Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Utajiri wa uswizi leo hii umechangiwa sana na namna ambavyo walitumia mwanya wa kutengeneza Sheria nzuri zilizowafanya matajiri wengi wa ulaya kupeleka fedha zao Uswizi kwa kuwa nchi za ulaya zilitengeneza Sheria kali sana za kodi baada ya vita kuu ya pili ya Dunia.
Leo hii Zanzibar wametangaza Sheria kali ikiwemo kupiga marufuku upigwaji wa mziki maeneo ya fukwe.
Sote tunajua moja ya sababu iliyokuwa ikifanya Zanzibar kuwa sehemu ya kuvutia ni kutokana na bata zake zilizokuwa zikifanyika katika fukwe zake.
Kama Viongozi wa Mikoa ya Pwani hasa Tanga, Pwani na Dar, marufuku hizi za Zanzibar ni fursa kabambe kwenu kutengeneza mipango kabambe ya kuwafanya watalii waje kwenu na kuongeza mapato ya mikoa yenu.
Tumieni fursa maana wakati ni sasa.
Kwa marufuku nyingine zanzibar soma:
Leo hii Zanzibar wametangaza Sheria kali ikiwemo kupiga marufuku upigwaji wa mziki maeneo ya fukwe.
Sote tunajua moja ya sababu iliyokuwa ikifanya Zanzibar kuwa sehemu ya kuvutia ni kutokana na bata zake zilizokuwa zikifanyika katika fukwe zake.
Kama Viongozi wa Mikoa ya Pwani hasa Tanga, Pwani na Dar, marufuku hizi za Zanzibar ni fursa kabambe kwenu kutengeneza mipango kabambe ya kuwafanya watalii waje kwenu na kuongeza mapato ya mikoa yenu.
Tumieni fursa maana wakati ni sasa.
Kwa marufuku nyingine zanzibar soma: