Kwa mechi hizi zilizobaki unampa nani ubingwa wa Premier League?

Kwa mechi hizi zilizobaki unampa nani ubingwa wa Premier League?

Hata huyo city hatumuogopi , na ubingwa tutatangazia kwa Huyo Huyo city

Maana mmepiga ramli vya kutosha
 
Ligi Kuu ya Uingereza inaelekea ukingoni, zikiwa zimebaki mechi kadhaa, Arsenal anaongoza ligi kwa alama 5 huku akiwa amecheza mechi moja zaidi ya Man City.

Man City yeye amebakiza mechi 10 wakati Arsenal amebakiza mechi 9.

Haya tuone kila timu imebakiza mechi zipi na baada ya hapo tabiri nani atakuwa bingwa wako.

Hizi ndizo mechi 9 alizobakiza Arsenal;
View attachment 2579541View attachment 2579542

Na hapa chini ni mechi 10 alizobakiza Man City;
View attachment 2579544View attachment 2579545

Ikumbukwe, Arsenal hana tena mechi za Europa League wala FA Cup wakati Man City atakuwa na mechi za Uefa na FA Cup.

Kwangu mimi licha ya ratiba ngumu ya Man City, nampa nafasi kubwa Man City kuibuka na Ubingwa EPL.

Kwani naona kabisa, Arsenal atapoteza dhidi ya Liverpool, Man City na kutoa droo na Newcastle.

Haya lete utabiri wako kutegemea na mechi zilizobaki za EPL...
Hauna akili
 
Back
Top Bottom