Kwa mbali nimeanza kuuelewa ulinzi mkali wa Rais...

Kumbuka kilichotokea kwa Kabila Njia sahihi na kutafuta maridhiano kimya kimya na wanaompinga ndani ya chama.. hili swala la kuvujisha clip za wanaompinga ni kuchochea mgogoro zaidi na kuzidi kukigawa chama...sizani kama wanaCCM wa kweli wanafurahishwa na anayofanya Musiba
 
Nadhani kuna mtangulizi ambaye anajutia kumpisha. Ila aongeze zaidi ulinzi. Hata ikiwezekana, awaondoe wapishi abaki mama tu. Mijitu inayo washwa washwa isije mdhuru. ee Mola mpe maisha marefu na ujasiri zaidi hadi awakomeshe wezi wa keki yetu. Asiyaruhusu majizi kuzikimbiza nje ya nchi. Taifisha akaunti zao zote, hela tujengee reli mpya.
 
Hakika tulimuhitaji Rais kama huyu wakuibadilisha Tanzania,pamoja na yote yanayoendelea Mimi nitampambani Rais wangu kwa njia yoyote hata kwa kuvuja damu
Vijana anaowategeneza ni wa Ovyo sana, Linatengenezwa Taifa la kusifia na kujipendekeza ili mtu apate Cheo/madaraka, Taifa lisilo taka mwenye Mamlaka kukosolewa..
 
Mlinz wa kweli Ni Mungu na matendo yako tu.binadamu si mlinz wako wa kudumu muda wowote hubadilika na kuwa adui wako pia.Na mtu wa Kwanza kukuua Ni mlinz wako.
 
Tunafurahi sana..na washughulikiwe kabisa.
 
Kama Mambo ndani yako hivi Tena kwa watu wa karibu...kwa hawa tu tunaowajua..itakuwa vipi kwa Wale wengine tusiowajua?
Daa nilikuwa sijakuelewa nimefikiria sana.ndani kuko salama kabisa wao wanaangalia usalama wa nchi usiwe na shaka.
 
Kilimo hoi Rais amezuia mvua au amezuia zana za kilimo kuuzwa au ameziba njia za kwenda mashambani

You're hopeless
 
Kama Mambo ndani yako hivi Tena kwa watu wa karibu...kwa hawa tu tunaowajua..itakuwa vipi kwa Wale wengine tusiowajua?

JK alikaa muda mrefu wa kitisho cha Lowasa na hakuwa na ulinzi wa hivyo iweje hili la kina Makamba mtake kuhalilisha kuuza nguruwe msikitini? Bado mnaamini mnaweza kulazimisha matumizi mabovu kwa kisingizio cha maadui zake? Hiyo ni hali ya kawaida sana kwenye siasa, labda kama mlishiba hii propaganda mfu ya kimkakati kwamba anakubalika sana. Mzee acha kutaka kutakatisha Kaniki.
 
Babu unaona mbali sana.

This post is thinking outside the bottle.

Inaonyesha kumbe incumbet ameishi na hatari jirani mno, lakini sisi tukawa tunajihoji kuwa huo ulinzi wa nini? Mungu aweke ulinzi zaidi kwake na kwetu pia
Sasa nimeaza kumuelewa magufuli.watu hii inchi walifanya ya kwao sasa mkuu anataka kuondoa dhana hiyo
 
Mungu anampigania
 
Hata wapishi nina hakika wamebadilishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…