Uchaguzi 2020 Kwa mara ya kwanza watanzania tunashuhudia Chama cha Siasa chenye mgombea Urais 100% Kibaraka

Uchaguzi 2020 Kwa mara ya kwanza watanzania tunashuhudia Chama cha Siasa chenye mgombea Urais 100% Kibaraka

Ndugu watanzania wenzangu, Kipekee napenda kumshukru Mungu kwa kunipa siku ya leo.

Tangu kuanzishwa kwa uchaguzi wa vyama vingi vya siasa, CHADEMA imekuwa na wagombea uraisi kama vile: Mhe. Mbow, Mh. Dr. Slaa, Mh. Lowasa. Waheshimiwa hawa hawakuwa na makando makando ya wazi ya kuwa na mkono wa beberu. Kwenye uchaguzi huu, naona mbengu nyingine kabisa, ambayo imepandwa kwenye udogo wa beberu, inatiliwa mbolea na beberu, na inamwagiliwa maji na beberu. Aidha, tangu Mhe. Tundu Lissu arejee kutoka ughaibuni, nyendo zake zimekuwa za jeuri jeuri, kutoatoa vitisho kwa serikali, kumbe jeuri hii ilikuwa na mkono wa beberu nyuma yake. Na hii medhihirika baada ya kusambaa kwa barua ya wale mabeberu (Amsterdam et al,). Kwa kitendo hiki, nidhahiri Mh. Tundu Lissu ni 100% kibaraka.

Kwa ninavyoona, Mhe. Tundu Lissu anajua kabisa hatashinda kwenye uchaguzi, na haitakuja kutokea kuwa raisi wa nchi hii kwa sababu ya mazingira ambayo amejitengenezea mwenyewe. Kwenye uchaguzi huu, Mh. Tundu Lissu, ataleta amsha amsha tu na hawezi kufikia hata nusu ya Mh. Lowasa.

Kwa msiojua, Tanzania ni moja ya nchi pendwa sana na Mungu, tuna rekodi ya kuvushwa katika changamoto nyingi sana: tulishuhudia kelele za kukamatwa kwa ndege, klele za makinikia, kelele za Korona n.k., katika yote haya Mungu alitusaidia tukavuka. Kwa kipindi hiki cha uchaguzi, hakuna cha kibaraka, mtoto wake na kibaraka, beberu au mtoto wake na beberu ambaye atafanikiwa kuingia kwenye Ikulu ya Magogoni na Chamwino. Tunataka Ikulu yetu ikaliwe na raisi ambaye ataweka mbele mslahi ya taifa hili, na tutaomba kwa Mungu mchana na usiku ili jambo hili litimie. Mimi nina imani kubwa sana Mh. Magufuli anaenda kushinda kwa kishindo kwenye uchaguzi huu, na ataongoza tena kwa miaka 5.

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu


Mungu hajaweka Vyama wala nchi. Mungu anapenda Dunia nzima sio Tanzania nchi iliyoanzishwa na mkoloni. Mungu anapenda binadamu wote. Kama kweli kuna vibaraka mbona serikali yetu inaendesha wizara nzima ya afya na pesa za USA $640M, Wizara ya elimu kwa pesa ya World bank $500M. Polisi wetu wanapata mafunzo kutoka kwa FBI shirika la Marekani mpaka sasa, bado misaada ya kijeshi..... sasa hao vibara ni nchi zipi na zimetoa pesa gani kwa ushahidi . Toa namba maana kama tuna kibaraka basi serikali ni kibaraka maana tuna ushahidi kabisa wa kupewa pesa. Na ukijaribu kutumia jina beberu utueleze mbuzi jike ni nani!
 
