Kwa mazingira yetu ya Afrika biashara ya duka la mahitaji ya nyumbani inaweza kukutoa katika umaskini

Kwa mazingira yetu ya Afrika biashara ya duka la mahitaji ya nyumbani inaweza kukutoa katika umaskini

Mi Niko field wewe haupo field unasikia maneno tu,haipo hivyo,mm Nina duka la jumla nawauzia wa mtaani mchana kweupe
Kiongoz samahan je nikitak kufungua duka la jumla natakiw niwe na mtaji kuanzia kias gan, na je location inatakiwa iweje.
 
Kiongoz samahan je nikitak kufungua duka la jumla natakiw niwe na mtaji kuanzia kias gan, na je location inatakiwa iweje.
Inategemea demand ya wateja,minimum 30 mill unaweza kuanza,Kwa maana 20mil inabaki Kwa duka 10mil inakuwa inazunguka,location tafuta eneo ambalo hakuna wenye mitaji mikubwa sana na ambalo Kuna wateja wa kununua wenye mitaji midogo usiogope,Kuna maeneo hata ukiwa na 15 mill unaweza kuuza jumla,pia mtaji uaminifu Kuna makampuni wanaleta Mali baada ya siku mbili au tatu wanaijia hela.if u dream it start don't wait much for the right moment,probably the right moment won't come
 
Kwenye duka lolote Kuna Mali za chini na Mali za kwenye ngazi,Kwa wanaofanya biashara ya duka wote concetration kubwa Huwa kwenye Mali ya chini na ndiyo inabeba mtaji mkubwa na ndiyo inayouzika haraka pia faida yake ni kubwa.
Kwa anaeanza duka hana budi kuzingatia Hilo,lazima ukomae na Mali ya chini ambayo itakusaidia kununua Mali ya kwenye ngazi Kwa baadae
 
VI)Faida yake ni kubwa sana ukilinganisha na biashara zingine,faida hii inatokana na mauzo ukilinganisha na muda,mfano muuzaji wa magari Kwa mwezi mzima anaweza kuuza magari 5 na akapata faida ya 5mill @ car Kwa mwezi akatengeza faida ya 25 mill,muuzaji wa duka anaweza akawa anauza 20mill Kwa siku na faida ni 5% =1000000 so Kwa mwezi akapata 30 mil.

V)Hutakiwi kuwa na mtaji mkubwa sana kuanza,unaweza kuanza na mtaji mdogo ukaukuza taratibu mfano laki Tano inatosha kuanza na bidhaa mhimu kama sukari,chumvi,mafuta kula,sabuni n.k ukiwa na nidhamu mtaji utajua na unaweza kuaminika ukakopesheka pia.
Doooh
 
Inategemea demand ya wateja,minimum 30 mill unaweza kuanza,Kwa maana 20mil inabaki Kwa duka 10mil inakuwa inazunguka,location tafuta eneo ambalo hakuna wenye mitaji mikubwa sana na ambalo Kuna wateja wa kununua wenye mitaji midogo usiogope,Kuna maeneo hata ukiwa na 15 mill unaweza kuuza jumla,pia mtaji uaminifu Kuna makampuni wanaleta Mali baada ya siku mbili au tatu wanaijia hela.if u dream it start don't wait much for the right moment,probably the right moment won't come
Ndugu kafute ile sehemu umesema laki tano unaweza anza. Ule ni uwongo. Kafute tu.
 
Ndugu kafute ile sehemu umesema laki tano unaweza anza. Ule ni uwongo. Kafute tu.
Nikuoneshe kuwa inatosha kuanza?
Sukari kg 25=75000
Mafuta Lt 10=40000
Sabuni mche 2=25000
Kiberiti 1=5000
Wembe 1=5000
Sembe kg25=30000
Sabuni unga 4=85000
Kalamu,daftari tenga 40000
Mafuta ya kupaka tenga 80000
Juis na soda 100000
Duka linaanza,kazi kuwasoma wateja wanapendelea nn,mm siku naanza biashara Kwa mtaji wa 170000 nilipanga Mali huku nimefunga mirango ya kibanda nikiwa naona aibu Kwa watu kwani wataniona mwehu Kwa kuanza kibanda Kwa kuwa na vitu vichache sana,lakini nilivyomaliza kupanga nilifungua mirango nikaanza,niliishinda aibu ya kuanzia chini,nawewe nakushauri ishinde aibu ya kuanzia chini
 
Nikuoneshe kuwa inatosha kuanza?
Sukari kg 25=75000
Mafuta Lt 10=40000
Sabuni mche 2=25000
Kiberiti 1=5000
Wembe 1=5000
Sembe kg25=30000
Sabuni unga 4=85000
Kalamu,daftari tenga 40000
Mafuta ya kupaka tenga 80000
Juis na soda 100000
Duka linaanza,kazi kuwasoma wateja wanapendelea nn,mm siku naanza biashara Kwa mtaji wa 170000 nilipanga Mali huku nimefunga mirango ya kibanda nikiwa naona aibu Kwa watu kwani wataniona mwehu Kwa kuanza kibanda Kwa kuwa na vitu vichache sana,lakini nilivyomaliza kupanga nilifungua mirango nikaanza,niliishinda aibu ya kuanzia chini,nawewe nakushauri ishinde aibu ya kuanzia chini
Ulianza mkoa gani biashara ya jumla kwa laki na sabini.
Ana ukakuzaje mtaji, na uliwezaje kuconquer maduka ya wenzako ya jumla.
If i quoted badly. Mwanzo nilijua unaongelea duka la rejareja. Ukasema si duka la mtaani,
Ukaongelea laki tano,.
Ukajump mpka 15ml
Ukatoa mfano wa muuza magari na duka
Thread yako ni ya ki inflensa kabisa ila tu ukitoa ile sehemu ya laki tano inakaa sawa.
Sometimes kuaminisha watu, achana na kutaja hela ndogo. Lipua sema ukweli.
Laki tano duka la jumla hata mafinga huanzi.
 
