Pre GE2025 Kwa matukio haya ya watu kupotea na kusemekana kutekwa! Magufuli alionewa? Polisi wanaonewa?

Pre GE2025 Kwa matukio haya ya watu kupotea na kusemekana kutekwa! Magufuli alionewa? Polisi wanaonewa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mimi sio muumini wa sheria mkononi lakini naamini kwamba tukijaribu ku apply sheria mkononi itasaidia ama kukomesha kabisa hili jambo la kutekana.

kipindi cha nyuma kidogo suala la wizi liliwahi kushamiri sana hasa dar, watu walikua wanaibiwa mchana kweupeee(unaona mtu anakwapuliwa simu,cheni yake na hakuna msaada wowote anaoupata)

Polisi walikuwepo lakini walishindwa kuzuia kabisa matendo hayo kwa asilimia mia, Lilipokuja suala la wananchi kuchukua sheria mkononi matukio ya wizi wa aina hii yalipungua(japo kuna waliowahi kupata madhara ya sheria mkononi na hawakuwa watuhumiwa)

Kipindi bodq zinaingia katika mfumo wa kubeba abiria, boda wengi(sio wote) walikua wanapata ajari kutokana na uzembe wa madereva wa magari, hawa jamaa wa boda sijui walikaaga kikao wapi wakaja na mbinu ya sheria mkononi, matokeo yako madereva wa magari wamekua makini japo si asilimia mia

Nini kifanyike wa hawa wanaoteka watu hovyo???

Tuanze kutembea na filimbi shingoni(waulize askari wa kenya wanaijua nguvu ya filimbi kipindi cha maandamano) ukiona watu wawili au watatu wamekuzuia, wanakulazimisha sijui upande kwenye gari, chomoa filimbi yako uipulize kwa nguvu zoooote ili kila mtu karibu asikie, na atakaesikia kelele za filimbi hana budi kusogea eneo la tukio.

Watu wakishajazana, tuanze kuwahoji hao askari(sio kuwazuia kufanya kazi) kwamba huyu jamaa mnamkamata sawa lakini kutokana na mazingira ya kutekana, basi wapigwe picha askari wakiwa na mtuhumiwa na waseme wanampeleka kituo gani.

Wakigoma kupiga picha basi wapigwe picha kwa lazima ili ikitokea tatizo lolote tuwaanike mtandaoni kuwa hawa ndio waliomteka fulani.

Katika hili tunatakiwa kushirikiana kwa pamoja sababu leo akitekwa fulani huwezi jua wewe zamu yako lini. Kipindi Roma anatekwa, sidhani kama Sativa alijaribu hata kuwaza kuna siku atakuja kutekwa yeye, lakini na yeye amekuja kutekwa hivyo hakuna alie salama, leo kwangu kesho kwako
 
Mjadala huu unaelekea kuthibitisha bila shaka kuwa asilimia kubwa ya wachangiaji wana fikra ndogo kama wanyama. Hii ni hatari sana kwa ujenzi na usalama wa taifa.
Lazima kuwa na watu wenye fikra na kuona mbali.
 
Bila shaka kila mmoja wetu anajua kinacho endelea kuhusu matukio ya watu kupotea na kusemekana kutekwa na watu wasiojulikana yanayoendelea sasa hivi sasa na wengine wakilituhumu jeshi la polisi na wengine wakisema ni wahalifu wanafanya hivyo kuichafua serikali!

Baada ya Kifo cha Magufuli wengi walisema kuwa watu hawatopotea wala kusemekana kutekwa kwa kuwa watu wako huru sana na wengi walikuwa wakisema Magufuli ndio alikuwa ana agiza watu hao kutekwa na kupotezwa!

Lakini sasa matukio haya yanaonekana kuonekana tena kwa kasi ya ajabu sasa ni wazi kuna uwezekano mkubwa Magufuli alisingiziwa au Polisi wanasingiziwa!
Cha kujiuliza nani ana husika kwenye haya?

View attachment 3046529View attachment 3046531View attachment 3046529

Pia soma:Vijana Kariakoo wanapotea sana, Serikali iingilie kati
Hapana, kuna tofauti ya matukio ya wakati wa Magufuli na wanaotekwa sasa hivi. Inasemekana
Magufuli alikuwa anamiliki yeye mwenyewe kikundi cha WASIOJULIKANA. Kiongozi wa kikundi hicho inasemekana alikuwa Daudi Bashite.

Wakati wa Magufuli walikuwa wanatekwa watu maarufu kama; MoDewji, Roma Mkatoliki, Ben Saanane, Tundu Lissu (kushambuliwa), Azory Gwanda, Lwajabe na Zakari wa Tarime.

