Uchaguzi 2020 Kwa mara ya kwanza watanzania tunashuhudia Chama cha Siasa chenye mgombea Urais 100% Kibaraka

Uchaguzi 2020 Kwa mara ya kwanza watanzania tunashuhudia Chama cha Siasa chenye mgombea Urais 100% Kibaraka

Kwa kawaida neno "BEBERU" ni jina la Mbuzi dume, ambalo (beberu) hupanda jike. Sisi wafugaji wa huku Buchosa huwa wakati mwingine tunakuwa "vibaraka" (Lisu) kupeleka "Beberu" likapande jike.

Ukisema wenzio ni "MABEBERU" ( wazungu) na "kibaraka" (Lisu) basi ukubali kwanza wewe KUWA JIKE maana unapandwa na BEBERU.
 
Ndugu watanzania wenzangu,
Kipekee napenda kumshukru Mungu kwa kunipa siku ya leo.

Tangu kuanzishwa kwa uchaguzi wa vyama vingi vya siasa, Chadema imekuwa na wagombea uraisi kama vile: Mh. Mbow, Mh. Dr. Slaa, Mh. Lowasa. Waheshimiwa hawa hawakuwa na makando makando ya wazi ya kuwa na mkono wa beberu. Kwenye uchaguzi huu, naona mbengu nyingine kabisa, ambayo imepandwa kwenye udogo wa beberu, inatiliwa mbolea na beberu, na inamwagiliwa maji na beberu. Aidha, tangu Mh. Tundu Lissu arejee kutoka ughaibuni, nyendo zake zimekuwa za jeuri jeuri, kutoatoa vitisho kwa serikali, kumbe jeuri hii ilikuwa na mkono wa beberu nyuma yake. Na hii medhihirika baada ya kusambaa kwa barua ya wale mabeberu (Amsterdam et al,). Kwa kitendo hiki, nidhahiri Mh. Tundu Lissu ni 100% kibaraka.

Kwa ninavyoona, Mh. Tundu Lissu anajua kabisa hatashinda kwenye uchaguzi, na haitakuja kutokea kuwa raisi wa nchi hii kwa sababu ya mazingira ambayo amejitengenezea mwenyewe. Kwenye uchaguzi huu, Mh. Tundu Lissu, ataleta amsha amsha tu na hawezi kufikia hata nusu ya Mh. Lowasa.

Kwa msiojua, Tanzania ni moja ya nchi pendwa sana na Mungu, tuna rekodi ya kuvushwa katika changamoto nyingi sana: tulishuhudia kelele za kukamatwa kwa ndege, klele za makinikia, kelele za Korona n.k., katika yote haya Mungu alitusaidia tukavuka. Kwa kipindi hiki cha uchaguzi, hakuna cha kibaraka, mtoto wake na kibaraka, beberu au mtoto wake na beberu ambaye atafanikiwa kuingia kwenye Ikulu ya Magogoni na Chamwino. Tunataka Ikulu yetu ikaliwe na raisi ambaye ataweka mbele mslahi ya taifa hili, na tutaomba kwa Mungu mchana na usiku ili jambo hili litimie. Mimi nina imani kubwa sana Mh. Magufuli anaenda kushinda kwa kishindo kwenye uchaguzi huu, na ataongoza tena kwa miaka 5.

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
Nyie ndio wapumbavu wakubwa wa ccm acheni ujinga wenu!
 
Kwa kitendo hiki, nidhahiri Mh. Tundu Lissu ni 100% kibaraka.
Risasi zako ndizo zilimpeleka huko unakokuita kwa mabeberu. Juzi alikuuliza beberu ni nani? Sijaona alijibu kwani hao hao mna waita mabeberu ndio wanaowapa misaada na mikopo.
Unasema toka amerudi kutoka kwa mabeberu: Hii inaonyesha wazi humjui huyo jamaa-Tundu Lissu ni yule yule hajabadilika ndio maana walijaribu kumuua. Mlitegemea akipona atakuwa kama wale wengine (siwalaumu wamepitia magumu sana) lakni ikawa sivyo. Mkasema harudi harudi harudi, sasa amerudi anawatia kihoro. Mkaomba CDM impige chini hilo halikuwezekana, tume imempitisha wakati mnalala sijui wapi mkitaka aenguliwe haikuwa. Mkaiomba mahakama kama hakuonekana leo kisutu aweke lock up, haikuwa. Nasikia mnasali awekewe pingamizi.

