Pre GE2025 Kwa matukio haya ya watu kupotea na kusemekana kutekwa! Magufuli alionewa? Polisi wanaonewa?

Pre GE2025 Kwa matukio haya ya watu kupotea na kusemekana kutekwa! Magufuli alionewa? Polisi wanaonewa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Leak

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
52,916
Reaction score
43,505
Bila shaka kila mmoja wetu anajua kinacho endelea kuhusu matukio ya watu kupotea na kusemekana kutekwa na watu wasiojulikana yanayoendelea sasa hivi sasa na wengine wakilituhumu jeshi la polisi na wengine wakisema ni wahalifu wanafanya hivyo kuichafua serikali!

Baada ya Kifo cha Magufuli wengi walisema kuwa watu hawatopotea wala kusemekana kutekwa kwa kuwa watu wako huru sana na wengi walikuwa wakisema Magufuli ndio alikuwa ana agiza watu hao kutekwa na kupotezwa!

Lakini sasa matukio haya yanaonekana kuonekana tena kwa kasi ya ajabu sasa ni wazi kuna uwezekano mkubwa Magufuli alisingiziwa au Polisi wanasingiziwa!
Cha kujiuliza nani ana husika kwenye haya?

IMG_2727.jpeg
IMG_2726.jpeg
IMG_2725.jpeg


Pia soma:
 
Nafikiri kuna watu wenye asira Kali wanalichukulia Sheria mkononi

Mara nyingi hii mitandao ya kijamii hasa ikihusishwa na wivu wa kimapezi ndio chanzo kikuu ukifuatilia mara nyingi
 
Mbona watu wanaenda kwenye tatizo bila kujua chanzo cha tatizo.?

Hawezi kusafishwa kirahisi hivyo hiyo michezo ilianzia utawala wake na rais aliyekuwepo ni makamu wake.

Samia karithi baraza la mawaziri la Magufuli kafanya mabadiliko kidogo sana ilhali alitakiwa kuja na timu mpya huu ni muendelezo wa Magufuli wala hasafishwi kirahisi kaacha bunge la hovyo kupata kutokea ndio maana husikii yoyote akipaza sauti.

Ndio maana tunademand katiba mpya rais akifa baada ya siku 90 uchaguzi ufanyike upya na bunge livunjwe.
 
Katika watu milioni 6o+ watu 10 kutoweka kila siku kwasababu mbalimbali na ndugu wasijue walipo ni jambo la kawaida.

Kitu kinachoshitusha ni kufanya matukio hayo kuwa ajenda ya kitaifa kiasi cha kuzusha hofu isiyo ya msingi.
 
Nafikiri kuna watu wenye asira Kali wanalichukulia Sheria mkononi

Mara nyingi hii mitandao ya kijamii hasa ikihusishwa na wivu wa kimapezi ndio chanzo kikuu ukifuatilia mara nyingi
Aiseeeee
 
Katika watu milioni 6o+ watu 10 kutoweka kila siku kwasababu mbalimbali na ndugu wasijue walipo ni jambo la kawaida.

Kitu kinachoshitusha ni kufanya matukio hayo kuwa ajenda ya kitaifa kiasi cha kuzusha hofu isiyo ya msingi.
Kama walivyofanya kipindi cha Magufuli!
 
Hizi ni njama za sukuma gang, wanataka kumchafua mama. Mama ana madhaifu mengine lkn kamwe hataki, hapendi na hafanyi utekaji. Jiwe aliunda kikundi cha wasiojulikana, na akawa anakitumia kuteka watu.
 
Bila shaka kila mmoja wetu anajua kinacho endelea kuhusu matukio ya watu kupotea na kusemekana kutekwa na watu wasiojulikana yanayoendelea sasa hivi sasa na wengine wakilituhumu jeshi la polisi na wengine wakisema ni wahalifu wanafanya hivyo kuichafua serikali!

Baada ya Kifo cha Magufuli wengi walisema kuwa watu hawatopotea wala kusemekana kutekwa kwa kuwa watu wako huru sana na wengi walikuwa wakisema Magufuli ndio alikuwa ana agiza watu hao kutekwa na kupotezwa!

Lakini sasa matukio haya yanaonekana kuonekana tena kwa kasi ya ajabu sasa ni wazi kuna uwezekano mkubwa Magufuli alisingiziwa au Polisi wanasingiziwa!
Cha kujiuliza nani ana husika kwenye haya?

View attachment 3046529View attachment 3046531View attachment 3046529

Pia soma:Vijana Kariakoo wanapotea sana, Serikali iingilie kati
Kwani wale waliokuwa wanamsema Magufuli, wanasemaje sasa kwa mwendelezo huu?
 
Hizi ni njama za sukuma gang, wanataka kumchafua mama. Mama ana madhaifu mengine lkn kamwe hataki, hapendi na hafanyi utekaji. Jiwe aliunda kikundi cha wasiojulikana, na akawa ananitumia kuteka watu.
😂😂😂😂😂😂😂. Kwa hiyo wasasa wanatekwa na nani?
 
Back
Top Bottom