Wanaotekwa sasa hivi ni hohehahe tu wala hawana impact. Ni matukio yao binafsi wananchi kwa wananchi wenyewe. Rais Samia hahusiki
 
Mimi sio muumini wa sheria mkononi lakini naamini kwamba tukijaribu ku apply sheria mkononi itasaidia ama kukomesha kabisa hili jambo la kutekana.

kipindi cha nyuma kidogo suala la wizi liliwahi kushamiri sana hasa dar, watu walikua wanaibiwa mchana kweupeee(unaona mtu anakwapuliwa simu,cheni yake na hakuna msaada wowote anaoupata)

Polisi walikuwepo lakini walishindwa kuzuia kabisa matendo hayo kwa asilimia mia, Lilipokuja suala la wananchi kuchukua sheria mkononi matukio ya wizi wa aina hii yalipungua(japo kuna waliowahi kupata madhara ya sheria mkononi na hawakuwa watuhumiwa)

Kipindi bodq zinaingia katika mfumo wa kubeba abiria, boda wengi(sio wote) walikua wanapata ajari kutokana na uzembe wa madereva wa magari, hawa jamaa wa boda sijui walikaaga kikao wapi wakaja na mbinu ya sheria mkononi, matokeo yako madereva wa magari wamekua makini japo si asilimia mia

Nini kifanyike wa hawa wanaoteka watu hovyo???

Tuanze kutembea na filimbi shingoni(waulize askari wa kenya wanaijua nguvu ya filimbi kipindi cha maandamano) ukiona watu wawili au watatu wamekuzuia, wanakulazimisha sijui upande kwenye gari, chomoa filimbi yako uipulize kwa nguvu zoooote ili kila mtu karibu asikie, na atakaesikia kelele za filimbi hana budi kusogea eneo la tukio.

Watu wakishajazana, tuanze kuwahoji hao askari(sio kuwazuia kufanya kazi) kwamba huyu jamaa mnamkamata sawa lakini kutokana na mazingira ya kutekana, basi wapigwe picha askari wakiwa na mtuhumiwa na waseme wanampeleka kituo gani.

Wakigoma kupiga picha basi wapigwe picha kwa lazima ili ikitokea tatizo lolote tuwaanike mtandaoni kuwa hawa ndio waliomteka fulani.

Katika hili tunatakiwa kushirikiana kwa pamoja sababu leo akitekwa fulani huwezi jua wewe zamu yako lini. Kipindi Roma anatekwa, sidhani kama Sativa alijaribu hata kuwaza kuna siku atakuja kutekwa yeye, lakini na yeye amekuja kutekwa hivyo hakuna alie salama, leo kwangu kesho kwako
Lazima watu wawe na fikra tofauti na wanyama. Kunakuwa na tatizo watu wanabaki na fikra za kikondoo, hiyo siyo sawa kabisa. Kutoa tuhuma kwa vyombo vya dola bila wananchi wenyewe kuchukua hatua ni upuuzi.
 
Muhusika mkuu wa haya matukio imebaki kitendawili japo watu wa usalama walipaswa kutegua hiki kitendawili
Wa kutegua ndio wahusika wenyewe.

Mfumo wa utekaji ulitengenezwa, na haujafutwa. Kadiri dalili za kutokubalika zinavyozidi, imebidi watawala kuzidi kuutegemea mfumo huu.

Mfumo huu wa utekaji haukutengenezwa na JPM, labda yeye aliukomaza tu. Kikwete aliutumia, JPM aliutumia sana na kuupa nguvu zaidi, na mama naye inaonekana kadiri siku zinavyoenda anazidi kuupa nguvu, ndiyo maana hata wake vinara wa uharamia wa utekaji amewarudisha kwenye Serikali yake.

Uharamia huo hakuuanzisha JPM, yeye aliukuta, akauimarisha na kuupa nguvu zaidi. Akina Ulimboka, Mawazo, n.k. walitendwa na Kikwete, siyo JPM.

Akina Lisu, Mo, Roma, Mdude, Azory, Ben, Kanguye na wengine wengi, ni wakati wa JPM. Wakati wa JPM, waliouawa walifungwa kwenye viroba na kutupwa baharini.

Akina Sativa na hawa wengine wa sasa, ni wakati wa Samia, na orodha inaendelea. Sijui atafikia wapi!! Wakati wa Samia, wanaouawa inaonrkana miili yao wanapelekewa fisi, ref. case ya Sativa.
 
Lazima watu wawe na fikra tofauti na wanyama. Kunakuwa na tatizo watu wanabaki na fikra za kikondoo, hiyo siyo sawa kabisa. Kutoa tuhuma kwa vyombo vya dola bila wananchi wenyewe kuchukua hatua ni upuuzi.

Kwa hapa tulipofikia, ni lazima kuchukua hatua dhidi ya hawa watu. La sivyo, wataendelea kuwageuza binadamu wenzao kama ngiri, yaani kila wakijisikia wanamteka na kumwua wanayemtaka. Wanaoteka na kuua tunawafahamu. Wanaosimamia huu ushetani tunawajua, na pamoja na huu ushetani wote bado tunawaheshimu wakati wao hawaheshimu uhai wa watu wengine.

