Mnapompongeza sa100 Kwa kuruhusu mikutano aliyoifungia Kwa miaka 2 ambayo haikuwahi kukatazwa na KATIBA.
Katiba mpya ilikwamishwa na Magufuli?Hivi umeanza kufuatilia siasa 2015?
ni kweliKura ya maoni ilikuwa na maana Gani Kwa Taifa ikiwa CCM ilihakikisha imevuruga Rasimu ikawa mbovu kuliko Katiba iliyopo?
Huo mchakato Unadhani kwann haukumaliziwa na aliyekuwa madarakani wakati Ule?
CCM ndo haitaki Katiba mpya, msimsingizie Magu pekee.
UPI huo ?Upuuzi
CHADEMA SIO CHAMA CHAKOOndoa najisi yako CHADEMA usije leta mikosi. Mtu yeyote aliyekuwa mfuasi wa Magufuli kwa kweli hastahili kwenda CHADEMA.
Magufuli ametesa, ameua wana CDM na alitaka kukifuta chama kwenye ramani ya vyama vya siasa. RNA tafuta mahali pengine lakini CDM nimekataza, utatunajisi
Ni kweli lakini siyo chama cha kupokea waabudu magufuliCHADEMA SIO CHAMA CHAKO
HATUKUELEWI kabisaaa, tunaishi na MARIDHIAN0. SSH for Presidency 2025Habari jf ,kwanza niweke Wazi Mimi ni mfuasi wa lile kundi linalosemwa vibaya la Hayati JPM na msimamo wangu utabaki pale pale ndiye best president to rule this country .
CHADEMA kiuhalisia ukiwatoa Wilbroad slaa na Tundu Lissu hakuna kiongozi aliyewahi kuwa serious na kuchukua Nchi ,ni huwa wanaingiza mtu kugombea au anagombea Mwenyekiti kama ushahidi tu .
Hivyo Kwa akili yangu timamu 2025 mbali na kuwa na dalili :-
1.Mwenyekiti Mbowe kuwa hana makali tena kutokana na makubaliano ya maridhiano
2.Nafasi zilizopo ni upande wa ubunge na madiwani upande wa Urais hakuna namna
Nitakuwa upande wa chama changu CHADEMA na nitashawishi wananchi wengine wakiunge ili tuweze chukua dola na sio wabunge maana 2025 nafasi iko Wazi .
Wananchi tuwasamehe CHADEMA na tuwaunge mkono tena .
"Say NO to CCM "Uwezo wao tushaujua hautoshi kutuletea maendeleo .
Tusisahau Katiba MPYA sio jambo la kuombwa na la CHADEMA peke yake ni jambo la kila MTU tuungane ipatikane .
π π πRNA anasafishika, mbona LOWWASSA mkt alimsafisha?
Mbona Juzi Mbowwee kawapokea wafuasi wa Lipumbawe?
Acha nongwa.
Wasamehe hawakujua walitendaloNi kweli lakini siyo chama cha kupokea waabudu magufuli
Kumbe ndio makubaliano ya maridhiano ?HATUKUELEWI kabisaaa, tunaishi na MARIDHIAN0. SSH for Presidency 2025
Kipindi cha Magufuli, mlithubutu kuwapiga risasi hadharani na kuwaita mashoga, leo wamekuwa malaika???Kumbe ndio makubaliano ya maridhiano ?
Una ushahidi ?Kipindi cha Magufuli, mlithubutu kuwapiga risasi hadharani na kuwaita mashoga, leo wamekuwa malaika???
Siku moja watuondolee huyu mkoloni mweusiMungu ibariki CHADEMA [emoji1545]
AmeeniSiku moja watuondolee huyu mkoloni mweusi
wa makaratasiUna ushahidi ?