Hivi hayati Ben alifanyaje? Mbona aliwabinafsisha wazungu mpaka basi? Lakini mbona mmemsifiia kuwa ni shujaaa? Magu kama anaipenda Tanzania kweli kweli kwanini hataki kubadilisha mgumo wa elimu na akahakikisha kodi za wananchi zinawekezwa kwenye elimu iliyo imara na yenye ukombozi kwa watu?
Sikia chief, naamini hakuna jukwaa zuri kama jf, na ninaamini hata viongozi wa serikali na kisiasa wako humu, mawazo ni safi sana kama kungekuwa na platform ya kushauri serikali iliyoko madarakani.
 
Mungu hajaweka Vyama wala nchi. Mungu anapenda Dunia nzima sio Tanzania nchi iliyoanzishwa na mkoloni. Mungu anapenda binadamu wote. Kama kweli kuna vibaraka mbona serikali yetu inaendesha wizara nzima ya afya na pesa za USA $640M, Wizara ya elimu kwa pesa ya World bank $500M. Polisi wetu wanapata mafunzo kutoka kwa FBI shirika la Marekani mpaka sasa, bado misaada ya kijeshi..... sasa hao vibara ni nchi zipi na zimetoa pesa gani kwa ushahidi . Toa namba maana kama tuna kibaraka basi serikali ni kibaraka maana tuna ushahidi kabisa wa kupewa pesa. Na ukijaribu kutumia jina beberu utueleze mbuzi jike ni nani!
Mkuu usichanganye grants na loans, na haya ni mikakati ya hawa jamaa iliyonza zamani. Nyerere alkiuwa anajitahidi sana kutifundisha kujitegemea, angalia mabeberu walivyokuwa wanaplot economic warfare kwenye serikali yake. It's time to wake up chief na tuwe serious kama nchi za Asia vile. Magu ameonyesha njia, vija tunatakiwa kuchange our mindsets
 
Hivi hayati Ben alifanyaje? Mbona aliwabinafsisha wazungu mpaka basi? Lakini mbona mmemsifiia kuwa ni shujaaa? Magu kama anaipenda Tanzania kweli kweli kwanini hataki kubadilisha mgumo wa elimu na akahakikisha kodi za wananchi zinawekezwa kwenye elimu iliyo imara na yenye ukombozi kwa watu?
Kuna sehemu Marehem Ben alikili ile privatization strategy waliikosea, huwezi ukauza kwa 100% better uwe na share, kama kwenye Kampuni ya twiga, ambayo 30:70% share kwa serikali na bariki respectively.
 
Endelea kujinyea mkuu ...si mlisema akija atakamatiwa airport?? Vp alikamatwa?? Mkasema akigombea chama chake hakiwezi kumteua, vp hakuteuliwa na chama chake?? Mkasema akipitishwa na chama chake Tume haiwezi kumpitisha , vp hajateuliwa?? Bado tu mnaendelea kujifanya hamnazo??

Lissu anashinda Kama ambavyo ameshinda toka huko ...achaneni na lissu, jaribu Sasa kumpigia magoti kuomba maridhiano na lissu ..mwaka huu ccm jaribuni kuwa wapole maana mpk muda huu chadema tumechukua nchi bado tu kutangazwa ...jiandaeni kisaikolojia kwa hilo na jiwe tumemtwisha gogo tuone atajitua vp
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usije ukajinyonga tu mkuu anko magu atakapowagaragaza bila huruma.

Mnapambana nae, mnamtusi na kumkebehi majukwaani, bado mmeona hawajibu mmeenda kumuwekea pingamizi nalo limebuma. Angalieni tu msije mkamnadi magu kwenye kampeni zenu manake bila kumtaja magu mambo yenu hayaendi...

Alafu ona anavyowapuuza sasa, hawajibu wala nini! Inauma sana upambane na mtu alafu yeye kama hayupo, ana mind his business! Anawacheka kw dharau. Natanguliza pole mapema sana manake mtaihitaji hii hapo baadae [emoji12]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usije ukajinyonga tu mkuu anko magu atakapowagaragaza bila huruma.