Aidha, tangu Mh. Tundu Lissu arejee kutoka ughaibuni, nyendo zake zimekuwa za jeuri jeuri, kutoatoa vitisho kwa serikali, kumbe jeuri hii ilikuwa na mkono wa beberu nyuma yake. Na hii medhihirika baada ya kusambaa kwa barua ya wale mabeberu (Amsterdam et al,). Kwa kitendo hiki, nidhahiri Mh. Tundu Lissu ni 100% kibaraka.
Ashinde asishinde kwa jeuri yake atawaamsha waliolala na kupunguza ukondoo wa Nyerere. Hatujakuwa na Raisi kama huyu wa awamu hii, sasa siajabu kuwa na mgombea aina ya Lissu atae endana sawa na tabia za huyo jamaa.
Sasa mngekuwa hamna figisu figisu na chembechembe za kuwafanyia wenzenu mbaya unafikiri angefanya aliofanya. Inabidi ajikinge na uzuri hayafanyi mafichoni amesema wazi kuhusu wakina Amsterdam et al sasa mchecheto unawaingia.
Hivi kweli unajua maana ya kibaraka wewe? Hivi kuwaita wale jamaa WANAUME unaona imekaaje? Kabla huyo unaemuona mzalendo hajasema neno lolote kuhusu mali zetu Mkapa alikuwa anamuweka gerezani Lissu kwa kuwatetea wananchi huko mara na kuwatoa wengi gerezani, wakati serikali yako inakula na hao hao unao waita mabeberu.
 
Watanzania atatujua alishindwa Lowasa ambaye alipasua Hadi CCM ya Kikwete ikabidi kikosi Cha reserve Cha CCM Cha mwalimu Nyerere Kuingia kazini kuiokoa CCM itakuwa na Lisu kibaraka wa wazungu aliye upinzani ambaye hayuko ndani ya CCM Kama Lowasa?

Uchaguzi wa 2015 uliibua kikosi kazi Cha reserve Cha mwalimu Nyerere ambaye Lisu alimtukana kuwa aliishi kwa uongo tupo kazini Lisu hakatizi Kikosi namba mbili Cha reserve Cha Nyerere Kiko kazini masaa 24

Hakuna beberu Wala wakala wa beberu atachukua nchi
 
Huu upuuzi hamchoki kuandika?We dont buy that crap!Jipangeni upya na propaganda nyingine,hii imeshafeli!
 
Ndugu watanzania wenzangu,
Kipekee napenda kumshukru Mungu kwa kunipa siku ya leo.

Tangu kuanzishwa kwa uchaguzi wa vyama vingi vya siasa, Chadema imekuwa na wagombea uraisi kama vile: Mh. Mbow, Mh. Dr. Slaa, Mh. Lowasa. Waheshimiwa hawa hawakuwa na makando makando ya wazi ya kuwa na mkono wa beberu. Kwenye uchaguzi huu, naona mbengu nyingine kabisa, ambayo imepandwa kwenye udogo wa beberu, inatiliwa mbolea na beberu, na inamwagiliwa maji na beberu. Aidha, tangu Mh. Tundu Lissu arejee kutoka ughaibuni, nyendo zake zimekuwa za jeuri jeuri, kutoatoa vitisho kwa serikali, kumbe jeuri hii ilikuwa na mkono wa beberu nyuma yake. Na hii medhihirika baada ya kusambaa kwa barua ya wale mabeberu (Amsterdam et al,). Kwa kitendo hiki, nidhahiri Mh. Tundu Lissu ni 100% kibaraka.

Kwa ninavyoona, Mh. Tundu Lissu anajua kabisa hatashinda kwenye uchaguzi, na haitakuja kutokea kuwa raisi wa nchi hii kwa sababu ya mazingira ambayo amejitengenezea mwenyewe. Kwenye uchaguzi huu, Mh. Tundu Lissu, ataleta amsha amsha tu na hawezi kufikia hata nusu ya Mh. Lowasa.

Kwa msiojua, Tanzania ni moja ya nchi pendwa sana na Mungu, tuna rekodi ya kuvushwa katika changamoto nyingi sana: tulishuhudia kelele za kukamatwa kwa ndege, klele za makinikia, kelele za Korona n.k., katika yote haya Mungu alitusaidia tukavuka. Kwa kipindi hiki cha uchaguzi, hakuna cha kibaraka, mtoto wake na kibaraka, beberu au mtoto wake na beberu ambaye atafanikiwa kuingia kwenye Ikulu ya Magogoni na Chamwino. Tunataka Ikulu yetu ikaliwe na raisi ambaye ataweka mbele mslahi ya taifa hili, na tutaomba kwa Mungu mchana na usiku ili jambo hili litimie. Mimi nina imani kubwa sana Mh. Magufuli anaenda kushinda kwa kishindo kwenye uchaguzi huu, na ataongoza tena kwa miaka 5.

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
A 100% rubbish article.
 
👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽🤙🏾

Mtahangaika sana pumbavu nani aliwaambia mteue mgombea asiyejua Kiingereza..

Yan kutokujua kwenu Kiingereza na kutoijua dunia ndo mnawaona wengine vibaraka, ebo!😀

Si ni PhD holders nyie au mliiba research ya mtu? hovyo kweli yan, hamwoni hata aibu Kilaza wenu kujiita dokta, hovyo kabisa!
 
Watumishi wa umma kwa miaka 5 hii ni mungu pek.ee amewalinda
 
Tujitahidi tusitengeneze vibaraka,ksababu Mara nyingi ukizuia au kudhibiti wakosoaji watakimbilia nje na huko hujui watarudi na mikakati gani.
Kinachotakiwa turuhusu demokrasia kwa kusimamia misingi ya demokrasia na kutoa Uhuru wa maoni na kukosoana bila kuwabana wengine
 
Kwa sasa watanzania wote tumeshafahamu Lissu ni kibaraka wa mabeberu.


