Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, kumbuka kipindi kile jpm hakuwa na meno sana ila angalia kila wizara aliyokuwa anapelekwa, alifanya vizuri. Angalia kazi kubwa anayofanya sasa, naamini unaijua vizuri mkuu. Tumpe tena 5 yrs atakuwa mzuri zaidi.Kelele za Ndege,Makinikia,unajua aliyesababisha?hv unajua kilichotokea nyamongo?Kalumwa?wakati wachimbaji wadogo walipofukiwa shimoni chini ya uongozi wa CCM?au ulikuwa Bado upo kwenye korodani za mzee wako?...
Usijari mkuu, ndo ukweli huo unauma.Pumbavu Jinga kabisa.
Uhuru na Kazi.
Tatizo hunijui na mimi sikujui pia.Mleta mada ndiye kibaraka wa wenyewe wezi hao!!
Mkuu, uzi wangu umejaa ukweli mno chief, ila ndo hivo utaupuzia, utanipa majibu impacts yake baada ya uchaguziBinti Kejuu, hivi umeolewa??Kwa nini usiende kumpa penzi mmeo badala ya kupoteza muda hapa jamvini?
Siku zote kibaraka huwa anapendwa na vibaraka wenzake.Mjinga hajawahi kumpenda mwenye akili
Mkuu, kama Africa tungekuwa na maono km Mwl Nyerere, Magu, Nkwame, tungekuwa very far
Wrong Historical-created mindset, isingekuwa hawa jamaa Africa tungekuwa mbali sana. Tatizo kukosa kujiamini mkuu, but tunaweza tukiwa na win win strategy.
Msimlaumu Bali mjilaumu nyie kumpiga risasiKwa sasa Watanzania wote tumeshafahamu Lissu ni kibaraka wa mabeberu.