Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,729
- 2,851
%0Hao wengine ni Vibaraka kwa asilimia ngapi!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
%0Hao wengine ni Vibaraka kwa asilimia ngapi!?
Nyie ndio wapumbavu wakubwa wa ccm acheni ujinga wenu!Ndugu watanzania wenzangu,
Kipekee napenda kumshukru Mungu kwa kunipa siku ya leo.
Tangu kuanzishwa kwa uchaguzi wa vyama vingi vya siasa, Chadema imekuwa na wagombea uraisi kama vile: Mh. Mbow, Mh. Dr. Slaa, Mh. Lowasa. Waheshimiwa hawa hawakuwa na makando makando ya wazi ya kuwa na mkono wa beberu. Kwenye uchaguzi huu, naona mbengu nyingine kabisa, ambayo imepandwa kwenye udogo wa beberu, inatiliwa mbolea na beberu, na inamwagiliwa maji na beberu. Aidha, tangu Mh. Tundu Lissu arejee kutoka ughaibuni, nyendo zake zimekuwa za jeuri jeuri, kutoatoa vitisho kwa serikali, kumbe jeuri hii ilikuwa na mkono wa beberu nyuma yake. Na hii medhihirika baada ya kusambaa kwa barua ya wale mabeberu (Amsterdam et al,). Kwa kitendo hiki, nidhahiri Mh. Tundu Lissu ni 100% kibaraka.
Kwa ninavyoona, Mh. Tundu Lissu anajua kabisa hatashinda kwenye uchaguzi, na haitakuja kutokea kuwa raisi wa nchi hii kwa sababu ya mazingira ambayo amejitengenezea mwenyewe. Kwenye uchaguzi huu, Mh. Tundu Lissu, ataleta amsha amsha tu na hawezi kufikia hata nusu ya Mh. Lowasa.
Kwa msiojua, Tanzania ni moja ya nchi pendwa sana na Mungu, tuna rekodi ya kuvushwa katika changamoto nyingi sana: tulishuhudia kelele za kukamatwa kwa ndege, klele za makinikia, kelele za Korona n.k., katika yote haya Mungu alitusaidia tukavuka. Kwa kipindi hiki cha uchaguzi, hakuna cha kibaraka, mtoto wake na kibaraka, beberu au mtoto wake na beberu ambaye atafanikiwa kuingia kwenye Ikulu ya Magogoni na Chamwino. Tunataka Ikulu yetu ikaliwe na raisi ambaye ataweka mbele mslahi ya taifa hili, na tutaomba kwa Mungu mchana na usiku ili jambo hili litimie. Mimi nina imani kubwa sana Mh. Magufuli anaenda kushinda kwa kishindo kwenye uchaguzi huu, na ataongoza tena kwa miaka 5.
Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
Risasi zako ndizo zilimpeleka huko unakokuita kwa mabeberu. Juzi alikuuliza beberu ni nani? Sijaona alijibu kwani hao hao mna waita mabeberu ndio wanaowapa misaada na mikopo.Kwa kitendo hiki, nidhahiri Mh. Tundu Lissu ni 100% kibaraka.
Sasa mngekuwa hamna figisu figisu na chembechembe za kuwafanyia wenzenu mbaya unafikiri angefanya aliofanya. Inabidi ajikinge na uzuri hayafanyi mafichoni amesema wazi kuhusu wakina Amsterdam et al sasa mchecheto unawaingia.Aidha, tangu Mh. Tundu Lissu arejee kutoka ughaibuni, nyendo zake zimekuwa za jeuri jeuri, kutoatoa vitisho kwa serikali, kumbe jeuri hii ilikuwa na mkono wa beberu nyuma yake. Na hii medhihirika baada ya kusambaa kwa barua ya wale mabeberu (Amsterdam et al,). Kwa kitendo hiki, nidhahiri Mh. Tundu Lissu ni 100% kibaraka.