Mimi ni Mtanzania, sijafahamu Kama LISU ni kibaraka wa mabeberu, na wapo Watanzania wengi tu hawafahamu kuwa LISU ni kibaraka wa mabeberu.


Hawo unaosema "wote" ni wepi?

Acha kuwasemea Watanzania WAPENDA HAKI.
 
Kuna mtu alisema msaliti hawezi ku survive kilichofuata ni shambulizi la Lissu.
Kwa kuwa Lissu ame survive ni uthibitisho tosha kwamba hakuwa msaliti. Sasa mmemjia na lingine kibaraka wa Paulo mmemsahau.
Subiri wewe makomandoo tupo njiani tunautengua tena mguu hadi nyonga
 
..kaka unajisumbua tu.

..propaganda haziwezi kubadilisha historia na rekodi ya TL ktk kutetea wanyonge wa nchi hii.

 
Watanzania atatujua alishindwa Lowasa ambaye alipasua Hadi CCM ya Kikwete ikabidi kikosi Cha reserve Cha CCM Cha mwalimu Nyerere Kuingia kazini kuiokoa CCM itakuwa na Lisu kibaraka wa wazungu aliye upinzani ambaye hayuko ndani ya CCM Kama Lowasa?

Uchaguzi wa 2015 uliibua kikosi kazi Cha reserve Cha mwalimu Nyerere ambaye Lisu alimtukana kuwa aliishi kwa uongo tupo kazini Lisu hakatizi Kikosi namba mbili Cha reserve Cha Nyerere Kiko kazini masaa 24

Hakuna beberu Wala wakala wa beberu atachukua nchi
Tunawagoga bila kuwapasua , hatutaki visingizio ..tutawachinja hivyo hivyo ...
 
Kuna mtu alisema msaliti hawezi ku survive kilichofuata ni shambulizi la Lissu.
Kwa kuwa Lissu ame survive ni uthibitisho tosha kwamba hakuwa msaliti. Sasa mmemjia na lingine kibaraka wa Paulo mmemsahau.
Mimi naamini rugha ya kibaraka Ni ya kiccm tu.alikuwa huko kimatibabu amerudi kapona Sasa Ni kibaraka,propaganda za kijinga kabisa.hata mseme Nini Mungu Ni mkubwa na jina la bwana lihimidiwe.
 
Ndugu watanzania wenzangu,
Kipekee napenda kumshukru Mungu kwa kunipa siku ya leo.

Tangu kuanzishwa kwa uchaguzi wa vyama vingi vya siasa, Chadema imekuwa na wagombea uraisi kama vile: Mh. Mbow, Mh. Dr. Slaa, Mh. Lowasa. Waheshimiwa hawa hawakuwa na makando makando ya wazi ya kuwa na mkono wa beberu. Kwenye uchaguzi huu, naona mbengu nyingine kabisa, ambayo imepandwa kwenye udogo wa beberu, inatiliwa mbolea na beberu, na inamwagiliwa maji na beberu. Aidha, tangu Mh. Tundu Lissu arejee kutoka ughaibuni, nyendo zake zimekuwa za jeuri jeuri, kutoatoa vitisho kwa serikali, kumbe jeuri hii ilikuwa na mkono wa beberu nyuma yake. Na hii medhihirika baada ya kusambaa kwa barua ya wale mabeberu (Amsterdam et al,). Kwa kitendo hiki, nidhahiri Mh. Tundu Lissu ni 100% kibaraka.

Kwa ninavyoona, Mh. Tundu Lissu anajua kabisa hatashinda kwenye uchaguzi, na haitakuja kutokea kuwa raisi wa nchi hii kwa sababu ya mazingira ambayo amejitengenezea mwenyewe. Kwenye uchaguzi huu, Mh. Tundu Lissu, ataleta amsha amsha tu na hawezi kufikia hata nusu ya Mh. Lowasa.

Kwa msiojua, Tanzania ni moja ya nchi pendwa sana na Mungu, tuna rekodi ya kuvushwa katika changamoto nyingi sana: tulishuhudia kelele za kukamatwa kwa ndege, klele za makinikia, kelele za Korona n.k., katika yote haya Mungu alitusaidia tukavuka. Kwa kipindi hiki cha uchaguzi, hakuna cha kibaraka, mtoto wake na kibaraka, beberu au mtoto wake na beberu ambaye atafanikiwa kuingia kwenye Ikulu ya Magogoni na Chamwino. Tunataka Ikulu yetu ikaliwe na raisi ambaye ataweka mbele mslahi ya taifa hili, na tutaomba kwa Mungu mchana na usiku ili jambo hili litimie. Mimi nina imani kubwa sana Mh. Magufuli anaenda kushinda kwa kishindo kwenye uchaguzi huu, na ataongoza tena kwa miaka 5.

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
Wasiojulikana ndio vibaraka OG
 
Back
Top Bottom