Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
UBARIKIWE Mkuu Ngongo...Nimetuma 50,000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UBARIKIWE Mkuu Ngongo...Nimetuma 50,000
Unapenda kuonyweshwa eeehh ukiona chatu ukimbie uvunjike miguuTuoneshe muamala?😀😀😀😀😀
mbona kidunchu sana, halafu muda mrefu mno?Hatujui mpaka sasa kumechangwa sh ngapi, maana mepita kitambo kirefu, lakini kwa yale masaa 24 ya mwanzo, Pesa iliyopatikana ilikuwa zaidi ya ml 10 za kitanzania.
Kwa wabongo waliopigika kumchangia mtu 10mil within 24hrs huo ni upendo mkuu sana!
View attachment 2993927
Kama umeguswa na unyama aliotendewa Tundu Lissu waweza kuchangia kupitia utaratibu huu hapa chini
View attachment 2994064
V8kwani inatakiwa tumnunulie gari ya bei gani?
Mwamba Lissu aliyemshinda aliyewatuma keshaiona.Tuoneshe muamala?😀😀😀😀😀
Kwani umelazimishwa kuchangia? Acha wenye moyo safi tuchange ili hiyo iwekwe makumbusho wajukuu zetu wajue kuwa tuliwahi kuongozwa na madhalimu wauajiHatari sana, inamaana CDM wameshindwa kuwa na gari au utaratibu wa kupata gari za viongozi mpaka oyaoya ya michango ya wanachama?
Sidhani kama tuko serious.
wananchi wanachanga kwa hiari yao we bahili na roho mbaya unateseka niniHatari sana, inamaana CDM wameshindwa kuwa na gari au utaratibu wa kupata gari za viongozi mpaka oyaoya ya michango ya wanachama?
Sidhani kama tuko serious.
Uliingia ndani kulikuwa hakuna wageni?Mwenye nacho huongezewa,mara ya mwisho nafika kwa lissue tegeta alikua amepak kama range 3 Yani...
Kwa umoja wetu hatuwezi shindwa fikisha Mil 500 ili Mh. TL akae kwenye LC300, kamanda ana kazi nzito sana ya kuwaanda watanganyika na ushindi wa ukombozi wa nchi.Hatujui mpaka sasa kumechangwa sh ngapi, maana mepita kitambo kirefu, lakini kwa yale masaa 24 ya mwanzo, Pesa iliyopatikana ilikuwa zaidi ya ml 10 za kitanzania.
Kwa wabongo waliopigika kumchangia mtu 10mil within 24hrs huo ni upendo mkuu sana!
View attachment 2993927
Kama umeguswa na unyama aliotendewa Tundu Lissu waweza kuchangia kupitia utaratibu huu hapa chini
View attachment 2994064
ndo bei gan hyo V8
Hizo ni zake binafsi! Sisi tunamchangia apate gari ya kupigia kazi hadi kieleweke! Hadi tuwatoe wakoloni weusi madarakani!Aisee hata mimi muda namfahamu huyu bwana alikua na hizo range 3.
Tena tunata apate bullet proof!Kwa umoja wetu hatuwezi shindwa fikisha Mil 500 ili Mh. TL akae kwenye LC300, kamanda ana kazi nzito sana ya kuwaanda watanganyika na ushindi wa ukombozi wa nchi.
Asante sana Mkuu ni kumfufurusha huyu Mkoloni mweusiHizo ni zake binafsi! Sisi tunamchangia apate gari ya kupigia kazi hadi kieleweke! Hadi tuwatoe wakoloni weusi madarakani!
Swadakta!Hizo ni zake binafsi! Sisi tunamchangia apate gari ya kupigia kazi hadi kieleweke! Hadi tuwatoe wakoloni weusi madarakani!