ndani na nje. Tuliza akili kidogo uangalie makapuni ya kigeni, mabenki, taasisi za dini na mashirika yasiyo ya kiserikali yote yanafanya kazi kwa niaba ya mabeberu ambao ni wawekezaji au mashirika ya kimaifa yanayo ratibiwa na mabeberu wakuu
CCM wakienda ulaya kupiga magoti kuomba omba misaada Kwa wazungu huwaita wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa upumbavu wa CCM hugeuka na kuwaita wanaume wenzao mabeberu utazani CCM ni mbuzi jike.
 
Hasira zinaanza kulipuka baada ya jina kushindikana kukatwa na tume. Suala ni kujibu hoja kinzani, hayo mambo ya ukibaraka ama ubeberu hayana nafasi kwa watu wenye kuijali kesho yenye uhakika ya taifa lao.
 
Umezoe kupewa Kofi bure na mashati ya kijani bure. Hatutashangaa kauli zako.
 
Na bado hamjanena kwa lugha, Lisu atawatoa makamasi kama yote.

Vipi asili ya jiwe unaifahamu vizuri atokako?
 
". Tunataka Ikulu yetu ikaliwe na raisi ambaye ataweka mbele mslahi ya taifa hili, na tutaomba kwa Mungu mchana na usiku ili jambo hili litimie"
Mwisho wa kunukuu.

Mkuu, ungeishia hapo alafu usubiri Mungu ajibu maombi yako. Mungu ndie anajua ukweli Kati ya Tundu Lissu vs Magufuli ni nani mwenye haki ya kuiongoza Tanzania baada ya uchaguzi huu kupita
Mungu alishamkataa magufuli ndiyo maana alimpiga Risasi Lisu ili ampishe atawale bila kukosolewa
 
Inawezekana hujui unachozungumza au unataka kudanganya watu kwa sababu unazojua wewe, nakusaidia kukuwekea report ya jinsi Mheshimiwa Lissu alivyo na record na historia iliyotukuka ya kutetea rasilimali za nchi hii, report hii ni ya mwaka 2008 na iliandaliwa kwa pamoja na Christian Council of Tanzania, BAKWATA na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania
 

Attachments

Back
Top Bottom