Mnapambana nae, mnamtusi na kumkebehi majukwaani, bado mmeona hawajibu mmeenda kumuwekea pingamizi nalo limebuma. Angalieni tu msije mkamnadi magu kwenye kampeni zenu manake bila kumtaja magu mambo yenu hayaendi...

Alafu ona anavyowapuuza sasa, hawajibu wala nini! Inauma sana upambane na mtu alafu yeye kama hayupo, ana mind his business! Anawacheka kw dharau. Natanguliza pole mapema sana manake mtaihitaji hii hapo baadae [emoji12]
We waache mkuu, siku anaapishwa ndo akili zitawarudi
 
Mkuu usichanganye grants na loans, na haya ni mikakati ya hawa jamaa iliyonza zamani. Nyerere alkiuwa anajitahidi sana kutifundisha kujitegemea, angalia mabeberu walivyokuwa wanaplot economic warfare kwenye serikali yake. It's time to wake up chief na tuwe serious kama nchi za Asia vile. Magu ameonyesha njia, vija tunatakiwa kuchange our mindsets

Ulimuongelea Nyerere ! unajua kilitokea nini? Nyerere alishidwa na ndiyo maana akang'atuka sasa unaongelea Nyerere kwasababu hujui Tanzania ilivyokuwa masikini. Mwinyi alikuwa nchi taabani !. Mwaka 1962 Chakula cha Tanganyika kilikoka USA wakati wa Nyerere, Mwaka 1974 Chakula cha Tanzania wakati wa njaa kilitoka USA. Tembea Tanzania uone miradi ya umeme na barabara ya millennium challenge aliyoleta Pres Bush. Kaangalie program ya peace cops wameleta walimu wangapi kuanzia 1960's kwenye shule za serikali. Hata watu binafsi ongea na wizara ya kilimo uulize bill gates kachangia kiasi gani kule. Dawa za ukimwi zote nani analipia unajua bei halisi ya dawa ni $500 kwa mwezi? Tatizo mnalishwa uongo na mnakubali kuwa wajinga jinga kasome data wakati wa Nyerere. Imekuwa aibu kila kila kitu cha kijinga na maneno ya mtaani ambayo hata CCM wanajua ni uongo kuna watu wajinga wanafikiri ni kweli.
 
Ulimuongelea Nyerere ! unajua kilitokea nini? Nyerere alishidwa na ndiyo maana akang'atuka sasa unaongelea Nyerere kwasababu hujui Tanzania ilivyokuwa masikini. Mwinyi alikuwa nchi taabani !. Mwaka 1962 Chakula cha Tanganyika kilikoka USA wakati wa Nyerere, Mwaka 1974 Chakula cha Tanzania wakati wa njaa kilitoka USA. Tembea Tanzania uone miradi ya umeme na barabara ya millennium challenge aliyoleta Pres Bush. Kaangalie program ya peace cops wameleta walimu wangapi kuanzia 1960's kwenye shule za serikali. Hata watu binafsi ongea na wizara ya kilimo uulize bill gates kachangia kiasi gani kule. Dawa za ukimwi zote nani analipia unajua bei halisi ya dawa ni $500 kwa mwezi? Tatizo mnalishwa uongo na mnakubali kuwa wajinga jinga kasome data wakati wa Nyerere. Imekuwa aibu kila kila kitu cha kijinga na maneno ya mtaani ambayo hata CCM wanajua ni uongo kuna watu wajinga wanafikiri ni kweli.
Hizo zote zilikuwa njama za kutengenezwa ili muone you can't anything. Kwani saizi hela ya uchaguzi imetoka wapi? Ndiyo mkaamua kama taifa uwezo wa kufanya upo, chamsingi muwe na viongozi kama Mh. Magu hivi. Kipindi cha mwl wasomi walkuwa wachache but mwl alijitahid sana Ila jamaa kwa vile hawataki kukuona unakuwa independent, ndiyo walikuwa wanamkwamisha kila hatua. Kijana uwezekeno wa kuwa huru kifikra na kiuchumi upo, just pata kiongozi sasa. Halafu nkuhakikishie, kama Magu angetakeover baada ya Nyerere, nchi hii ingekuwa mbali sana. Tatizo kuaminishwa ujinga ni kitu mbaya sana. Work up guys, we can mkuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usije ukajinyonga tu mkuu anko magu atakapowagaragaza bila huruma.

