Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Inaonekana unajua sanaKwani hiyo gari iliyo shambuliwa na risasi haikua na Bima!?
Kwani unadhani kila bima inafidia kulipa gari mpya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana unajua sanaKwani hiyo gari iliyo shambuliwa na risasi haikua na Bima!?
Mabilioni, unajua mabilioni ni kiwango gani?Mbona Samia alimlipa mafao yake yote kwa mabilioni. Bado anashindwa kujinunulia gari?
Imekidhi viwango vya kulipwa na Bima?Kwani hiyo gari iliyo shambuliwa na risasi haikua na Bima!?
Mtandao wa vodacom ulidhibitiwa kukwamisha zoezi(tunaendelea kuchunguza)NINGESHTUKA SANA ENDAPO UNGESEMA "NDANI YA SAA SITA, WATANZANIA WACHANGA MILIONI 200""
sasa sijui umetuletea kitu gani hapa,nimesikia mpaka Jana ndio zimepita 16th, hii ni dalili ya watanzania kuchoka na tabia yake ya kupiga makelele yasiyokuwa na tija wala msaada wowote!
Masikini anamchangia mwenye pesa, hii ndio bongoHatujui mpaka sasa kumechangwa sh ngapi, maana mepita kitambo kirefu, lakini kwa yale masaa 24 ya mwanzo, Pesa iliyopatikana ilikuwa zaidi ya ml 10 za kitanzania.
Kwa wabongo waliopigika kumchangia mtu 10mil within 24hrs huo ni upendo mkuu sana!
View attachment 2993927
Kama umeguswa na unyama aliotendewa Tundu Lissu waweza kuchangia kupitia utaratibu huu hapa chini
View attachment 2994064
Sio chini ya million 400Kwani inatakiwa tumnunulie gari ya bei gani?
Tena wajinyime kabisa, ili zingine zikasaidie watoto huko ughaibuni.Masikini anamchangia mwenye pesa, hii ndio bongo
hilo ndo la hadhi yake kabisa.Sio chini ya million 400
Hakika.hilo ndo la hadhi yake kabisa.
Hii ina booletprove??
Kama alikata bima ndogo kwa ubahiri wake,hiyo imekula kwake,yaani V8 unaikatia bima ndogo!? Na mwenye Passo nae atakata bima gani!?Inaonekana unajua sana
Kwani unadhani kila bima inafidia kulipa gari mpya?
Wewe usichange . Tuache tuchange? Kuna taasisi tajir kama RC? Mbona wenyewe ndiyo wanaongoza kwa michango na sandaka? Sasaivi wanajrnga KIGANGO Kigamboni na kila aliyebatizwa anatoa 2000/= kwann kanisa lisijenge lenyewe?Kichwa cha kuku hakibebi mzigo hivi mnachangiaje mtu hela kununua gari ili hali ni tajiri yaani wabongo wengi kichwani ni weupe kila mtu apambane na hali yake .
Asante
Comments reservedKuchangia viongozi ni utamaduni wetu, sasa tunamchangia Lissu gari, na hata Mwalimu Nyerere pia alichangiwa fedha na wananchi ili aende Umoja wa Mataifa kupigania uhuru wa Tanganyika.
Kuchangia kiongozi ni upendo walio nao wananchi, na ndio namna yao ya kuuelezea, sasa wananchi watamuhongaje kiongozi wao?
Ni utamaduni umeanza tangu enzi za Mwalimu