Ashinde asishinde kwa jeuri yake atawaamsha waliolala na kupunguza ukondoo wa Nyerere. Hatujakuwa na Raisi kama huyu wa awamu hii, sasa siajabu kuwa na mgombea aina ya Lissu atae endana sawa na tabia za huyo jamaa.
A 100% rubbish article.Ndugu watanzania wenzangu,
Kipekee napenda kumshukru Mungu kwa kunipa siku ya leo.
Tangu kuanzishwa kwa uchaguzi wa vyama vingi vya siasa, Chadema imekuwa na wagombea uraisi kama vile: Mh. Mbow, Mh. Dr. Slaa, Mh. Lowasa. Waheshimiwa hawa hawakuwa na makando makando ya wazi ya kuwa na mkono wa beberu. Kwenye uchaguzi huu, naona mbengu nyingine kabisa, ambayo imepandwa kwenye udogo wa beberu, inatiliwa mbolea na beberu, na inamwagiliwa maji na beberu. Aidha, tangu Mh. Tundu Lissu arejee kutoka ughaibuni, nyendo zake zimekuwa za jeuri jeuri, kutoatoa vitisho kwa serikali, kumbe jeuri hii ilikuwa na mkono wa beberu nyuma yake. Na hii medhihirika baada ya kusambaa kwa barua ya wale mabeberu (Amsterdam et al,). Kwa kitendo hiki, nidhahiri Mh. Tundu Lissu ni 100% kibaraka.
Kwa ninavyoona, Mh. Tundu Lissu anajua kabisa hatashinda kwenye uchaguzi, na haitakuja kutokea kuwa raisi wa nchi hii kwa sababu ya mazingira ambayo amejitengenezea mwenyewe. Kwenye uchaguzi huu, Mh. Tundu Lissu, ataleta amsha amsha tu na hawezi kufikia hata nusu ya Mh. Lowasa.
Kwa msiojua, Tanzania ni moja ya nchi pendwa sana na Mungu, tuna rekodi ya kuvushwa katika changamoto nyingi sana: tulishuhudia kelele za kukamatwa kwa ndege, klele za makinikia, kelele za Korona n.k., katika yote haya Mungu alitusaidia tukavuka. Kwa kipindi hiki cha uchaguzi, hakuna cha kibaraka, mtoto wake na kibaraka, beberu au mtoto wake na beberu ambaye atafanikiwa kuingia kwenye Ikulu ya Magogoni na Chamwino. Tunataka Ikulu yetu ikaliwe na raisi ambaye ataweka mbele mslahi ya taifa hili, na tutaomba kwa Mungu mchana na usiku ili jambo hili litimie. Mimi nina imani kubwa sana Mh. Magufuli anaenda kushinda kwa kishindo kwenye uchaguzi huu, na ataongoza tena kwa miaka 5.
Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
Mtahangaika sana pumbavu nani aliwaambia mteue mgombea asiyejua Kiingereza..
Yan kutokujua kwenu Kiingereza na kutoijua dunia ndo mnawaona wengine vibaraka, ebo!😀
Si ni PhD holders nyie au mliiba research ya mtu? hovyo kweli yan, hamwoni hata aibu Kilaza wenu kujiita dokta, hovyo kabisa!
Kwa sasa watanzania wote tumeshafahamu Lissu ni kibaraka wa mabeberu.
Umefahamu wewe na mashetani wenzio.Kwa sasa watanzania wote tumeshafahamu Lissu ni kibaraka wa mabeberu.
Subiri wewe makomandoo tupo njiani tunautengua tena mguu hadi nyongaKuna mtu alisema msaliti hawezi ku survive kilichofuata ni shambulizi la Lissu.
Kwa kuwa Lissu ame survive ni uthibitisho tosha kwamba hakuwa msaliti. Sasa mmemjia na lingine kibaraka wa Paulo mmemsahau.