Mnapambana nae, mnamtusi na kumkebehi majukwaani, bado mmeona hawajibu mmeenda kumuwekea pingamizi nalo limebuma. Angalieni tu msije mkamnadi magu kwenye kampeni zenu manake bila kumtaja magu mambo yenu hayaendi...

Alafu ona anavyowapuuza sasa, hawajibu wala nini! Inauma sana upambane na mtu alafu yeye kama hayupo, ana mind his business! Anawacheka kw dharau. Natanguliza pole mapema sana manake mtaihitaji hii hapo baadae [emoji12]
Mkuu, ukishamjua adui yako mbinu zake, siyo hatari tena kwako. Magu anlake jambo km kpnd cha corona
 
Ndugu watanzania wenzangu, Kipekee napenda kumshukru Mungu kwa kunipa siku ya leo.

Tangu kuanzishwa kwa uchaguzi wa vyama vingi vya siasa, CHADEMA imekuwa na wagombea uraisi kama vile: Mhe. Mbow, Mh. Dr. Slaa, Mh. Lowasa. Waheshimiwa hawa hawakuwa na makando makando ya wazi ya kuwa na mkono wa beberu. Kwenye uchaguzi huu, naona mbengu nyingine kabisa, ambayo imepandwa kwenye udogo wa beberu, inatiliwa mbolea na beberu, na inamwagiliwa maji na beberu. Aidha, tangu Mhe. Tundu Lissu arejee kutoka ughaibuni, nyendo zake zimekuwa za jeuri jeuri, kutoatoa vitisho kwa serikali, kumbe jeuri hii ilikuwa na mkono wa beberu nyuma yake. Na hii medhihirika baada ya kusambaa kwa barua ya wale mabeberu (Amsterdam et al,). Kwa kitendo hiki, nidhahiri Mh. Tundu Lissu ni 100% kibaraka.

Kwa ninavyoona, Mhe. Tundu Lissu anajua kabisa hatashinda kwenye uchaguzi, na haitakuja kutokea kuwa raisi wa nchi hii kwa sababu ya mazingira ambayo amejitengenezea mwenyewe. Kwenye uchaguzi huu, Mh. Tundu Lissu, ataleta amsha amsha tu na hawezi kufikia hata nusu ya Mh. Lowasa.

Kwa msiojua, Tanzania ni moja ya nchi pendwa sana na Mungu, tuna rekodi ya kuvushwa katika changamoto nyingi sana: tulishuhudia kelele za kukamatwa kwa ndege, klele za makinikia, kelele za Korona n.k., katika yote haya Mungu alitusaidia tukavuka. Kwa kipindi hiki cha uchaguzi, hakuna cha kibaraka, mtoto wake na kibaraka, beberu au mtoto wake na beberu ambaye atafanikiwa kuingia kwenye Ikulu ya Magogoni na Chamwino. Tunataka Ikulu yetu ikaliwe na raisi ambaye ataweka mbele mslahi ya taifa hili, na tutaomba kwa Mungu mchana na usiku ili jambo hili litimie. Mimi nina imani kubwa sana Mh. Magufuli anaenda kushinda kwa kishindo kwenye uchaguzi huu, na ataongoza tena kwa miaka 5.

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
Ushamba mzigo huwezi kufanya Siri na mabeberu ikawa siri na bado
 
Ndugu watanzania wenzangu, Kipekee napenda kumshukru Mungu kwa kunipa siku ya leo.

