Kwa Mara ya Mwisho nimeamua kuwa support CHADEMA, Watanzania wenzangu 2025 ni Mwaka wa kujisahihisha "say NO to CCM"

Kwa Mara ya Mwisho nimeamua kuwa support CHADEMA, Watanzania wenzangu 2025 ni Mwaka wa kujisahihisha "say NO to CCM"

Mnapompongeza sa100 Kwa kuruhusu mikutano aliyoifungia Kwa miaka 2 ambayo haikuwahi kukatazwa na KATIBA.

Ni kweli, maana alikuwa anafanya uvunjifu wa katiba. Anapongezwa maana siasa bila unafiki haziendi. Kwani umechukia?
 
Katiba mpya ilikwamishwa na Magufuli?Hivi umeanza kufuatilia siasa 2015?

Alipoingia madarakani alikuta tuko kwenye hatua ya kura ya maoni, akasema hakuahidi katiba mpya. Kwako ww uliyeanza kufuatilia siasa kabla ya 2015, mchakato ulikwamia wapi?
 
Kura ya maoni ilikuwa na maana Gani Kwa Taifa ikiwa CCM ilihakikisha imevuruga Rasimu ikawa mbovu kuliko Katiba iliyopo?

Huo mchakato Unadhani kwann haukumaliziwa na aliyekuwa madarakani wakati Ule?

CCM ndo haitaki Katiba mpya, msimsingizie Magu pekee.
ni kweli
 
Ondoa najisi yako CHADEMA usije leta mikosi. Mtu yeyote aliyekuwa mfuasi wa Magufuli kwa kweli hastahili kwenda CHADEMA.

Magufuli ametesa, ameua wana CDM na alitaka kukifuta chama kwenye ramani ya vyama vya siasa. RNA tafuta mahali pengine lakini CDM nimekataza, utatunajisi
CHADEMA SIO CHAMA CHAKO
 
Habari jf ,kwanza niweke Wazi Mimi ni mfuasi wa lile kundi linalosemwa vibaya la Hayati JPM na msimamo wangu utabaki pale pale ndiye best president to rule this country .

CHADEMA kiuhalisia ukiwatoa Wilbroad slaa na Tundu Lissu hakuna kiongozi aliyewahi kuwa serious na kuchukua Nchi ,ni huwa wanaingiza mtu kugombea au anagombea Mwenyekiti kama ushahidi tu .

Hivyo Kwa akili yangu timamu 2025 mbali na kuwa na dalili :-
1.Mwenyekiti Mbowe kuwa hana makali tena kutokana na makubaliano ya maridhiano

2.Nafasi zilizopo ni upande wa ubunge na madiwani upande wa Urais hakuna namna

Nitakuwa upande wa chama changu CHADEMA na nitashawishi wananchi wengine wakiunge ili tuweze chukua dola na sio wabunge maana 2025 nafasi iko Wazi .

Wananchi tuwasamehe CHADEMA na tuwaunge mkono tena .

"Say NO to CCM "Uwezo wao tushaujua hautoshi kutuletea maendeleo .

Tusisahau Katiba MPYA sio jambo la kuombwa na la CHADEMA peke yake ni jambo la kila MTU tuungane ipatikane .
HATUKUELEWI kabisaaa, tunaishi na MARIDHIAN0. SSH for Presidency 2025
 
Back
Top Bottom