Tunawagoga bila kuwapasua , hatutaki visingizio ..tutawachinja hivyo hivyo ...Watanzania atatujua alishindwa Lowasa ambaye alipasua Hadi CCM ya Kikwete ikabidi kikosi Cha reserve Cha CCM Cha mwalimu Nyerere Kuingia kazini kuiokoa CCM itakuwa na Lisu kibaraka wa wazungu aliye upinzani ambaye hayuko ndani ya CCM Kama Lowasa?
Uchaguzi wa 2015 uliibua kikosi kazi Cha reserve Cha mwalimu Nyerere ambaye Lisu alimtukana kuwa aliishi kwa uongo tupo kazini Lisu hakatizi Kikosi namba mbili Cha reserve Cha Nyerere Kiko kazini masaa 24
Hakuna beberu Wala wakala wa beberu atachukua nchi
Mnamtengua nani?Subiri wewe makomandoo tupo njiani tunautengua tena mguu hadi nyonga
Mimi naamini rugha ya kibaraka Ni ya kiccm tu.alikuwa huko kimatibabu amerudi kapona Sasa Ni kibaraka,propaganda za kijinga kabisa.hata mseme Nini Mungu Ni mkubwa na jina la bwana lihimidiwe.Kuna mtu alisema msaliti hawezi ku survive kilichofuata ni shambulizi la Lissu.
Kwa kuwa Lissu ame survive ni uthibitisho tosha kwamba hakuwa msaliti. Sasa mmemjia na lingine kibaraka wa Paulo mmemsahau.
Wasiojulikana ndio vibaraka OGNdugu watanzania wenzangu,
Kipekee napenda kumshukru Mungu kwa kunipa siku ya leo.
Tangu kuanzishwa kwa uchaguzi wa vyama vingi vya siasa, Chadema imekuwa na wagombea uraisi kama vile: Mh. Mbow, Mh. Dr. Slaa, Mh. Lowasa. Waheshimiwa hawa hawakuwa na makando makando ya wazi ya kuwa na mkono wa beberu. Kwenye uchaguzi huu, naona mbengu nyingine kabisa, ambayo imepandwa kwenye udogo wa beberu, inatiliwa mbolea na beberu, na inamwagiliwa maji na beberu. Aidha, tangu Mh. Tundu Lissu arejee kutoka ughaibuni, nyendo zake zimekuwa za jeuri jeuri, kutoatoa vitisho kwa serikali, kumbe jeuri hii ilikuwa na mkono wa beberu nyuma yake. Na hii medhihirika baada ya kusambaa kwa barua ya wale mabeberu (Amsterdam et al,). Kwa kitendo hiki, nidhahiri Mh. Tundu Lissu ni 100% kibaraka.
Kwa ninavyoona, Mh. Tundu Lissu anajua kabisa hatashinda kwenye uchaguzi, na haitakuja kutokea kuwa raisi wa nchi hii kwa sababu ya mazingira ambayo amejitengenezea mwenyewe. Kwenye uchaguzi huu, Mh. Tundu Lissu, ataleta amsha amsha tu na hawezi kufikia hata nusu ya Mh. Lowasa.
Kwa msiojua, Tanzania ni moja ya nchi pendwa sana na Mungu, tuna rekodi ya kuvushwa katika changamoto nyingi sana: tulishuhudia kelele za kukamatwa kwa ndege, klele za makinikia, kelele za Korona n.k., katika yote haya Mungu alitusaidia tukavuka. Kwa kipindi hiki cha uchaguzi, hakuna cha kibaraka, mtoto wake na kibaraka, beberu au mtoto wake na beberu ambaye atafanikiwa kuingia kwenye Ikulu ya Magogoni na Chamwino. Tunataka Ikulu yetu ikaliwe na raisi ambaye ataweka mbele mslahi ya taifa hili, na tutaomba kwa Mungu mchana na usiku ili jambo hili litimie. Mimi nina imani kubwa sana Mh. Magufuli anaenda kushinda kwa kishindo kwenye uchaguzi huu, na ataongoza tena kwa miaka 5.
Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu