Kwa matukio haya hakika Wachina wana damu kali sana

Kwa matukio haya hakika Wachina wana damu kali sana

Hilo wala siwezi kulishangaa maana baada ya miaka 50 utashangaa Marais wana asili ya China (mapandikizi)
Ulaya wameagiza magari ya umeme kutoka China na wanayafyatua haswa ila tatizo muingereza amelishtukia ni wachina kuweka vinasa sauti katika magari hayo au chip haya yameongelewa huku uk ila wachina wamekana kabisa na kusema ni uzushi
Ila magari yanatengenezwa kwa wingi sana na batteries zake
Kwa kuanza kuzalisha watoto Africa inaweza ikawa mipango yao ila kama sio hivyo basi hao watoto masikini badala ya kuwa kwao na kutengeneza simu watakula ugali mpaka akili ziwakae sawa
Population ya China iliyopo Afrika ni ndogo ukicompare na hayo mataifa makubwa huko mpaka China Town zipo huku wachina wetu ni wa construction tu na viwanda bubu sio wa ajira rasmi tofauti na huko majuu.

Hiyo project haipo ni umbea, wachina walikuwa wanaogopa kwenda na watoto wao kutokana na sheria ya uzazi iliyo kuwepo awali ilikuwa inawabana
 
Biology advance
Topic: Genetic, heredity & Evolution.

Phenotypically genes za mchina ni dominance/strong ukilinganisha na genes za wabantu, maana yake genes za wabantu zinakuwa ni recessive/weak. weakness na strongest inahusiana na physical appearance. Hamna formula maalumu inatokea by chance/probability. Pia inaweza ikatokea kinyume chake pia sababu kila individual ni unique.

Pia genetypical mchina bado genetic yake inakuwa dominance zaidi ya mbantu. Pia inaweza ikatokea kinyume chake.
 
Mi wanachonishangaza ni kwamba kwenye ujenzi wa miradi yao wanaweka bango kwamba ukimwi unaua wakati wao huko site wanaacha watoto sasa sijui yale mabango ya ukimwi unaua wanamuwekea nani.
 
Mi wanachonishangaza ni kwamba kwenye ujenzi wa miradi yao wanaweka bango kwamba ukimwi unaua wakati wao huko site wanaacha watoto sasa sijui yale mabango ya ukimwi unaua wanamuwekea nani.
Hapo ndipo inabidi tuamini kila kitu cha mchina ni fake hadi mabango 😄😄
 
Kwa mtazamo wangu.Wachina wana muelekeo mfanano mkubwa sana ba waafroka hivyo unaweza dhani kuwa mtoto kanezwa na mchina kumbe ni mfanano.
Wachina wana round face.
Wanapua pana.
Wanalipsi pana.
Hata ufipi.
Vichwa vikubw kama baadhi a waafrika.
Khoi san ndio karibu 80 ni wachina kasoro nywele.
Hakuna race nyingine inayokaribiana na wachina kama waafrika.
 
Back
Top Bottom