Kwa masikitiko makubwa, mwandani wangu ananisaliti na wanaume zaidi ya wa 5



mim juzi natumiwa txt saa saba usiku na sio kawaida yake manzi, na nilkuw online, paka kucha bana nakuj kumuuliza vipi mbona ulinitext saa saba usiku na si kawaida yako, aka nijibu eti alikuta txt yangu nimemchki na wakati siku mtext.
Nikaguna mhmhmhh aya
 
Huyo dawa yake ndogo sana.
Wewe sasa jiweke katika hao wezi. Yaan endelea kugonga ukiwa nawe ni mwizi tu. Ukute hata nawe kuna mtu mwengine ndio wewe na wenzako mnamuibia.

Usiweke malengo yoyote nae. Na kama ulikua Mzee wa kituo Dry chama anza kuvaa Sasa.
 
Huna kinyongo sio ngoja uletewe maradhi, huyo ni kahaba sio mke
 
ayseeee
 
Kwa uliyoyaona huna haja ya kuuliza,
Naamka usiku huohuo nasepa,nablock namba zote...
Kamwe sitamwambia sababu ni nini.
 
Hizo Hela ulizotumia kumsomesha SI ungenunua Malaya TU 😏 . Upewe style zote
 
Umepima? Nasikia sasa gridi la taifa linaanza kazi rasmi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…