King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Awamu ya tano imeteka watu na kuweka kwenye viroba na pia awamu hii ya 6 nayo pia,hata ikija ya 7 itateka watu na kuua pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku akipotea ndugu yako, chukulia pia ni jambo la kawaidaKatika watu milioni 6o+ watu 10 kutoweka kila siku kwasababu mbalimbali na ndugu wasijue walipo ni jambo la kawaida.
Kitu kinachoshitusha ni kufanya matukio hayo kuwa ajenda ya kitaifa kiasi cha kuzusha hofu isiyo ya msingi.
Alikufa kwa sala za aliowadhulumu. Pamoja na ulinzi wa ma helicopter, Internet jammer, laptop sensers, TISS na walinzi wa JW bado haikutosha. Hata wale masangoma 400 wa Gamboshi nao hawakufua dafu.Unaona sasa usivyo na akili! Kufa madarakani wa kwanza Magufuli dunia nzima?
Hona hoja toast majibu utekaji unaoenndelea acha kulialia JPM!
Kikwete Dr Ulimboka alitekwa napo Rais alikuwa JPM?
Rudi kamsome tena. Kataja Samia mara 2, siyo kwa bahati mbaya bali Bams hampendi Samia kwa loloteNafikiri Bams hakumaanisha kuwa Samia ndiye moja kwa moja anatoa amri hao watu watekwe bali ni kuwa katika baadhi ya matukio Polisi wamehusika moja kwa moja ikimaanisha ni mfumo ambao upo tayari unafanya kazi.
Basi umemteka weweHuyu ndg hajawahi kuwa na akili.
Kumbe amesikia na hana ushahidi
siku akitekwa ndugu yako tunaomba akili zakoHuyu ndg hajawahi kuwa na akili.
Kumbe amesikia na hana ushahidi
Kama Tulimlaumu Magu na ameondoka na bado wanatekwa basi aliebakia anahusika.siku akitekwa ndugu yako tunaomba akili zako
Msamaha wa kwioooo! Wakati yeye Ndo muasisi wa huu upuuziMagufuli ataombwa msamaha!
Give a dog a bad name and then kill it.Dikteta Magufuli alishakufa na kuona.
Aliyepo sasa hivi ni mama mpole na mwenye mapenzi na wanae.
Sasa haya mambo ya kutekwa, kuteswa, na mwishowe kuuwawa yanatokea wapi?
!.Dikteta Magufuli alishakufa na kuona.
Aliyepo sasa hivi ni mama mpole na mwenye mapenzi na wanae.
Sasa haya mambo ya kutekwa, kuteswa, na mwishowe kuuwawa yanatokea wapi?
Kwani ulitaka kusema nini?Give a dog a bad name and then kill it.
Sijui kama nimeandika kiingilishi sahihi.
Hukuwa na la kusema, au?!.
P