kunguni masta
Senior Member
- Sep 10, 2016
- 142
- 179
Wataelewa tu.Kuchangia viongozi ni utamaduni wetu, sasa tunamchangia Lissu gari, na hata Mwalimu Nyerere pia alichangiwa fedha na wananchi ili aende Umoja wa Mataifa kupigania uhuru wa Tanganyika.
Kuchangia kiongozi ni upendo walio nao wananchi, na ndio namna yao ya kuuelezea, sasa wananchi watamuhongaje kiongozi wao?
Ni utamaduni umeanza tangu enzi za Mwalimu
Umesema ukweli kabisa!Tanganyika inahitaji ukombozi wa pili toka kwa wakoloni weusi
Baelezee papaa, tomboka malamuBilionea Trump muda huu anachangiwa huko Marekani🐼
Naam, wataelewa tuWataelewa tu.
Nyerere alishamalizaTanganyika inahitaji ukombozi wa pili toka kwa wakoloni weusi
Kazi aliyofanya Nyerere ilikuja kuharibiwa na hawa mchwa walioko madarakani sasa na ilianzia awamu ya tatu wakati wa ubinfsishaji wa sekta ya umma.Nyerere alishamaliza
Hilo ni somo refu la historiaKazi aliyofanya Nyerere ilikuja kuharibiwa na hawa mchwa walioko madarakani sasa na ilianzia awamu ya tatu wakati wa ubinfsishaji wa sekta ya umma.
Lakini ndiyo ukweli wenyeweHilo ni somo refu la historia
Ntalifupisha kwa faida yakoLakini ndiyo ukweli wenyewe
Kwa wananchi wa kawaida kama akinasisi..uchangia wanasiasa/mambo ya kisiasa inahitaji ujinga wa hali ya juu sana. Me binafsi bado sijafikia kiwango hicho cha ujinga.Hatujui mpaka sasa kumechangwa sh ngapi, maana mepita kitambo kirefu, lakini kwa yale masaa 24 ya mwanzo, Pesa iliyopatikana ilikuwa zaidi ya ml 10 za kitanzania.
Kwa wabongo waliopigika kumchangia mtu 10mil within 24hrs huo ni upendo mkuu sana!
View attachment 2993927
Kama umeguswa na unyama aliotendewa Tundu Lissu waweza kuchangia kupitia utaratibu huu hapa chini
View attachment 2994064
Wewe ni masikini wa hela na akiliKwa wananchi wa kawaida kama akinasisi..uchangia wanasiasa/mambo ya kisiasa inahitaji ujinga wa hali ya juu sana. Me binafsi bado sijafikia kiwango hicho cha ujinga.
Wajinga ndo mnaoendelea kupigwa hela ambazo mmezitafuta kwa jasho.Wewe ni masikini wa hela na akili