Niliiunganisha kwenye biashara ya mtu mwingine.[emoji23] [emoji23] [emoji23] ati??? Umefilisika??[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na hufanyi tena biashara [emoji23] [emoji23] ..sasa hawajafuatilia mahali pa biashara tena?
Mkuu Ww kwny issue zako za udalali unalipa kodi serikalini?Hao jamaa wamechangia wamenifilisi na sina hamu nao kabisa
sasa mkuu wamekufilisi vp wakati kazi yako kuu ya udalali haukatwi kodi bossHao jamaa wamechangia wamenifilisi na sina hamu nao kabisa
Kama umesajiliwa kama mimi inalipa kodi chiefMkuu Ww kwny issue zako za udalali unalipa kodi serikalini?
Mkuu udalali wa kusajiliwa kodi unalipasasa mkuu wamekufilisi vp wakati kazi yako kuu ya udalali haukatwi kodi boss
Hiyo mashine ni kwaajili ya wateja wanaofanya mauzo/mtaji kuanzia 14M.Kiukweli nilisema hapa kama waziri wa fedha hatabadili mfumo wa tra basi wafanyabiashara watafunga biashara zao na serikali itakosa mapato. Binafsi walikomaa na mimi ninunue mashine ya efd mpaka nikanunua lakini kiukweli hata sielewi hii mashine ya efd nafanyia kazi gani. asilimia 90 ya wateja wangu ni wa kununua sigara mojamoja, sabuni kipande kipande, miswaki na dawa za jerojero, soda, juice, maji ,chumvi, mafuta ya kupikia ya kupima, sukari ...jaman hapa ndo biashara yangu na efd ninayo. mteja akinunua biscuit ya 200nimchanie risiti? TRA whatch out! You are going to loose businessman
Ndo hivo kiongozi, mashine ninayo na hela niliyochulia laki tatu niliazima, laki nne na nusu ndo ilikuwa yangu. Nadhani nia ya tra ni kutufanya tutafute njia za kukwepa kodiHiyo mashine ni kwaajili ya wateja wanaofanya mauzo/mtaji kuanzia 14M.
Wewe mbona mauzo yako ni kawaida tu?
Lengo lao lilikuwa kukufilisi tu, labda kuna afisa alikua na visa na ww.Ndo hivo kiongozi, mashine ninayo na hela niliyochulia laki tatu niliazima, laki nne na nusu ndo ilikuwa yangu. Nadhani nia ya tra ni kutufanya tutafute njia za kukwepa kodi
Mkuuu Kama umefunga biashara unafanya nn sasa Kama hutojali tukutane tupange nn cha kufanya nna kimtaji kidogo na mmBora wewe mimi nilifuatwa hadi Whassap.. nilikuwa na biashara nimesafiri sasa niliyemwachia akachelewa kupeleka pesa zao.
Wakawa wananipigia hawanipati mwezi uliopita nimekaa nasoma meseji ya TRA nadaiwa kiasi fulani... nikamwambia nimefunga biashara nilifilisika na sitafanya tena.
Kodi ni ugonjwa hasa ukikutana na maafisa ambao ni wanazi.