Pre GE2025 Kwa matukio haya ya watu kupotea na kusemekana kutekwa! Magufuli alionewa? Polisi wanaonewa?

Pre GE2025 Kwa matukio haya ya watu kupotea na kusemekana kutekwa! Magufuli alionewa? Polisi wanaonewa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Awamu ya tano imeteka watu na kuweka kwenye viroba na pia awamu hii ya 6 nayo pia,hata ikija ya 7 itateka watu na kuua pia.
 
Katika watu milioni 6o+ watu 10 kutoweka kila siku kwasababu mbalimbali na ndugu wasijue walipo ni jambo la kawaida.

Kitu kinachoshitusha ni kufanya matukio hayo kuwa ajenda ya kitaifa kiasi cha kuzusha hofu isiyo ya msingi.
Siku akipotea ndugu yako, chukulia pia ni jambo la kawaida
 
Unaona sasa usivyo na akili! Kufa madarakani wa kwanza Magufuli dunia nzima?
Hona hoja toast majibu utekaji unaoenndelea acha kulialia JPM!
Kikwete Dr Ulimboka alitekwa napo Rais alikuwa JPM?
Alikufa kwa sala za aliowadhulumu. Pamoja na ulinzi wa ma helicopter, Internet jammer, laptop sensers, TISS na walinzi wa JW bado haikutosha. Hata wale masangoma 400 wa Gamboshi nao hawakufua dafu.
 
Nafikiri Bams hakumaanisha kuwa Samia ndiye moja kwa moja anatoa amri hao watu watekwe bali ni kuwa katika baadhi ya matukio Polisi wamehusika moja kwa moja ikimaanisha ni mfumo ambao upo tayari unafanya kazi.
Rudi kamsome tena. Kataja Samia mara 2, siyo kwa bahati mbaya bali Bams hampendi Samia kwa lolote
 
1000032209.jpg
 
Huyu ndg hajawahi kuwa na akili.
Kumbe amesikia na hana ushahidi
 
Hatari sana hawa wafuasi wa chadema,kutokuwa na adabu ndo tiketi ya kuwa mfuasi wa chadema
 
Watu wanatekwa mchana Kweupe, wanateswa ndani ya premises za jeshi LA polisi wizara ya mambo ya ndani waziri anatoka nakusema nchi ipo salaam ooh!! Sawa.

Watoto wanaibwa polisi hata hawajishughurishi mpaka watu wapige Kelele, watoto wanabakwa, kulawitiwa na kuuwawa, polisi wanatumia muda mfupi kugundua maiti na wahalifu nasio wahalifu kabla ya mtoto kudhurumiwa uhai wake.

Wananchi wanadai haki zao mnawapiga risasi, oohh mmehararisha uharamia? Haya sawa.

Utafika muda askari mtaviziwa huko mtaani na wananchi na asitokee wa kuwasaidia.
 
either kuna kikosi rogue chini ya serikali au haya mambo yana rubber stamp ya #1.

Anyway mitano tena
 
Back
Top Bottom