Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Bado kwani Ile ya uboyzn ni mauaji?Mbona hata hiyo ushafanya π€£π€£π€£
πππππππMm mbona kawaida yangu Ibra Bacca..... penalty
Ndio kwani hujui? π€£Bado kwani Ile ya uboyzn ni mauaji?
Ni kamzozo flan hvπππππππ
Kama ni hvo mbona itakua ni mauaji ya kimbariNdio kwani hujui? π€£
umekuja motoNakuona na unapambania kweli kweli akuonyeshe nonino π€£π€£π€£
Aiseee!! Hata ya kimbari umevuka π€£Kama ni hvo mbona itakua ni mauaji ya kimbari
kinanipa ukichaa tuUnachokifanya kinafuta yaliyopita?
nawaonea huruma wangekua huku nilikoππJF imekuwa moto sana, wajuba baridi limewatandika wanaulizia mbunye kijanja.!! Kwani Arusha baridi linasoma nyuzi ngapi?? π€£π€£π€£
Sema Ile ni raw materials tu Haina noma Sana, maana kama ni hvo hata Ile kipindi Cha ndoto nyevu itakua ni kuua pasipo kukusudiaAiseee!! Hata ya kimbari umevuka π€£
kajifungue kwanza isikute una mapacha sita ukahitaji msaadandugu yangu tumefikia huku kwel, nmekukosea nn nikuombe msamaha π
Mirembe loading ......87%kinanipa ukichaa tu
mimi uyu au umekosea textkajifungue kwanza isikute una mapacha sita ukahitaji msaada
unazidi kunichanganya ujueMirembe loading ......87%
Familia huyo hana shida, itakua kubadilisha nguo yupo pm anajitetea soon atarudiMchuchu yuko wapi tena!! Kakukimbia??
Bro usikubali Ms R akuponyoke kizembe wkt alishakaa kibra π€£π€£π€£
Umerudi wii? Au ndo ulienda pm ππππWew wew weweeee