Akili za kimasikini na hauna moyo wa utoaji., awa Lisu haumchangii majirani wenye shida je?Wachungaji pia hupata pesa kwa waumini maskini!
Wajinga ndiyo waliwao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili za kimasikini na hauna moyo wa utoaji., awa Lisu haumchangii majirani wenye shida je?Wachungaji pia hupata pesa kwa waumini maskini!
Wajinga ndiyo waliwao.
Kwan umekamuliwa?Hii ni another scheme za kuwakamua wanachama wenu bila kujijua. Mlianza na Join The Chain na sasa hivi mumetumia kisingizio cha Makamu Mwenyekiti wenu. Anyway usimuamshe aliyelala
mchango wako unahitajika
Mbona fomu Moja ya urais tumekusanya zaidi ya 50m wakati fomu ni 1m.... Mara 50 ya bei. Hata gari tutalipia mara 50Kwani inatakiwa tumnunulie gari ya bei gani?
Wakijibu hilo nistueMbona fomu Moja ya urais tumekusanya zaidi ya 50m wakati fomu ni 1m.... Mara 50 ya bei. Hata gari tutalipia mara 50
Siwezi kumchangia MROPOKAJI asiye na shukrani kwa waliomfanyia memaKwan umekamuliwa?
Malisa ni mfuasi wa Mbowe, amegoma kabisa kuhamasisha mchango huuHatujui mpaka sasa kumechangwa sh ngapi, maana mepita kitambo kirefu, lakini kwa yale masaa 24 ya mwanzo, Pesa iliyopatikana ilikuwa zaidi ya ml 10 za kitanzania.
Kwa wabongo waliopigika kumchangia mtu 10mil within 24hrs huo ni upendo mkuu sana!
View attachment 2993927
Kama umeguswa na unyama aliotendewa Tundu Lissu waweza kuchangia kupitia utaratibu huu hapa chini
View attachment 2994064
Waliomchangia wanazo ngapi kama hizo!! Ukipewa orodha ya waliomchangia utazimia. Hakuna mlalahoi hata mmoja waliochanga ni wale walizonazo tu.Mwenye nacho huongezewa, mara ya mwisho nafika kwa lissue tegeta alikua amepak kama range 3 Yani...
Gari iliyoshambuliwa ni yake binafsi,na gari inavyotaka kununuliwa kufidia ile iliyoharibiwa na maharamia.Hatari sana, inamaana CDM wameshindwa kuwa na gari au utaratibu wa kupata gari za viongozi mpaka oyaoya ya michango ya wanachama?
Sidhani kama tuko serious.
hv mkuu unadhan kila mtu anyeuliza swali ambalo masikio yenu wafia vyama hayatak kusikia basi ni kwamba yupo upande wa pili?Mbona fomu Moja ya urais tumekusanya zaidi ya 50m wakati fomu ni 1m.... Mara 50 ya bei. Hata gari tutalipia mara 50
Hahaha yani ukihoji CDM unakuwa CCM?Kwani umelazimishwa? mbona juzi mmechanga form ya uRais na hulalamiki?
NINGESHTUKA SANA ENDAPO UNGESEMA "NDANI YA SAA SITA, WATANZANIA WACHANGA MILIONI 200""Hatujui mpaka sasa kumechangwa sh ngapi, maana mepita kitambo kirefu, lakini kwa yale masaa 24 ya mwanzo, Pesa iliyopatikana ilikuwa zaidi ya ml 10 za kitanzania.
Kwa wabongo waliopigika kumchangia mtu 10mil within 24hrs huo ni upendo mkuu sana!
View attachment 2993927
Kama umeguswa na unyama aliotendewa Tundu Lissu waweza kuchangia kupitia utaratibu huu hapa chini
View attachment 2994064
Kwanini uchukie kuchangiwa fedha mwenzako tena alipata matatizo ya wazi kabisaHahaha yani ukihoji CDM unakuwa CCM?
Sijapata mgao ila nikipewa nachukua. Lakini mkuu usiwe na wivu na fursa za watuDogo vipi,umepata mgao?
Hata Passo no E anapata hapo!!Bajaj tayari hapo [emoji23][emoji23]
Kwani hiyo gari iliyo shambuliwa na risasi haikua na Bima!?Gari iliyoshambuliwa ni yake binafsi,na gari inavyotaka kununuliwa kufidia ile iliyoharibiwa na maharamia.
Kwa hiyo gari itakayonunuliwa ni mali yake Lissu binafsi sio ya CHADEMA.
Binafsi nitachangia jambo hili muhimu.