Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
- #21
Umefafanua vizuri, tusubirie mwisho wa msimu utakuajeArsenal ana nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa kwakua ndio anaongoza ligi kwa points 8 vile vile ana mechi na City ambayo anaenda kuongeza tofauti kufikiab11 kabla mwezi huu kuisha ambapo Arsenal atakua kabakiza mechi 4 huku atakua akihitaji point 6 tuu kati ya points 12 kwamaana hiyo Arsenal anaenda kutwaa ubingwa na tiketi za mechi ya Mwisho dhidi ya Wolves zinauzwa kwa gharama kubwa ili watu washuhudie kombe linavyokabidhiwa
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app