Inategemea demand ya wateja,minimum 30 mill unaweza kuanza,Kwa maana 20mil inabaki Kwa duka 10mil inakuwa inazunguka,location tafuta eneo ambalo hakuna wenye mitaji mikubwa sana na ambalo Kuna wateja wa kununua wenye mitaji midogo usiogope,Kuna maeneo hata ukiwa na 15 mill unaweza kuuza jumla,pia mtaji uaminifu Kuna makampuni wanaleta Mali baada ya siku mbili au tatu wanaijia hela.if u dream it start don't wait much for the right moment,probably the right moment won't come
Shukran sana mkuu hio ni ndoto yang , saiv nataka nikusanye capital atleast mwez 6 mwaka huu nianze, mkuu uko wapi wew maan nategemea nianze kw Dar
 
Kwenye duka lolote Kuna Mali za chini na Mali za kwenye ngazi,Kwa wanaofanya biashara ya duka wote concetration kubwa Huwa kwenye Mali ya chini na ndiyo inabeba mtaji mkubwa na ndiyo inayouzika haraka pia faida yake ni kubwa.
Kwa anaeanza duka hana budi kuzingatia Hilo,lazima ukomae na Mali ya chini ambayo itakusaidia kununua Mali ya kwenye ngazi Kwa baadae
Tatzo duka likiwa na madirisha mengi mtu hataman pia kuja anaona hamna mali
 
VI)Faida yake ni kubwa sana ukilinganisha na biashara zingine,faida hii inatokana na mauzo ukilinganisha na muda,mfano muuzaji wa magari Kwa mwezi mzima anaweza kuuza magari 5 na akapata faida ya 5mill @ car Kwa mwezi akatengeza faida ya 25 mill,muuzaji wa duka anaweza akawa anauza 20mill Kwa siku na faida ni 5% =1000000 so Kwa mwezi akapata 30 mil.
Wewe utakuwa ni maskini kweli kwa mawazo haya tu inaonekana huwezi hata biashara ya genge.

Ila kwa kuandika vizuri hongera sana.
 
Kwa alichozungumza mtoa Post ni sahii kabisa nakumbuka binafsi nilifungua Duka 2017..nakumbuka nilipata location nzuri saba mtaani nilikuwa nauza..nilijiwekea Ratiba ya kufunga saa4 nafungua saa 11 alfajiri..nilianza na Mtaji wa kama laki 4 ila kufikia 2019 nilikuwa na olmost mtaji wa 2M .

KuTokana na Mashamba niliokuwa nayo nikapata wazo kuingia kwenye Kilimo nikahaukisha lile duka kwa karibia 2.3M nikaingia..ktk kilimo niliamini nine double mtaji ...ila kitu ambacho kiliendelea kushindikana

Ninachotaka sema ni kwamba Duka linalipa sana kwanza CONNECTIONS unapata sana na wafanyabiashara kujua kipi kina faida na kipi kimeingia mjini N.K

N.B: Unaweza kusema Duka halina Faida kwa upande wako ila kwa upande wa mwengine likawa na faida sababu unaweza pata Faida kidogo ila ukawa ktk kudunduliza SACCOS au ktk Michezo na VICOBA kwa hizo hizo elfu 2 faida za siku na ukakuta ndio ukapata wasaa wa kujenga na kununua usafiri na assets nyengine kupitia hako hako kaduka..mimi nilikuwa SHAMBA zaidi ya hekari 20 Kwa mfumo huo na soon narudi kufungua Duka tena..

AKIRI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA na ZAKO
 
Kwenye duka lolote Kuna Mali za chini na Mali za kwenye ngazi,Kwa wanaofanya biashara ya duka wote concetration kubwa Huwa kwenye Mali ya chini na ndiyo inabeba mtaji mkubwa na ndiyo inayouzika haraka pia faida yake ni kubwa.
Kwa anaeanza duka hana budi kuzingatia Hilo,lazima ukomae na Mali ya chini ambayo itakusaidia kununua Mali ya kwenye ngazi Kwa baadae
Nafatilia huu Uzi kwa makini sana, naomba unipe mfano mali za chini ni kama zipi?, na za juu ni kama zipi? Usichoke kaka, achana na wanaopuuza.


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Sijawah kufungua duka ila nimekua kweny biashr hio kutokan na mzee wang yeye nimfaby biashr ya duka la mang kwa zaid ya miaka 25 , kwel kama alivosem huyo jamaa kua kweny hii biashar lazima uwekeze sana kwenye mali za chin zile mali za juu ni mapambo tu ila chin nd kunaitajk mzigo tena wenye quality nzur , mim mzee wanga kw siku anafunga hesaba mpak 2m., anauza sana hayo mazaga kam ya michele , maharage kwa mama ntilie
 
Back
Top Bottom