Kwa matamshi haya, Dr. Wilbrod Slaa atakaa sana korokoroni! (kama kweli kayatamka maana kuna AI)

Kwa matamshi haya, Dr. Wilbrod Slaa atakaa sana korokoroni! (kama kweli kayatamka maana kuna AI)

AI na ndiyo maana nimesema hapo mwanzo
Huyu dingi tushawahi kukaa nae mahali siku nzima, hapa hakuna cha AI ni sauti yake halisi na swaga zake ndo hizi na ni yeye na kuropoka kama hivi kwa cm si sahihi kwa level yake, mzee unajiachiaje kiasi hicho kwenye cm. Hata kama unajua mambo ya wakubwa haifai kuropoka. Huyu dingi vipi tena. Haya kayataka mwenyewe japo yaonesha alikuwa akiongea kwa cm na mtu aliemuamini sana na hakuwaza kama alikuwa akirekodiwa.

Kuna dingi huwa tukikaa ana mastori ya kufa mtu ya dizaini hizo ila hajawahi kusema kwenye cm au mitaani ni mpaka uende kwake anakupa stori unacheka nawe inaishia kwako maisha yanaenda!! Husemi popote!!
 
Back
Top Bottom