Thailand
JF-Expert Member
- Nov 15, 2019
- 275
- 795
Simba na Yanga zinacheza tarehe 16/04/2023. Mechi ya Simba na Yanga au Derby ya kariakoo ni mechi inayoitaji akili, nguvu na utimamu wa mwili kuikabili mechi hii kwa timu zote mbili.
Wapizani wa Simba na Yanga pia wapo kwenye tension kubwa namna gani kuzicheza mechi zao na hizi timu ambazo kila mwaka wanaimarika panapo mashindano ya Afrika. Hivyo watatumia derby hii kujijenga zaidi, na pia wachezaji muhimu wanaweza kuumia kwenye derby hii na hivyo kupunguza morali kwa wachezaji wengine.
Kushinda kwa Simba kimataifa ni kushinda kwa taifa zima, pia kushinda kwa Yanga kimataifa ni kushinda kwa Taifa zima hasa kwenye hatua hii ya robo fainali walioifikia.
Wapizani wa Simba na Yanga pia wapo kwenye tension kubwa namna gani kuzicheza mechi zao na hizi timu ambazo kila mwaka wanaimarika panapo mashindano ya Afrika. Hivyo watatumia derby hii kujijenga zaidi, na pia wachezaji muhimu wanaweza kuumia kwenye derby hii na hivyo kupunguza morali kwa wachezaji wengine.
Kushinda kwa Simba kimataifa ni kushinda kwa taifa zima, pia kushinda kwa Yanga kimataifa ni kushinda kwa Taifa zima hasa kwenye hatua hii ya robo fainali walioifikia.