Kwa mfumo huu wa TRA wengi tutafunga Biashara

Kwa mfumo huu wa TRA wengi tutafunga Biashara

[emoji23] [emoji23] [emoji23] ati??? Umefilisika??[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na hufanyi tena biashara [emoji23] [emoji23] ..sasa hawajafuatilia mahali pa biashara tena?
Niliiunganisha kwenye biashara ya mtu mwingine.
 
Hao jamaa wamechangia wamenifilisi na sina hamu nao kabisa
 
hii ndiyo nchi tunayoambiwa ni ya maziwa na asali.....
 
Kiukweli nilisema hapa kama waziri wa fedha hatabadili mfumo wa tra basi wafanyabiashara watafunga biashara zao na serikali itakosa mapato. Binafsi walikomaa na mimi ninunue mashine ya efd mpaka nikanunua lakini kiukweli hata sielewi hii mashine ya efd nafanyia kazi gani. asilimia 90 ya wateja wangu ni wa kununua sigara mojamoja, sabuni kipande kipande, miswaki na dawa za jerojero, soda, juice, maji ,chumvi, mafuta ya kupikia ya kupima, sukari ...jaman hapa ndo biashara yangu na efd ninayo. mteja akinunua biscuit ya 200nimchanie risiti? TRA whatch out! You are going to loose businessman
Hiyo mashine ni kwaajili ya wateja wanaofanya mauzo/mtaji kuanzia 14M.
Wewe mbona mauzo yako ni kawaida tu?
 
Hahaha mwanajamvi..umejipanga.Ishort,Tra,police..hata uwe uko vzr kiasi gn hakuachi iviivi...inauma sn.kuona mtu mwenye mtaji mdogo ndio kinala ktk kukamuliwa gawila.
 
Hiyo mashine ni kwaajili ya wateja wanaofanya mauzo/mtaji kuanzia 14M.
Wewe mbona mauzo yako ni kawaida tu?
Ndo hivo kiongozi, mashine ninayo na hela niliyochulia laki tatu niliazima, laki nne na nusu ndo ilikuwa yangu. Nadhani nia ya tra ni kutufanya tutafute njia za kukwepa kodi
 
Ndo hivo kiongozi, mashine ninayo na hela niliyochulia laki tatu niliazima, laki nne na nusu ndo ilikuwa yangu. Nadhani nia ya tra ni kutufanya tutafute njia za kukwepa kodi
Lengo lao lilikuwa kukufilisi tu, labda kuna afisa alikua na visa na ww.
Ila ndo maisha, komaa tu ndg yangu.
 
Bora wewe mimi nilifuatwa hadi Whassap.. nilikuwa na biashara nimesafiri sasa niliyemwachia akachelewa kupeleka pesa zao.

Wakawa wananipigia hawanipati mwezi uliopita nimekaa nasoma meseji ya TRA nadaiwa kiasi fulani... nikamwambia nimefunga biashara nilifilisika na sitafanya tena.

Kodi ni ugonjwa hasa ukikutana na maafisa ambao ni wanazi.
Mkuuu Kama umefunga biashara unafanya nn sasa Kama hutojali tukutane tupange nn cha kufanya nna kimtaji kidogo na mm
 
Mm baada ya kuona kuwa TRA ni mfilisi nimeamua kufanya online busns, TRA wananisikia tu na faida kwa sasa naiona tofaut na mwanzo
 
Ni upuuzi wa kujengeana chuki MTU kalipa kodi unahangaika nae wa nini wakiacha biashara wote mtachukua kodi wapi
 
Huu ukenge huu, ndio unaharibu nchi!! Mie upande wa bodi ya mikopo labda waje na RPG wanilipue, silipi ng'ooo. Eti wameniewekea na faini, he he heeee! Wanifuate huku kwenye biashara yangu ya mchanga!!
 
yani kuna watu wanafanya watu waendelee kutatuta mbinu kali za kukwepa kodi na shule zitaanzishwa kimya kimya soon
 
Kodi ni muhimu kwa maendeleo ya nchi yetu, tatizo kwa TRA ni mfumo ukusanyaji mapato na kutokutoa elimu ya kutosha kwa mlipa kodi, yaan wananchi
 
Back
Top Bottom