Kweli kavuruga uchumi hasa wa familia ya Makamba, Nape, Kinana, nk... kwa sisi tulio nje ya "system" maisha ni yale yale ya tangu awamu ya pili ya mzee Ruksa!Amevuruga sana uchumi na maisha ya watanzania kwa muda mchache sana.
Nilitamani uandike kuhusu tunguli maana ndio fani yako, huku kwingine hupawezi mkuu! Tofautisha Kabila era, na wakati huu...hata poronium ya aina Mwaky haitumiki tena!Kikulacho ki nguoni mwako... Kabila alidunguliwa na chawa wake
Kweli ulinzi mkali kabisa unahitajika, aongeze zaidi ulinzi, kuanzia, hasa katika safari zake zote, hata ktk ndege zake aongeze ulinzi kote yaani, sbb kumbe maadui zake ni watu wakubwa wastaafu walioshika madaraka makubwa.. Kupambana na maadui kama hawa kweli unahitaji kutumia njia zote kushinda. Naunga mkono hoja aongeze ulinzi mkali kabisa
umeuliza ili upewe jibu nafsi yako iridhike au umeuliza ili upewe jibu na ushahidi wa picha halafu baadae ubishe?Hivi Magufuli ulinzi wake ni mkali kushinda wa waliomtangulia?
Kuvuja damu wapi?Hakika tulimuhitaji Rais kama huyu wakuibadilisha Tanzania,pamoja na yote yanayoendelea Mimi nitampambani Rais wangu kwa njia yoyote hata kwa kuvuja damu
Kuwa serious achana na 'chai' hizo. Kwani mbona huyu kaenda Malawi ziarani usiku kaenda mgangaUsisahau Kikwete aliongezewa ulinzi usionekana na Sheikh Yahaya almaruhumu.
Kwa kauli hizi za baadhi ya wastafu zilizo jaa chuki ya bila kificho ni dhahiri ulinzi wa Rais unahitajika kuimarishwa na kuongezewa ubunifu na mbinu mpya kila wakati. Jamaa wana chuki na kinyongo dhidi yake kwa kumaanisha. The best technique is to identify the persons wanachochea hizo chuki na kumshughulikia mmoja baada ya mwengine kwa njia itayooneka muafaka. Hivyo tu.
Hilo zee limekuwa jinga kweli siku hiziSiku hizi ccm imepata watetezi wengi sana kuliko wakosoaji mana wale tuliowategemea kukikosoa hiki chama ndio wamekuwa watetezi hata maovu ya mheshimiwa hawayaoni hasa mleta madalakani hii
Anapambana na Deep State
KabisaHivi Magufuli ulinzi wake ni mkali kushinda wa waliomtangulia?
Sanaaaa...Hivi Magufuli ulinzi wake ni mkali kushinda wa waliomtangulia?
Hapo ndiyo utajua umuhimu wa watu wasio julikanaKama Mambo ndani yako hivi Tena kwa watu wa karibu...kwa hawa tu tunaowajua..itakuwa vipi kwa Wale wengine tusiowajua?
Kweli ulinzi mkali kabisa unahitajika, aongeze zaidi ulinzi, kuanzia, hasa katika safari zake zote, hata ktk ndege zake aongeze ulinzi kote yaani, sbb kumbe maadui zake ni watu wakubwa wastaafu walioshika madaraka makubwa.. Kupambana na maadui kama hawa kweli unahitaji kutumia njia zote kushinda. Naunga mkono hoja aongeze ulinzi mkali kabisa
Sanaaaa...
Wewe unasema nje ya Bara la Afrika??JW sijui pakoje.
Bado TISS.
Pia nafikiri itakuwa vigumu sana kwa jiwe kwenda ziarani nje ya bara la afrika.
Ulinzi ni mkali kwa sababu bwana yule alishajipambanua kuwa ni mtu wa visasi, chuki, na roho mbaya.