Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini yeye si ni mpole na tuliambiwa tatizo lilikuwa ni yule Ngosha.either kuna kikosi rogue chini ya serikali au haya mambo yana rubber stamp ya #1.
Anyway mitano tena
Kwani wakati wa Magufuli ni nani aliyekuwa anatoa maagizo?unafikiri kwa upeo wako ni yeye kweli anaetoa maagizo..?
haiwezi kuwa rahisi hivyo kuna jambo linafukuta sisi tunaona matokeo tu!
haya mambo yalikuwepo rejea kina Ulimboka na Mvungi.. sasa hivi yametamalaki sana. labda wameongeza kikosi.Lakini yeye si ni mpole na tuliambiwa tatizo lilikuwa ni yule Ngosha.
Kwani kabla ya Ngosha ya mambo Yalu kuwepo?
Dikteta Magufuli alishakufa na kuona.
Aliyepo sasa hivi ni mama mpole na mwenye mapenzi na wanae.
Sasa haya mambo ya kutekwa, kuteswa, na mwishowe kuuwawa yanatokea wapi?
na atashinda kwa asilimia zaidi ya 90 mwakani. Ameshapata user manual kutoka kwa Slender man wa Rwanda. ni kuteka na kuua dissenters na kufungua miradi uchwara mpaka 2030View attachment 3090219
Bora ya mtu katili anaejionyesha hadharani kuliko ya shetani anaejinasibu kama malaika kwenye halaiki na kufanya uhaini nyuma ya kivuli.
Akiulizwa anakwambia ni vi drama.
sijui,lakini nachojua mara nyingi furushi lolote ukiwa kiongozi lazima utupiwe!.. ipo hivi unapoona kuna mwenye nguvu tambua pia kuna wenye nguvu haya mambo ni siri na wanayajua wenyewe!Kwani wakati wa Magufuli ni nani aliyekuwa anatoa maagizo?
At what expense? Damu za watu zitamuandama mpaka kuzimu yake.na atashinda kwa asilimia zaidi ya 90 mwakani. Ameshapata user manual kutoka kwa Slender man wa Rwanda. ni kuteka na kuua dissenters na kufungua miradi uchwara mpaka 2030
Alaaa! Kumbe….haya mambo yalikuwepo rejea kina Ulimboka na Mvungi.. sasa hivi yametamalaki sana. labda wameunza kikosi.
Hatuna budi kwenda kuhani ba kuomba radhi kwenye malalo ya Magufuli.Dikteta Magufuli alishakufa na kuona.
Aliyepo sasa hivi ni mama mpole na mwenye mapenzi na wanae.
Sasa haya mambo ya kutekwa, kuteswa, na mwishowe kuuwawa yanatokea wapi?
Despots don't have a moral compass. you are appealing to a non-existent trait if you do that.At what expense? Damu za watu zitamuandama mpaka kuzimu yake.
Hata sikumbuki.Kwani ulitaka kusema nini?
Mlikuwa mkisema Africa kusini ni violence country , ila afadhali wanaofanya uhalifu wanaonekana mtaani kuliko hiki kinachoendelea Kwa kificho aieleweki ni siasa, vikundi vya kiarifu au ni nnBila shaka kila mmoja wetu anajua kinacho endelea kuhusu matukio ya watu kupotea na kusemekana kutekwa na watu wasiojulikana yanayoendelea sasa hivi sasa na wengine wakilituhumu jeshi la polisi na wengine wakisema ni wahalifu wanafanya hivyo kuichafua serikali!
Baada ya Kifo cha Magufuli wengi walisema kuwa watu hawatopotea wala kusemekana kutekwa kwa kuwa watu wako huru sana na wengi walikuwa wakisema Magufuli ndio alikuwa ana agiza watu hao kutekwa na kupotezwa!
Lakini sasa matukio haya yanaonekana kuonekana tena kwa kasi ya ajabu sasa ni wazi kuna uwezekano mkubwa Magufuli alisingiziwa au Polisi wanasingiziwa!
Cha kujiuliza nani ana husika kwenye haya?
View attachment 3046529View attachment 3046531View attachment 3046533
Pia soma:Vijana Kariakoo wanapotea sana, Serikali iingilie kati