Tangu kuanzishwa kwa uchaguzi wa vyama vingi vya siasa, CHADEMA imekuwa na wagombea uraisi kama vile: Mhe. Mbow, Mh. Dr. Slaa, Mh. Lowasa. Waheshimiwa hawa hawakuwa na makando makando ya wazi ya kuwa na mkono wa beberu. Kwenye uchaguzi huu, naona mbengu nyingine kabisa, ambayo imepandwa kwenye udogo wa beberu, inatiliwa mbolea na beberu, na inamwagiliwa maji na beberu. Aidha, tangu Mhe. Tundu Lissu arejee kutoka ughaibuni, nyendo zake zimekuwa za jeuri jeuri, kutoatoa vitisho kwa serikali, kumbe jeuri hii ilikuwa na mkono wa beberu nyuma yake. Na hii medhihirika baada ya kusambaa kwa barua ya wale mabeberu (Amsterdam et al,). Kwa kitendo hiki, nidhahiri Mh. Tundu Lissu ni 100% kibaraka.

Kwa ninavyoona, Mhe. Tundu Lissu anajua kabisa hatashinda kwenye uchaguzi, na haitakuja kutokea kuwa raisi wa nchi hii kwa sababu ya mazingira ambayo amejitengenezea mwenyewe. Kwenye uchaguzi huu, Mh. Tundu Lissu, ataleta amsha amsha tu na hawezi kufikia hata nusu ya Mh. Lowasa.

Kwa msiojua, Tanzania ni moja ya nchi pendwa sana na Mungu, tuna rekodi ya kuvushwa katika changamoto nyingi sana: tulishuhudia kelele za kukamatwa kwa ndege, klele za makinikia, kelele za Korona n.k., katika yote haya Mungu alitusaidia tukavuka. Kwa kipindi hiki cha uchaguzi, hakuna cha kibaraka, mtoto wake na kibaraka, beberu au mtoto wake na beberu ambaye atafanikiwa kuingia kwenye Ikulu ya Magogoni na Chamwino. Tunataka Ikulu yetu ikaliwe na raisi ambaye ataweka mbele mslahi ya taifa hili, na tutaomba kwa Mungu mchana na usiku ili jambo hili litimie. Mimi nina imani kubwa sana Mh. Magufuli anaenda kushinda kwa kishindo kwenye uchaguzi huu, na ataongoza tena kwa miaka 5.

Asante sana,
Nawasilisha,
Kejuu
Wewe ni mpumbavu, sanaa
Popoma
 
Mbona mnatoa povu sana ninyi kijani na bado mtaimba mpaka singeli.
Neno "Beberu" na falsafa za nabeberu ni silaha zilizokuwa zinatumiwa zamani na Wajamaa kuwapumbaza watu ili wachukie mabepari na siasa yao. Ujamaa ulikufa na sasa tupo kwenye ubepari tupende au tusipende. Wanaotumia neno hilo wamedanganyika na wanataka bado kdanganya umma. Dunia sasa ni kama kijiji.

Tunawahitaji mabepari sana kwa sasa kuliko zamani. Tusijidanganye. Kwani tunawaita wawekezaji ni akina nani? Wachina waliokuwa wajamaa ndio kwa sasa mabepari wakubwa na mabeberu kwa maana hiyo.

Nimemsikiliza Tundu tangu arejee nimepima kauli zake na kuona kuwa ni mkweli na mwenye uchungu mkubwa na matendo ya wale waliompiga risasi, na amedhamiria kukomesha uonevu wote wa hawa mabeberu weusi.
 
Ushamba mzigo huwezi kufanya Siri na mabeberu ikawa siri na bado
Kwa hiki kitendo cha ushirika huu, utajua impact yake kwa chama baada ya uchaguzi. Itachukua miaka tena kujisafisha kama mlipoingia chaka kwa Lowasa, ndiyo madhara ya kutaka ikulu kwa shortcut.
 
Back
Top Bottom