Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itafamika,
Kati ya mama Abdul na Watanzania,
Nani Hasa mwenye pesa!!
Mbona kama unaongea kinyonge sanaKwani inatakiwa tumnunulie gari ya bei gani?
Kwani gari ambayo watanzania na watanganyika wamemwomba asiitumie ilikuwa ya chademaHatari sana, inamaana CDM wameshindwa kuwa na gari au utaratibu wa kupata gari za viongozi mpaka oyaoya ya michango ya wanachama?
Sidhani kama tuko serious.
Soma vizuri acha nyege.Hizo ni zake binafsi! Sisi tunamchangia apate gari ya kupigia kazi hadi kieleweke! Hadi tuwatoe wakoloni weusi madarakani!
Chadema wanadanganya sana watu,Lema lazima azipige hizo pesa.Hii ni another scheme za kuwakamua wanachama wenu bila kujijua. Mlianza na Join The Chain na sasa hivi mumetumia kisingizio cha Makamu Mwenyekiti wenu. Anyway usimuamshe aliyelala
Kesho nachanga laki mojaHatujui mpaka sasa kumechangwa sh ngapi, maana mepita kitambo kirefu, lakini kwa yale masaa 24 ya mwanzo, Pesa iliyopatikana ilikuwa zaidi ya ml 10 za kitanzania.
Kwa wabongo waliopigika kumchangia mtu 10mil within 24hrs huo ni upendo mkuu sana!
View attachment 2993927
Kama umeguswa na unyama aliotendewa Tundu Lissu waweza kuchangia kupitia utaratibu huu hapa chini
View attachment 2994064
Na Mungu atubariki sanaHizo ni zake binafsi! Sisi tunamchangia apate gari ya kupigia kazi hadi kieleweke! Hadi tuwatoe wakoloni weusi madarakani!
Hongera sana na utabarikiwa.Mie Nisha mchangia MH LISSU japo kidogo
Ubarikiwe sanaMie Nisha mchangia MH LISSU japo kidogo
Mungu abariki kazi ya mikono yakoKesho nachanga laki moja
Mbona Samia alimlipa mafao yake yote kwa mabilioni. Bado anashindwa kujinunulia gari?
Kwamba Samia alitoa hizo hela kozimkazi siyo?Mbona Samia alimlipa mafao yake yote kwa mabilioni. Bado anashindwa kujinunulia gari?
Inawauma snSi walimchangia Samia hela ya kuchukua fomu ya u raisi hawa?? 😂 😂 😂 Wabongo wanaendekeza uchawa na roho mbaya tu