Kwa Marufuku hizi za Zanzibar ni wakati muafaka wa Mikoa ya Pwani kukamata fursa ya Utalii

Kwa Marufuku hizi za Zanzibar ni wakati muafaka wa Mikoa ya Pwani kukamata fursa ya Utalii

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Utajiri wa uswizi leo hii umechangiwa sana na namna ambavyo walitumia mwanya wa kutengeneza Sheria nzuri zilizowafanya matajiri wengi wa ulaya kupeleka fedha zao Uswizi kwa kuwa nchi za ulaya zilitengeneza Sheria kali sana za kodi baada ya vita kuu ya pili ya Dunia.

Leo hii Zanzibar wametangaza Sheria kali ikiwemo kupiga marufuku upigwaji wa mziki maeneo ya fukwe.

Sote tunajua moja ya sababu iliyokuwa ikifanya Zanzibar kuwa sehemu ya kuvutia ni kutokana na bata zake zilizokuwa zikifanyika katika fukwe zake.

Kama Viongozi wa Mikoa ya Pwani hasa Tanga, Pwani na Dar, marufuku hizi za Zanzibar ni fursa kabambe kwenu kutengeneza mipango kabambe ya kuwafanya watalii waje kwenu na kuongeza mapato ya mikoa yenu.

Tumieni fursa maana wakati ni sasa.

Kwa marufuku nyingine zanzibar soma:

Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika

 
Utajiri wa uswizi leo hii umechangiwa sana na namna ambavyo walitumia mwanya wa kutengeneza Sheria nzuri zilizowafanya matajiri wengi wa ulaya kupeleka fedha zao Uswizi kwa kuwa nchi za ulaya zilitengeneza Sheria kali sana za kodi baada ya vita kuu ya pili ya Dunia.

Leo hii Zanzibar wametangaza Sheria kali ikiwemo kupiga marufuku upigwaji wa mziki maeneo ya fukwe.

Sote tunajua moja ya sababu iliyokuwa ikifanya Zanzibar kuwa sehemu ya kuvutia ni kutokana na bata zake zilizokuwa zikifanyika katika fukwe zake.

Kama Viongozi wa Mikoa ya Pwani hasa Tanga, Pwani na Dar, marufuku hizi za Zanzibar ni fursa kabambe kwenu kutengeneza mipango kabambe ya kuwafanya watalii waje kwenu na kuongeza mapato ya mikoa yenu.

Tumieni fursa maana wakati ni sasa


Hakuna kitu. Kelele zisizo maana, mimi najua kampuni inapeleka box 300 kil week za pork product zanzibar, zinapita bandarini, wazi, kweupe, hii sheria ya pork Zanzibar yenyewe haitekelezeki, hizi nyingine ndo kabisa.
 
Utajiri wa uswizi leo hii umechangiwa sana na namna ambavyo walitumia mwanya wa kutengeneza Sheria nzuri zilizowafanya matajiri wengi wa ulaya kupeleka fedha zao Uswizi kwa kuwa nchi za ulaya zilitengeneza Sheria kali sana za kodi baada ya vita kuu ya pili ya Dunia.

Leo hii Zanzibar wametangaza Sheria kali ikiwemo kupiga marufuku upigwaji wa mziki maeneo ya fukwe.

Sote tunajua moja ya sababu iliyokuwa ikifanya Zanzibar kuwa sehemu ya kuvutia ni kutokana na bata zake zilizokuwa zikifanyika katika fukwe zake.

Kama Viongozi wa Mikoa ya Pwani hasa Tanga, Pwani na Dar, marufuku hizi za Zanzibar ni fursa kabambe kwenu kutengeneza mipango kabambe ya kuwafanya watalii waje kwenu na kuongeza mapato ya mikoa yenu.

Tumieni fursa maana wakati ni sasa
Bagamoyo kiutalii imesahaulika kabisa
 
Utajiri wa uswizi leo hii umechangiwa sana na namna ambavyo walitumia mwanya wa kutengeneza Sheria nzuri zilizowafanya matajiri wengi wa ulaya kupeleka fedha zao Uswizi kwa kuwa nchi za ulaya zilitengeneza Sheria kali sana za kodi baada ya vita kuu ya pili ya Dunia.

Leo hii Zanzibar wametangaza Sheria kali ikiwemo kupiga marufuku upigwaji wa mziki maeneo ya fukwe.

Sote tunajua moja ya sababu iliyokuwa ikifanya Zanzibar kuwa sehemu ya kuvutia ni kutokana na bata zake zilizokuwa zikifanyika katika fukwe zake.

Kama Viongozi wa Mikoa ya Pwani hasa Tanga, Pwani na Dar, marufuku hizi za Zanzibar ni fursa kabambe kwenu kutengeneza mipango kabambe ya kuwafanya watalii waje kwenu na kuongeza mapato ya mikoa yenu.

Tumieni fursa maana wakati ni sasa
Maza hawezi kukubali Zanzibar ipitwe na bara, lengo kuu kwa sasa ni kuifanya Zanzibar iwe kama Dubai na bara kuwa kama Wilaya ndani ya Zanzibar
 
Back
Top Bottom