Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Sema kweli? 🤣ndiyo kaingia leba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema kweli? 🤣ndiyo kaingia leba
unaweza ukanipisha kidogo 😂😂🤣🤣🤣 Wifi nakuona kwenye kitengo chako pendwa
Unapiga k vant afu unanisingizia Mimiu
unazidi kunichanganya ujue
nilienda koga mweeee😂😂😂we nawe pm iko ofu sasaUmerudi wii? Au ndo ulienda pm 😜
Koh koh koh 😂😂😂Familia huyo hana shida, itakua kubadilisha nguo yupo pm anajitetea soon atarudi
Hv umemuelewa vzr au na ww k vant inakuingia Taratibu?Wapi upo? Unataka kuntisha bro Winga huna lolote 🤣🤣🤣
sijalewa mi nafanya kusudi,,,ila ipo siku nitalewaUnapiga k vant afu unanisingizia Mimi
Ukilewa usichati maana kuandika neno 'unanisingizia' kidogo yataka moyo
Naijua hiyo ohhh 🤣nilienda koga mweeee😂😂😂we nawe pm iko ofu sasa
Njombe au G city?huku highlands aloooh 🙌🏾🙌🏾😂😂😂😂
😂😂😂 ushaniona lena wa pombe?Hv umemuelewa vzr au na ww k vant inakuingia Taratibu?
kwaio huniamini ila unajiamini mwenyewe 😂😂Naijua hiyo ohhh 🤣
Punguza ulanzi mdogo wangusijalewa mi nafanya kusudi,,,ila ipo siku nitalewa
😂😂 Njombe mwaegoNjombe au G city?
nimeacha kabisa,,sasa natumia chimpumu na togwa kakaPunguza ulanzi mdogo wangu
Nyie niwakilisheni tu huko bar, mi nikigusa tu siku ya pili kama naumwa hv afu kama naskia Watu wanaimba pembeni yangu 🎶nyashi nyashi na nyasiioo buresio bulisio sumorio sumilioooo 🎶 nyaaaaaasi nyanshi😂😂😂 ushaniona lena wa pombe?
Hapo umenipiga kanzu aloo 😂😂😂kwaio huniamini ila unajiamini mwenyewe 😂😂
basi niamini ata kiduchu tu 😂😂 tafadhalHapo umenipiga kanzu aloo 😂😂😂
Hapo sawa ile baridi ya hapo naimanya vere weli, unaweza kuganda mpk mwenyewe. 🤣🤣🤣😂😂 Njombe mwaego