Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Kuna kitu kinaitwa kupandikiza utaifa.wakizaliwa kuwa wengi watataka asili Yao kuwa uhuru na mkiwaletea ubishi asilizao kama taifa lenye nguvu litakuja kuwatetea na kujikuta ni koloni tena.[emoji848][emoji848] Yawezekana maana siyo kwa kujazana huko huku Afrka yaani kuanzia miradi mikubwa hadi umachinga ni wao [emoji15][emoji15][emoji15]
Jiulize wao mbona wanawake zao wanakatazwa kuzaa na waafrika huko kwao.