Kwa matokeo haya ya US Monastir kwa siku za karibuni, Yanga lazma afungwe

Kwa matokeo haya ya US Monastir kwa siku za karibuni, Yanga lazma afungwe

Hawa ndugu zetu kila kitu wanajua... Matokeo ya Yanga na us monastir wanatabiri, mkataba wa Yanga na Sportpesa wanaujua.. mkataba wa Feisal na Yanga wanaujua.
Na kipigo mtakachopata kwa Mazembe tunakijua
 
Back
Top Bottom