Kwa Masaa 24 tu Mchango wa Gari mpya ya Tundu Lissu wazidi milioni 10

Kwa Masaa 24 tu Mchango wa Gari mpya ya Tundu Lissu wazidi milioni 10

Kuchangia viongozi ni utamaduni wetu, sasa tunamchangia Lissu gari, na hata Mwalimu Nyerere pia alichangiwa fedha na wananchi ili aende Umoja wa Mataifa kupigania uhuru wa Tanganyika.

Kuchangia kiongozi ni upendo walio nao wananchi, na ndio namna yao ya kuuelezea, sasa wananchi watamuhongaje kiongozi wao?

Ni utamaduni umeanza tangu enzi za Mwalimu
Wataelewa tu.
 
Mara wamtukane Nyerere mara awe role model.....haya 2025 itaeleweka
 
Hata mie nawashangaa wanaomchangia.

Lissu amekuwa akilalama kuwa hajalipwa fedha za matibabu yake, na "Exposure therapy" anayopaswa kufanya ina mgarimu.

Kwanini wasimchangie fedha za matibabu ili akija kushika nyadhifa asi ingizie Serikali gharama zingine? Zingatia CHADEMA wanadai wanakuja kukata/kupunguza matumizi?
 
Hatujui mpaka sasa kumechangwa sh ngapi, maana mepita kitambo kirefu, lakini kwa yale masaa 24 ya mwanzo, Pesa iliyopatikana ilikuwa zaidi ya ml 10 za kitanzania.

Kwa wabongo waliopigika kumchangia mtu 10mil within 24hrs huo ni upendo mkuu sana!

View attachment 2993927

Kama umeguswa na unyama aliotendewa Tundu Lissu waweza kuchangia kupitia utaratibu huu hapa chini

View attachment 2994064
Kwa wananchi wa kawaida kama akinasisi..uchangia wanasiasa/mambo ya kisiasa inahitaji ujinga wa hali ya juu sana. Me binafsi bado sijafikia kiwango hicho cha ujinga.
 
Kwa wananchi wa kawaida kama akinasisi..uchangia wanasiasa/mambo ya kisiasa inahitaji ujinga wa hali ya juu sana. Me binafsi bado sijafikia kiwango hicho cha ujinga.
Wewe ni masikini wa hela na akili
 
Back
Top Bottom