Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie mbona mnachangia form?Hii ni another scheme za kuwakamua wanachama wenu bila kujijua. Mlianza na Join The Chain na sasa hivi mumetumia kisingizio cha Makamu Mwenyekiti wenu. Anyway usimuamshe aliyelala
Mkuu, hebu tupe namna ya kuchangia na sisi tushiriki kwenye kuandika historia ya huyu mwamba!Hatujui mpaka sasa ikumechangwa sh ngapi, maana mepita kitambo kirefu, lakini kwa yale masaa 24 ya mwanzo, Pesa iliyopatikana ilikuwa zaidi ya ml 10 za kitanzania.
Kwa wabongo waliopigika kumchangia mtu 10mil within 24hrs huo ni upendo mkuu sana!
View attachment 2993927
Hatari sana, inamaana CDM wameshindwa kuwa na gari au utaratibu wa kupata gari za viongozi mpaka oyaoya ya michango ya wanachama?
Sidhani kama tuko serious.
Umewahi kumwona tajiri akinunua maji ya Mwamposa ?Punguza UONGO wanajiua siku hizi sababu ya madeni, msongo wa mawazo na vifo vya wafadhili wao, huo Muda wa kutoa Mafuta, Maji, Uvumba na ManeMane bure kwa watu masikini watautoa wapi?
Hongera zenu ila zisiingie kwenye a/c join the chain huwa ha!ijulikani zinaishia wapi kwenye vitabu vya mapato na matumizi hazionekani!Hatujui mpaka sasa ikumechangwa sh ngapi, maana mepita kitambo kirefu, lakini kwa yale masaa 24 ya mwanzo, Pesa iliyopatikana ilikuwa zaidi ya ml 10 za kitanzania.
Kwa wabongo waliopigika kumchangia mtu 10mil within 24hrs huo ni upendo mkuu sana!
View attachment 2993927
Join the chain ni upigaji wa pesa waziwazi! Hongera Mwenyekiti MbowHongera zenu ila zisiingie kwenye a/c join the chain huwa ha!ijulikani zinaishia wapi kwenye vitabu vya mapato na matumizi hazionekani!
Wajinga ndio waliwao!Hatujui mpaka sasa ikumechangwa sh ngapi, maana mepita kitambo kirefu, lakini kwa yale masaa 24 ya mwanzo, Pesa iliyopatikana ilikuwa zaidi ya ml 10 za kitanzania.
Kwa wabongo waliopigika kumchangia mtu 10mil within 24hrs huo ni upendo mkuu sana!
View attachment 2993927
Aisee hata mimi muda namfahamu huyu bwana alikua na hizo range 3.Mwenye nacho huongezewa,mara ya mwisho nafika kwa lissue tegeta alikua amepak kama range 3 Yani...
Wanafadhiri Ibada zile SIO lazima uwaone Mbele wakibeba maji na Mafuta wakifa ndio utaelewa ninachosemaUmewahi kumwona tajiri akinunua maji ya Mwamposa ?
sijaona hapa jf ila utaratibu wa kuchangia umewekwa kwenye mitandao mingineUzi wa kuchangia uko wapi humu?
UWT mnaumia sn sijui kwanini?
Aisee hata mimi muda namfahamu huyu bwana alikua na hizo range 3.
Mnaumia sana mamamayeee Mashetwaani nyinyiWachungaji pia hupata pesa kwa waumini maskini!
Wajinga ndiyo waliwao.
Hata mama yako akihitaji mchango TUTAMCHANGIAKichwa cha kuku hakibebi mzigo hivi mnachangiaje mtu hela kununua gari ili hali ni tajiri yaani wabongo wengi kichwani ni weupe kila mtu apambane na hali yake .
Asante
Mjanne acha makasiriko WaTanzania tumeamuwa kwa moyo moja kumchangia MKOMBOZI WETUNyumbu ndiyo waliwao
Tuoneshe muamala?😀😀😀😀😀Nimetuma 50,000