Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Mnapompongeza sa100 Kwa kuruhusu mikutano aliyoifungia Kwa miaka 2 ambayo haikuwahi kukatazwa na KATIBA.
Ni kweli, maana alikuwa anafanya uvunjifu wa katiba. Anapongezwa maana siasa bila unafiki haziendi. Kwani umechukia?