Watekaji wanastahili kutendwa kama wanavyotendwa vibaka.
 
Mfumo huu wa utekaji haukutengenezwa na JPM, labda yeye aliukomaza tu. Kikwete aliutumia, JPM aliutumia sana na kuupa nguvu zaidi, na mama naye inaonekana kadiri siku zinavyoenda anazidi kuupa nguvu,

Akina Sativa na hawa wengine wa sasa, ni wakati wa Samia, na orodha inaendelea. Sijui atafikia wapi!! Wakati wa Samia, wanaouawa inaonrkana miili yao wanapelekewa fisi, ref. case ya Sativa.

Are you serious Samia anahusika na utekaji wa akina Sativa na wengineo waliopotea? Why should Samia do so kwa watu ambao hakuna hata mmoja wao anayemkosoa au kumtukana?

Mbona akina Mdude_Nyagali , Lissu, Maria Sarungi, Hilda Newton, Twaha Mwipaya, Martin Maranja Masese, Boniface Jacob, Mwabukusi na wengine, wana lugha kali sana na matusi lakini hawajatekwa? Kama Samia angekuwa mtekaji ange deal na hawa.

Hata kama humpendi usimhusishe na huu uchafu. Wananchi wanatekana wenyewe kwa wenyewe kwa sababu zao.
 
Hizi ni njama za sukuma gang, wanataka kumchafua mama. Mama ana madhaifu mengine lkn kamwe hataki, hapendi na hafanyi utekaji. Jiwe aliunda kikundi cha wasiojulikana, na akawa ananitumia kuteka watu.
Wewe usiye na jinsia kubali ukatae Magufuli mlimtwika sana kila aina ya ubaya! Mtu akiuawa hata Mpanda huko mlisema Magufuli anahusika! Shame on you!
 
Kumbe utekaji hauna cha raisi yupi, wote wanateka tu, hata kutoka upande wa pili huko wanateka tu?

Ninaamini wala sio raisi anayeamuru hayo mambo, kuna kundi la wanywa damu za watu, hawa ndio wataalam waliobeba damu nyingi za watanzania waliopotea kwa utatanishi. Vingi wala mkuu wa nchi hahusiki.
 
Are you serious Samia anahusika na utekaji wa akina Sativa na wengineo waliopotea? Why should Samia do so kwa watu ambao hakuna hata mmoja wao anayemkosoa au kumtukana?

Mbona akina Mdude_Nyagali , Lissu, Maria Sarungi, Hilda Newton, Twaha Mwipaya, Martin Maranja Masese, Boniface Jacob, Mwabukusi na wengine, wana lugha kali sana na matusi lakini hawajatekwa? Kama Samia angekuwa mtekaji ange deal na hawa.

Hata kama humpendi usimhusishe na huu uchafu. Wananchi wanatekana wenyewe kwa wenyewe kwa sababu zao.
Ila waliopotea kipindi cha Magufuli walitekwa na JPM? Nyie machawa kazi sana!
 
Katika watu milioni 6o+ watu 10 kutoweka kila siku kwasababu mbalimbali na ndugu wasijue walipo ni jambo la kawaida.

Kitu kinachoshitusha ni kufanya matukio hayo kuwa ajenda ya kitaifa kiasi cha kuzusha hofu isiyo ya msingi.
Huna akili kabisa mkuu, nisamehe bure.
 
Hapana, kuna tofauti ya matukio ya wakati wa Magufuli na wanaotekwa sasa hivi.
Magufuli alikuwa anamiliki yeye mwenyewe kikundi cha WASIOJULIKANA. Kiongozi wa kikundi hicho alikuwa Daudi Bashite aka Makonda.

Wakati wa Magufuli walikuwa wanatekwa watu maarufu kama; MoDewji, Roma Mkatoliki, Ben Saanane, Tundu Lissu (kushambuliwa), Azory Gwanda, Lwajabe na Zakari wa Tarime.

Wanaotekwa sasa hivi ni hohehahe tu wala hawana impact. Ni matukio yao binafsi wananchi kwa wananchi wenyewe. Rais Samia hahusiki
Cheki ulivyo punga! Kwa hiyo maisha ya Mo ni bora saba kuliko hao wanaotekwa saizi?
Huyo Mfanayabiashara unamwita hohehahe?
Alliotekwa kipindi cha JPM mhusika ni yeye wanaoteka saizi mhusika sio Samia! Kichwa cha mwenda wazimu!
 
Ila waliopotea kipindi cha Magufuli walitekwa na JPM? Nyie machawa kazi sana!
Hilo halina ubishi. Hebu kama una akili nipe maelezo unawezaje kumteka Mohamed Dewji pale Coloseum? Ila kama hujui Coloseum ilipo kaa kimya!! Nyambaaaaaf
 
Back
Top Bottom